Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,006
- Thread starter
- #61
Lema ndiye aliyesema kuwa alitaka hata mkewe asidhaminiwe ili aende jela..si maneno yangu ni ya Lema. Ninasema aachwe akae jela hadi akinai.Utakuwa hujaoa wewe ,mkeo akisoma hiki ulichoandika na ushiahidi wa kuonyesha mwenye shida ni wewe na watwala wako atakudharau sana.Anaweza zaa na houseboy. Sasa unabii ndio unawatoa povu hivyo? km ukuta mkajidhalilisha mbaya ,mkaonyesha watu kwamba kweli mna udikteta, km mzee wa upako alivyoamua kujionyesha kuwa ni mlevi kwa kumshambulia jirani huku kalewa.Nani sasa ni mkweli aliyemwita hafai kwa mchungaji au ni yeye aliyekuwa tungi na kuamua leta nouma?