Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,243
- 13,534
Acheni ujinga.Lema anastahili kupata dhamana.Lema ana haki ya kikatiba ya kutoa maoni yake.Mi nadhani amekoma! na si yeye tu.... wengi wamekoma! kweli hili ni fundisho kwa wenye mdomo mchafu! Lakin upande wa pili wa shilingi naona kama Serikali inavunja mayai kwa nyundo.
Cha msingi ni Lema apewe haki ya dhamana na kesi ya msingi ianze kusikilizwa.Mtu kuwekwa rumande wakati anastahili dhamana na wala hajapatikana na hatia si haki.
Wewe unayeshabikia kuteswa kwa Lema yatakuja tu kukuta na wewe.