Lema aachwe jela hadi hamu yake iishe

Lema aachwe jela hadi hamu yake iishe

Lema alipokosea ni kumuingiza mke wake ktk hizi siasa za kihuni, ile msg ya matusi mke wake lazima atatiwa hatiani tu kwa kuwa ipo wazi kabisa, aombee aonewe huruma tu na kupewa adhabu ndogo na si jela kwa kuwa ni kosa lake la kwanza.
Tatizo kubwa la wafuasi wake wanamlinganisha na Mandela...ati akitoka jela 'atawakomboa'
 
Is there really new episodes coming 2017???
 
Yeye mwenyewe hutamka, siogopi kwenda jela nitakaa jela kama Mandela.Majuzi alitaka na mkewe asipewe dhamana.
Kwani sheria inasema ukitamka "Siogopi kwenda jela" ndiyo inakua tiketi ya wewe kubaki huko?

Akitokea mtuhumiwa mwingine akisema "Naogopa kwenda jela" basi huyo inabidi tumuache uraiani hata kama kosa lake ni la uhujumu uchumi? (Pedeshee Ndama).
 
Ungelikuwa wewe upo jela lema akwambie hayo ungejisikiaje?Ipo siku utaelewa anachokitafuta Lema now you know nothing.
 
Kwani sheria inasema ukitamka "Siogopi kwenda jela" ndiyo inakua tiketi ya wewe kubaki huko?

Akitokea mtuhumiwa mwingine akisema "Naogopa kwenda jela" basi huyo inabidi tumuache uraiani hata kama kosa lake ni la uhujumu uchumi? (Pedeshee Ndama).
Ili asaidiwe kutii kiu yake akina Kibatala wasimtafutie dhamana, wamwache akae jela hadi hamu yake iishe.
 
Sioni kama Lema kukaa huko kunampa shida..... Mnao shangilia endeleeni tu lkn kaeni mkijua kuna mtoa hukumu ya haki..... Na yule akwepeshi... Anaweza anza na advertise na muda wa kujirekebisha ukakosa.
 
dah sas wakimuacha jela tunaoumia ni cc waTz wa Arusha coz nani atatekeleza yale aliyoyaahidi?!
 
Ungelikuwa wewe upo jela lema akwambie hayo ungejisikiaje?Ipo siku utaelewa anachokitafuta Lema now you know nothing.
Tumemchoka, wengine wanajirekebisha wakipata dhamana yeye akitoka jela anaita waandishi wa habari na kutamba kuwa jela ni nzuri anatamani hata mkwewe aende jela...lazima kuna manufaa anayapata huko jela. Aachwe hadi hamu yake iishe.
 
Kwani Lema alivyokuwa anamtishia mkuu wa nchi alipata maagizo kutoka juu? Kifungu gani cha sheria kinasema kosa la Lema halihitaji kushughulikiwa kisheria?
Baki na mimi katika hoja yangu ya kua, hilo kosa analotuhumiwa nalo limeonekana lina dhamana.
Mleta uzi hoja yake ni kua mtuhumiwa kwa kua hua anatamba kwamba haogopi kwenda jela basi aende akakae mpaka akinai.

Na ndiyo hiyo hoja mimi nipo nayo, vipi kama kuna mtuhumiwa akasema naogopa kwenda jela tutamuachia kwa ajili ya maneno yake au kwa kadri sheria yetu inavyotuongoza?

Na umeuliza ikiwa Lema alipata maagizo kutoka juu, yeye anasema maagizo kapewa na Mungu kwa imani yake maagizo amepewa na kiumbe kilicho juu ya vyote, kwahiyo ndiyo hayo ni maagizo kutoka juu.
 
dah sas wakimuacha jela tunaoumia ni cc waTz wa Arusha coz nani atatekeleza yale aliyoyaahidi?!
yeye anasema akitoka jela atakuwa kama Mandela. Acha ujinga wewe unaumia nini? uli chakula?
 
Baki na mimi katika hoja yangu ya kua, hilo kosa analotuhumiwa nalo limeonekana lina dhamana.
Mleta uzi hoja yake ni kua mtuhumiwa kwa kua hua anatamba kwamba haogopi kwenda jela basi aende akakae mpaka akinai.

Na ndiyo hiyo hoja mimi nipo nayo, vipi kama kuna mtuhumiwa akasema naogopa kwenda jela tutamuachia kwa ajili ya maneno yake au kwa kadri sheria yetu inavyotuongoza?

Na umeuliza ikiwa Lema alipata maagizo kutoka juu, yeye anasema maagizo kapewa na Mungu kwa imani yake maagizo amepewa na kiumbe kilicho juu ya vyote, kwahiyo ndiyo hayo ni maagizo kutoka juu.
Anayeogopa kwenda jela ameonyesha kujutia, huyu mwehu mwache akae jela hadi akinai.
 
Umefurahi ipo siku yatakupata siku zenyewe za mwendokasi hizi. UTAKOMA
 
Nabii Lema anatakiwa akadhibitishe maono yake mahakamani, kama hawezi basi jela safari hii niyake.
Hiki alikitafuta kwa mda mrefu sasa amekipata, sisi tunaendelea na kata funua yeye aendelee na jela yake.
 
Umefurahi ipo siku yatakupata siku zenyewe za mwendokasi hizi. UTAKOMA
endelea na ramli....hivi dogo huwa humsikii Lema akifurahia jela? mara ngapi ametamba hata mkewe anatamani aende jela? sasa kama mtu anatamani jela ni wakati aachwe huko hadi akinai.
 
Nabii Lema anatakiwa akadhibitishe maono yake mahakamani, kama hawezi basi jela safari hii niyake.
Hiki alikitafuta kwa mda mrefu sasa amekipata, sisi tunaendelea na kata funua yeye aendelee na jela yake.
hakika.
 
Ili asaidiwe kutii kiu yake akina Kibatala wasimtafutie dhamana, wamwache akae jela hadi hamu yake iishe.
Aisee una bifu na mtuhumiwa? Kwa sababu kama ndiyo ungekua hakimu namuona Lema yuleeeee miaka saba jela kwa kosa la kusema haogopi kukaa jela.
 
Aisee una bifu na mtuhumiwa? Kwa sababu kama ndiyo ungekua hakimu namuona Lema yuleeeee miaka saba jela kwa kosa la kusema haogopi kukaa jela.
Mtoto akililia wembe mpe....Lema analilia jela ngoja akae hadi akinai.
 
Hii thread nimetazama lakini nimeona ukweli umejificha kwenye kauli hii"Bila ya shaka kuna burudani anaifuata huko "'
 
Back
Top Bottom