Mwana wa Nuru
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 588
- 410
Bora awe huyu kuliko makaburu, wahindi, waarabu na wazungu kuja na kuchukua hadi nankwalakwasa wetu na kuwapeleka kwao. Huyu mwanetu tutampata pale Msoga au Mboga na mali zake zina baki hapa kwetu tu, ukizingatia kuwa anajiandaa kumng'oa Kawambwa kule Bagamoyo naye awe mbunge kabla ya kugombea urais 2020.