democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Mahakama zenye Majaji walioteuliwa na Baba yake!! My foot!
samahani sijakiona kitufe cha like
Mahakama zenye Majaji walioteuliwa na Baba yake!! My foot!
Utamfanya nini wewe? Utabaki kulalama kama kina Lema tu, kama ushahidi upo basi kwanini msiende mahakamani?
Huyu Lema Amekosa mwelekeo .
Kama una ushahidi peleka mahakamani.
Ndio, wewe je, utapeleka facebook?Hivi wewe, ukimkuta mkeo analiwa uroda na baunsa utakimbilia kufungua kesi mahakamani..
ushauri wenyewe unaandika kwa lugha ya sms.Idnt wanna read mo type of thse threads,hv watanzania nani alotuloga??mambo yote wanayo yafanya awa washez atujajifunz k2,kwa leo tu hii ni thread ya 3 yenye vishawish vya kutosha kuingia barabaran na kudai chetu naisoma hapa,mara dk kapgwa,uku cjui iran na meli,kule cjui tanzania 1 na ritz,,hv watugongee wake zetu ndo tue na hasira ama,afu tunajiita gr8 thnkers,how?mbna tunalalamika sana,someone has to do smthng about ths,dk uli kapigwa kwa kutete haki za watu flani lakn wote wanaotetewa wako kimya,kweli tunaishiwa mbnu tunabki kulalamika tu,what is our unity al about,kukimbza mwnge na kusheherekea idd haji??c'mo guys lets do smthn''THE KIKWETE REGIME MUST GO''
Huyu dogo ni bonge la fisadi.
Kama una ushahidi peleka mahakamani.
we unafikiri hii nchi kiazi, uchukue kivipi?siyo fisadi tu, tena bonge la jambazi tena la tegeta mabwepande! CDM tukichukua nchi mali zote zinataifishwa!
we unafikiri hii nchi kiazi, uchukue kivipi?
Watanzania gani hao? labda wa kwenye group ya facebook ya Lema.2015 siyo mbali, watanzania wameamua. Wamechoshwa na wimbo wa maisha bora jamaa kila mara kubembea
Huyu Lema Amekosa mwelekeo .
Kama una ushahidi peleka mahakamani.
kwanini lema amekata rufaa kama hana imani na mahakama?Si angeachia na kwenda kushitaki facebook.Hutakuwa huijui Tanzania au ndiyo unafikiria kwa kutumia TUMBO hivi hapa Tanzania kuna mahakama ya kuwashitaki wakubwa. Nyie ndiyo mafikra njaa mnaoishi kwa kulamba watu miguu yaani unaweza kumshitaki wapi Ridhiwani mwenye uwezo wa kuteua hata majaji. Kama huijui Tanzania piga kimya
2015 siyo mbali, watanzania wameamua. Wamechoshwa na wimbo wa maisha bora jamaa kila mara kubembea
wabunge watapanda taxi kwenda Dodoma, Ikulu itahamishiwa machame.Nasikia Chadema wakichukuwa nchi kila mishahara juu Dr atapata mshahara wa Milioni 10, Nesi Milioni 5, Walimu Milioni 7.