Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Tulianza na Mungu,tuko na Mungu na tutamaliza na Mungu,[NIKO AMBAYE NIKO LAZIMA AJULIKANE] Hongera kamanda LEMA,tupo pamoja.
 
Usilete utani hapa! Thibitisha. watu tumefunga mwaka mzima ujue tukiomba kamanda ashinde wewe unaleta mzaha. weka ushahidi
 
Konyagi asubuhi yote hii?fanya kazi kwanza kaka maana sikukuu itakuwa ndefu sana

Ndo maana nanilii kakambia mji kaenda kujificha Bilila, aibu yake aibu yangu teh teh teh, naomba mzinga wa konyagi kwanza nimfukuze shetani
 
...Tumeshindaaaaa
Kuna tatizo la msingi Mahakama Kuu. Hawa Junior Judges wanaonenakana kuwa highly incompetent na tuhuma za Mh. Tundu Lissu zinazidi kuthibitika.

Nashauri wote walioshindwa kesi zao Mahakama Kuu kukata rufaa; sina imani kabisa na Mahakama Kuu yetu bali majaji wachache wa Mahakama ya Rufaa. Haiwezekani mashauri mengi yaliyoshinda Mahakama Kuu kutenguliwa kirahisi namna hii.

Mamlaka za Uteuzi wa Majaji zinapaswa kwa kweli kujirekebisha; mhimili wa utoaji haki sio wa kuchezea namna hii. Pongezi kwa Mh. Godbless Lema.
 
kamanda lema hongera sana, una deni kubwa sana kwa wana arusha kwa imani walionayo kwako. Mungu azidi kukuimarisha ili uweze kuwaongoza wanaarushja na watanzania wote kuelekea nchi yetu ya ahadi.

Haki itashinda udhalimu siku zote!
majaji waliosoma hukumu tuwape hongera zao chande vp
je watamlipa fidia
je bungeni atalipwa mshahara wa kipindi chote alichovuliwa
je hoja ya waziri mkuu kadanganya aliyoiibua itajibiwa kwa kuwa amerejeshewa ubunge
tuelimishane
 
Masalia leo wana hasira mbaya.Walitaka Lema ashindwe kesi.Eti hawa matapeli wanajiita CDM
Nakumbuka kwenye moja ya post zao za uzushi TUNTEMEKE (Zitto) aliwahi kulalamika kwa nini Lema anaingia vikao ya kamati kuu ya CHADEMA kwa ticket ya wabunge wakati ubunge wenyewe kavuliwa. Sasa mahakama imejibu mapigo maana Lema mwenyewe hakuwajibu.

Kinachofurahisha ni kuwa wakati wa likizo Mh Lema amewagalagaza sana magamba kwa kuimarisha chama kila kona ya nchi
 
Hongera sana Kamanda Lema. Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Mh. Lema amemaliza Honeymoon yake na sasa anarudi kuwatumikia wananchi wa Arusha mjini.
 
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hiv ritz na nape wako wap? Hizi ni salamu tu ziwafilie mlipo,peopleeez! Haya itikieni hata kimoyomoyo poweeeeeeer,mtaipenda tu

Kama utafuatilia post zangu kuhusu kesi ya Lema, nilisema wazi Chadema kupitia jopo lao la wanasheria wakijipanga vizuri watashinda rufaa.
 
wapi mwampamba?? Wapi zitto aka matunguli, wapi nchemba, wapi majebere aka shonza,

wapi zomba??? Wapi bashe, wapi neppiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, wapi wassira aka mzeee wa gombeeeeeeeeeeeeeeee, wapi shonzaaaaaaaaaaaaaaa a.k.a cobra , wapi el manywele, kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa habari yenu, munacheza na mungu. Mkafie mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisa,

mwaka 2013 uwemwaka wa laaaaaaaaaaaaana kwenu na vizazi vyenu,

peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

zitto kajinyonge na vijana wako wasaliti, mlaaniwe

mileleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee; ameen
 
Kumbe ndo maana jaji chande aliingia mitiniii. Viva cdm, viva wanaarusha, viva g lema
 
Back
Top Bottom