Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Nasikia Chadema wakichukuwa nchi kila mishahara juu Dr atapata mshahara wa Milioni 10, Nesi Milioni 5, Walimu Milioni 7.
Ritz, ishu siyo mshahara juu, ishu ni mazingira na haki sawa kwa wote, na kila moja aridhike na kipato chake, kwa maana ya kila pato liwe na thamani.
Last edited by a moderator: