Lema amvaa Ridhiwani Kikwete, Ni kuhusu umiliki kampuni ya Tanzanite One

Status
Not open for further replies.
jamani riz1 anamgodi mwingine huko tanga kuna habari nazifatilia nitaziweka hapa siku chache zijazo..

Kwaiyo akiwanao chaajabu kitugani hapo mbona migoni yakumwaga tu nchi hii singida watu wamekatiwa maeneo ya kuchimba diamond huko nawenye nguvu zao wanafanya kazi ya kuchimba naniwatu wa kawaida kabisa..watuwengine wenyemaeneo Yao wanatafuta wawekezaji nenda matombo morogoro watu wanachimba gemstone inapesa balaaaaah
 
[/B][/COLOR]
Na wasiwasi na ufahamu wako hivi hunajua Tanzania kuna migodi mingapi?

Mueleze uyo hamnazo tanga kunamigodi mingi sana ya gemstone nakaribu wote wanaochimba Iyo migodi ni watanzania naiyomigodi imeuzwa naserikali bei chee Kila mtanzania anaweza kumudu
 
Kujipanga tu tena sana sana ,fukuzeni mamluki wote waliopo kwenye chama makini,jiandaeni na 2015 maana si mbali,hata mkishindwa "urahis"mpate wabunge zaidi ya theluthi mbili...muweze kuendesha serikali kupitia bunge!!bila hivyo itabakia kulalamika milele amina

Kwa mujibu wa katiba yetu chama kitakachopata theluthi mbili hata kama hakikushinda urais ndicho kitakachotoa waziri mkuu na kuunda baraza la mawaziri hata kama rais ni wa chama kingine kwahiyo chadema hata kama watashindwa urais wakawa na wabunge wengi wao ndio wataunda serikali na rais wa chama kingine atabaki kuteua mabalozi, wakuu wa mikoa na wilaya iwapo katiba itakuwa bado inaruhusu wakuu wa mikoa na wilaya wa kuteuliwa badala ya kuchagulia
 
Hii nime'copy na ku'paste
toka kwenye facebook page ya kamanda Lema...........

Naomba hili liwe wazi kwa Watanzania, Ridhiwan Jakaya Kikwete, chini ya
kampuni ambayo wanaharakati tutaleta ushahidi wake kwa wananchi
wanaotaka ukombozi, wiki hii alikuwepo Jijini Arusha na tayari ana
mkataba wa umiliki wa zaidi ya hisa asilimia 45 za kampuni ya Tanzanite
One. Hii ni biashara ya Rais wa nchi. Ametumia madaraka yake kwa siri
kupisha umiliki huu kupitia mtoto wake. Linaweza kukanushwa na kupingwa
lakini muda unafika ambapo umma wa Watanzania utaamua. Hata wakishinda
kesi za mahakamani, hawataushinda uamuzi wa umma. CCM inakufa, iko
hatua za mwisho kabisa.

Urais bwana, kama huna uoga unaweza kuufanya ukoo wako matajiri! Hata kama akili kichawani hawana kama huyu.
 
hivi mtoto wa rais anasauti kuliko rais mwenyewe? am kweli tanzania imebaki kwa wenyewe na hao wenyewe ni ccm pamoja na serikali yake
watanzania naombeni msikosee tena 2015 kwani yote hayo tunayopata nikwasababu ya kukariri umaskini wanchi yetu toka uongozi wa nyerere na mpaka sasa serikali inazidi kutumia kauli ya nyerere huko wao wakiendelea kula nchi kwa ulaini na kupandisha bei kuwakandamiza watanzania wasioelewa nyuma wala mbele huku baadhi wenye fikra duni wakishangilia hali tunayofanyiwa na chama hicho tawala wakipewa kofia, t-shirt,bendera, na hata wakati mwingine tsh 10000 ya kula leo na kesho baada hapo njaa tena.
 
Riz1 alivyoambiwa na kina Slaa kuwa ana pesa za kutisha alitishia kwenda mahakamani, mbona hajaenda hadi leo? Kwa hiyo haya yawezekana ni ya kweli
 
Utafutaji wa mali ni kwa namna zote iwe halali au isiwe halali kwa yule ambaye hamjui muumba wake.
Naona na ni bora aendelee.
 
Kwaiyo akiwanao chaajabu kitugani hapo mbona migoni yakumwaga tu nchi hii singida watu wamekatiwa maeneo ya kuchimba diamond huko nawenye nguvu zao wanafanya kazi ya kuchimba naniwatu wa kawaida kabisa..watuwengine wenyemaeneo Yao wanatafuta wawekezaji nenda matombo morogoro watu wanachimba gemstone inapesa balaaaaah

wacha uongo MAFISADI wameingia huko hakuna kitu sikuhizi ni njaa tu, kaam ilivyo mererani.
 
Wakwere waroho hawa sijapata kuona.
Kila kitu wanataka wao.
Biashara ni rahisi sana kufanya ukiwa ikulu, ukiondoka ikulu na biashara zinasambaratika.

Hawa wakweree ni kweli Bujibuji ni waroho sana lakini hapo hapo ni vilaza pia, hawajui kuwa hizo pesa wanazolimbikiza kwa biashara za ikulu na kuwekeza kwa wakina Subash hawataziona tena mara upangaji wa magogoni ukifikia kikomo!! Wahindi ni marafiki pale tu wanapokutumia na mara ukishaondoka madarakani basi ni kwishney pamoja na vijisenti vyako!!
 
Aya yayaaa, ANGONI CAR HIRE ZILIKUWA KWENYE KILA KONA YA MJI WA ARUSHA, WAKATI WA MKUTANO WA BENKI YA AFRICA, NIKAJIULIZA ZIMETOKEA WAPI HIZI....
 
lema ninaungana na wewe sana kwenye Harakati zako ila nakuomba sana ujitahidi usijitokeze kwenye vyombo vya habari marakwamara ili usije ukazoeleka. tunakuhitaji kwenye mambo mazito ndio utoe matamko n sii kutoa tamko kwa kila kitu na kila mtu. pia angalia watu walio level yako ndio uwazungumzie si kuzungumzia watu kama kina ridhiwani ambao hawavifikii viatu vyako. wewe upo juu na tunakutegemea sana kkwa mambo mkubwa
 
Aya yayaaa, ANGONI CAR HIRE
ZILIKUWA KWENYE KILA KONA YA MJI WA ARUSHA, WAKATI WA MKUTANO WA BENKI
YA AFRICA, NIKAJIULIZA ZIMETOKEA WAPI HIZI....

songea kuna hoteli ya angoni alimofumaniwa DC mmoja!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom