Lema amvaa Ridhiwani Kikwete, Ni kuhusu umiliki kampuni ya Tanzanite One

Status
Not open for further replies.
Idnt wanna read mo type of thse threads,hv watanzania nani alotuloga??mambo yote wanayo yafanya awa washez atujajifunz k2,kwa leo tu hii ni thread ya 3 yenye vishawish vya kutosha kuingia barabaran na kudai chetu naisoma hapa,mara dk kapgwa,uku cjui iran na meli,kule cjui tanzania 1 na ritz,,hv watugongee wake zetu ndo tue na hasira ama,afu tunajiita gr8 thnkers,how?mbna tunalalamika sana,someone has to do smthng about ths,dk uli kapigwa kwa kutete haki za watu flani lakn wote wanaotetewa wako kimya,kweli tunaishiwa mbnu tunabki kulalamika tu,what is our unity al about,kukimbza mwnge na kusheherekea idd haji??c'mo guys lets do smthn''THE KIKWETE REGIME MUST GO''
 
Idnt wanna read mo type of thse threads,hv watanzania nani alotuloga??mambo yote wanayo yafanya awa washez atujajifunz k2,kwa leo tu hii ni thread ya 3 yenye vishawish vya kutosha kuingia barabaran na kudai chetu naisoma hapa,mara dk kapgwa,uku cjui iran na meli,kule cjui tanzania 1 na ritz,,hv watugongee wake zetu ndo tue na hasira ama,afu tunajiita gr8 thnkers,how?mbna tunalalamika sana,someone has to do smthng about ths,dk uli kapigwa kwa kutete haki za watu flani lakn wote wanaotetewa wako kimya,kweli tunaishiwa mbnu tunabki kulalamika tu,what is our unity al about,kukimbza mwnge na kusheherekea idd haji??c'mo guys lets do smthn''THE KIKWETE REGIME MUST GO''
ushauri wenyewe unaandika kwa lugha ya sms.
 
mtu mwenye msimamo hawezi kupeleka malalamiko facebook, alitegemea nini? rafiki na ndugu zake ndio wamhukumu rizwan? Jamaa jinga kweli hili
 
Hutakuwa huijui Tanzania au ndiyo unafikiria kwa kutumia TUMBO hivi hapa Tanzania kuna mahakama ya kuwashitaki wakubwa. Nyie ndiyo mafikra njaa mnaoishi kwa kulamba watu miguu yaani unaweza kumshitaki wapi Ridhiwani mwenye uwezo wa kuteua hata majaji. Kama huijui Tanzania piga kimya
Kama una ushahidi peleka mahakamani.
 
Hutakuwa huijui Tanzania au ndiyo unafikiria kwa kutumia TUMBO hivi hapa Tanzania kuna mahakama ya kuwashitaki wakubwa. Nyie ndiyo mafikra njaa mnaoishi kwa kulamba watu miguu yaani unaweza kumshitaki wapi Ridhiwani mwenye uwezo wa kuteua hata majaji. Kama huijui Tanzania piga kimya
kwanini lema amekata rufaa kama hana imani na mahakama?Si angeachia na kwenda kushitaki facebook.
 
2015 siyo mbali, watanzania wameamua. Wamechoshwa na wimbo wa maisha bora jamaa kila mara kubembea

Nasikia Chadema wakichukuwa nchi kila mishahara juu Dr atapata mshahara wa Milioni 10, Nesi Milioni 5, Walimu Milioni 7.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom