Lebanon wameweza. Tanzania na Africa tunafeli wapi?

Jamaa anafanya mchezo sana, mbongo alipie kununua mziki?? Hell no, hiyo Netflix yenyewe unakuta analipia mmoja then wanashare watu kama kumi hiyo account tena hapo ni mwezi mzima.

Ndio mtu alipie mziki mmoja sijui wa Zuchu!!
Bongo ni kazi sana aisee. Afadhali hata SA au Nigeria huko.

Bongo hapa mtu wa kipato cha kati ana gari zuri tu ila bado anataka ku bargain ma machinga mwenye kibanda bidhaa ya sh 8000 anataka kuuziwa 5,000. Yaani huyu ni mtu wa kipato kinachoeleweka ila bado ni mbahili. Nadhani kwa target market ya bongo (East Africa nzima) bado sana hvi vitu subscription.

Mtu anakuta app playstore inauzwa buku 2 lakini hataki kulipa anaenda kutafta cracked version.
 
Chukua hii takwimu ya 2020 itasaidia pia research yako. Netflix ina subscribers around 30k Kenya na 19k Tanzania.

Ni rahisi kupata followers instagram ila sio subscribers kwenye streaming app.

Na hizi bundle za 5k = 2gb. Streaming service inahitaji bundle ya kuanzia 1gb kwa siku. Ningekupa idadi ya watu wanaonunua zaidi ya 1gb kwa siku bongo ila sio sawa for confidentiality.
 
Jamaa anafanya mchezo sana, mbongo alipie kununua mziki?? Hell no, hiyo Netflix yenyewe unakuta analipia mmoja then wanashare watu kama kumi hiyo account tena hapo ni mwezi mzima.

Ndio mtu alipie mziki mmoja sijui wa Zuchu!!
Nimekuelewa mkuu

Iko hivi Hizi Startup kuna baadhi ya maeneo zinaendeshwa kwa hasara

Startup huwa tunacheza na valuation

Ndio maana Startup nyingi unakuta zinawekezwa fedha lakini they dont make money

Angalia clubhouse ni Unicorn tayari je imeingiza kiasi gani..? I dont think so

Kuna nchi moja nilikuwapo kukawa na workshop fulani wakawa wanasema kuwa hata hizi Giants startups kuna baadhi ya maeneo they dont make money at all ila tu wana exist sababu ya kuweza kuwa na data

When you pitch kwa investors ukimwambia kuwa DUNDA ina users 1M ambao they dont pay at all with 10M music ataweza wekeza six figure kuliko ukienda kwa investor ukimwambia DUNDA ina paid users 10,000 na 100,000 music unaweza kataliwa investments

Investment ya startups ni tofauti na investment ya SMEs

Na as I said before we need Data kwa kuanza kwa maana Music na Users the rest will be history
 
Bongo ni kazi sana aisee. Afadhali hata SA au Nigeria huko.

Bongo hapa mtu wa kipato cha kati ana gari zuri tu ila bado anataka ku bargain ma machinga mwenye kibanda bidhaa ya sh 8000 anataka kuuziwa 5,000. Yaani huyu ni mtu wa kipato kinachoeleweka ila bado ni mbahili. Nadhani kwa target market ya bongo (East Africa nzima) bado sana hvi vitu subscription.

Mtu anakuta app playstore inauzwa buku 2 lakini hataki kulipa anaenda kutafta cracked version.
Acha kabisa.. hao wenye magari ukienda filling station unakuta anaweka wese la buku kumi.. Jaribu kupanda magari ya watu randomly kukuta geji iko kwenye half tank na kuendelea ni nadra sana...

Alafu watu wa aina hii na wale wa chini ya hapo ndio uwaambie sijui subscription sijui fungua account huku wakati kuna links za kudownload same musics bure kabisa..
 
Nimekuelewa mkuu

Iko hivi Hizi Startup kuna baadhi ya maeneo zinaendeshwa kwa hasara

Startup huwa tunacheza na valuation

Ndio maana Startup nyingi unakuta zinawekezwa fedha lakini they dont make money

Angalia clubhouse ni Unicorn tayari je imeingiza kiasi gani..? I dont think so

Kuna nchi moja nilikuwapo kukawa na workshop fulani wakawa wanasema kuwa hata hizi Giants startups kuna baadhi ya maeneo they dont make money at all ila tu wana exist sababu ya kuweza kuwa na data

When you pitch kwa investors ukimwambia kuwa DUNDA ina users 1M ambao they dont pay at all with 10M music ataweza wekeza six figure kuliko ukienda kwa investor ukimwambia DUNDA ina paid users 10,000 na 100,000 music unaweza kataliwa investments

Investment ya startups ni tofauti na investment ya SMEs

Na as I said before we need Data kwa kuanza kwa maana Music na Users the rest will be history
Boss mazingira unayoongelea hapa ni mawili tofauti. Usilete mfano wa US first world country huku third world.. US kuna watu wana alot of money hawajui hata watumie wapi, watu wana pesa wanafund hizo projects bila hata shida..

Huku bongo kuraise hiyo $900k kaka acha kabisa kufikiri hivyo vitu. Hakuna tajiri hapa Tanzania au East Africa atatoa hizo pesa, fikiria tu Dewji kuweka 20b pale Simba ni kizungumkuti na Simba ni brand na ina Assets..
 
Acha kabisa.. hao wenye magari ukienda filling station unakuta anaweka wese la buku kumi.. Jaribu kupanda magari ya watu randomly kukuta geji iko kwenye half tank na kuendelea ni nadra sana...

Alafu watu wa aina hii na wale wa chini ya hapo ndio uwaambie sijui subscription sijui fungua account huku wakati kuna links za kudownload same musics bure kabisa..
Ni ngumu sana. Chalii wa NALA nae alikutwa na challenge hii hii. Business model za huku kwetu ni kufanya B2B tu. Ni vyema utafte kitu ambacho utakiprovide for free (with ads) kwa end user lakini wewe main source yako ya income ikatoka kwa other businesses. Kma ukapata deal na Vodacom or other companies wakawa wanakutumia kwaajili ya advertisement. Nadhani hii ndio kidogo iko sustainable huku bongo.

Hata Kopa gas alipiga B2B akatembea. Chalii wa LUKU nae alifanya hvo hvo.
 
Naogopa kusema sana, lakini mkuu unapoteza tu muda..

Waafrica bado tuko Ulimwengu wa nyuma sana kwa hayo unayoyawaza, hata Elon na ideas zake angesema aanze kuziimplement huku Africa angefeli mapema mno..

Kuna jamaa amekushauri hapo, hao Boomsplay na sijui Muziki wanakofeli sio content ila sokoni ndio kuna changamoto. Hata FB, Twitter na mitandao mingine ya kijamii haikuwa kama ilivyo sasa miaka mitano tu nyuma. Innovations zinafanyika kama biashara inaingiza faida, sasa hizi zetu sijui Muziki tangia zianzishwe ziko hivohivo sababu hakuna kinachoingia cha maana kuweza kuupgrade contents na huduma zao..

Yote kwa yote kila la kheri, Idea nzuri, ila upokewaji mtaani utakuwa sifuri ukizingatia tu startup unayoitaka ni zaidi ya billion na nusu tayari
Napenda sana challenging comments kama hizi, zinajenga sana mnoo

Okay you are very right brother kinachokwamisha Startup nyingi nchini na Africa ni obsession ya kutengeneza fedha as per

Wengi tumezoea zile biashara nakupa 10M utakuwa unanipa laki kwa wiki


Ni tofauti kidogo mkuu na startups ndio maana wazungu wanatengeza platform ambazo they make it free ili tujae na hapo ndipo wanatengeneza hela


Platfom nyingi ziliianza bila ya kuwa na proper monetization

To mention a few Gmail, WhatsApp, Skype Dropbox, Slack, Asana, na zingine thousands

Ila kinachotokea ni kwamba watu wanacheza na valuation na kukiwa na users wengi wa Free ndipo hela inakuwa kubwa through ads


Mkuu umeongelea Bongo watu they wont pay but DUNDA ni worldwide sema it will target African contents

Lakini pia hata kama ni Bongo we can say okay leys do it for free users they dont pay at all tunaweza tumia mfumo kama wa Youtube wa Data Business

All in all naona kuna Millions way ku make money na DUNDA sema tu shida ni kupata quality developers, kupata proper funds

Ingekuwa ninataka kuweka Music from Major Label ingekuwa headache mara 5 maana kuna ishu ya licence lakini hapa ni Local Africa Artist naona ni rahisi kidogo
 
Napenda sana challenging comments kama hizi, zinajenga sana mnoo

Okay you are very right brother kinachokwamisha Startup nyingi nchini na Africa ni obsession ya kutengeneza fedha as per

Wengi tumezoea zile biashara nakupa 10M utakuwa unanipa laki kwa wiki


Ni tofauti kidogo mkuu na startups ndio maana wazungu wanatengeza platform ambazo they make it free ili tujae na hapo ndipo wanatengeneza hela


Platfom nyingi ziliianza bila ya kuwa na proper monetization

To mention a few Gmail, WhatsApp, Skype Dropbox, Slack, Asana, na zingine thousands

Ila kinachotokea ni kwamba watu wanacheza na valuation na kukiwa na users wengi wa Free ndipo hela inakuwa kubwa through ads


Mkuu umeongelea Bongo watu they wont pay but DUNDA ni worldwide sema it will target African contents

Lakini pia hata kama ni Bongo we can say okay leys do it for free users they dont pay at all tunaweza tumia mfumo kama wa Youtube wa Data Business

All in all naona kuna Millions way ku make money na DUNDA sema tu shida ni kupata quality developers, kupata proper funds

Ingekuwa ninataka kuweka Music from Major Label ingekuwa headache mara 5 maana kuna ishu ya licence lakini hapa ni Local Africa Artist naona ni rahisi kidogo
Mimi nina swali. Kwahyo kma startup haigenerate income hapo mwanzo je inajiendeshaje? Kwa hela za investors tu au?
 
Boss mazingira unayoongelea hapa ni mawili tofauti. Usilete mfano wa US first world country huku third world.. US kuna watu wana alot of money hawajui hata watumie wapi, watu wana pesa wanafund hizo projects bila hata shida..

Huku bongo kuraise hiyo $900k kaka acha kabisa kufikiri hivyo vitu. Hakuna tajiri hapa Tanzania au East Africa atatoa hizo pesa, fikiria tu Dewji kuweka 20b pale Simba ni kizungumkuti na Simba ni brand na ina Assets..
Unachokisema ni sahihi kiongozi, ni sahihi sana Tanzania hatuna angel investors wala venture capitalists na sio Tanzania ni Africa kwa ujumla...

Lakini Ecosystem inakua na watu kadhaa naona wanaanza kupata funds

Ni rahisi Startup ya Africa kupata funds kutoka Scandinavian kuliko US nakuelewa

Ila mlango wa China -Africa business corridor umefungua milango mengi sasa hivi China Ventures wameanza kuzitolea Startups from Africa

Sema ni kwamba Tanzania tumelala, Nigeria wameamka


Sishangai kusikia Paystack imenunuliwa $200 na Stripe

South Africa wao wameamua kukomaa na Fintech

Tanzania bado tuna changamoto bado

Ila tutafika

Ndio maana Isaya Yunge Kaya kaamua kuisajili San Fransisco hakutaka shida...

We still have that option thanks to Delaware company formation tunaweza register na kule lakini for now ngoja tuendelee ku brainstorm kwanza

 
Idea yako ni safi sana mkuu. Shida wanayopata hata akina Boomplay na Mikito ni kwamba wa Africa wengi tunapenda vya bure. Hatupo radhi kulipia vitu kama mziki, hatuheshimu kazi za wasanii na hata actors.

Juzi juzi hapa mtu alileta uzi kusema kuwa Spotify wamekuja bongo na wanaplan ya hadi 6,900 lakini mtu anakwambia DJmwanga yupo siwezi lipia. Hii nadhani ni challenge kubwa sana ya hapa Africa ambayo inaua innovation nyingi sana.

Kwese iFlix nao walipata shida kwasababu hii. Unakuta umepata investors wa kuwezesha kazi yako isimame lakini hakuna profit ya maana sababu waAfrica hawapo radhi kulipia.

MuAfrica atakubali kulipia kitu kma kina trend or kinamfanya aonekana kma mtu wa western. Kma watu wanavyokubali kulipia Netflix or Apple music sababu ya status.

Nakumbuka nilisoma blog post moja inayoelezea kiundani sababu ya startups kufail in East Africa (nikipata link nitaipost hapa) na inaelezea vizuri kuhus hii issue ya wa Africa kuwa cheap.

Je wewe umejipangaje kupambana na hii issue? Maana ndio kikwazo kikubwa kuliko vyote.

Mm napenda kuona tukifika mbali kwenye mambo ya tech na kuleta changes hapa Africa.
Bongo hapa mambo ni taratibu itafika pointi tutaweza kununua nyimbo,miaka ya 90,wakati nyimbo za kongo zinatamba,hakuna aliyefikilia itafika nyimbo za kiswahili za hapa nyumbani zitabamba kama leo,anzeni taratibu,anzeni na wanaoweza kununua,harafu fanyeni hata public education tuone umuhimu wa kulipia mziki,mnalipa kodi?

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina swali. Kwahyo kma startup haigenerate income hapo mwanzo je inajiendeshaje? Kwa hela za investors tu au?
Exactly ndio maana kuna Series A, B, C na D

Sema inategemea na aina ya module of business pia

Kwa mfano kwa B2B, B2G module maana yake inamaana kwamba huyo mteja Aidha Business au Government anatumia huduma yako ni lazima alipie

Mfano wa startup kama hizi ni Asana, Clickup, Tello na kadhalika yaani kampuni au Serikali au Taasisi mnatumia technology yao so you have to pay

Japokuwa wanaweza toa Fremium model

So hapa mara nyingi Investor anaangalia for the future kuwa hii technology italeta faida value ya kampuni hii itakuwa kubwa so anaweza wekeza fedha for seed round and akiona kuwa hamjaingiza kitu lakini akawa anaamini future ya startup anawekeza hela nyingine zaidi

Hii story iliwahi wakuta Uber

Lakini pia kwa B2C model kama mfumo wa DUNDA investor they invest kwa Data kwa maana Let's say DUNDA itakuwa free kwa watu wote maana yake tunategemea kupata 10M users monthly active users let's say so investors anaweza kuweka hela hapo akiamini kuwa mwisho wa siku hela itaingia kwenye matangazo


Lakini pia investors kuna maswali hupenda kuuliza Exit strategy ya kwako ni nini yaani hiyo kampuni unayoanzisha unataka ije kununuliwa au kuingiaa kwenye soko la hisa

So anaangalia unamuomba $900K now kwa exchange ya equity 5% after 5 years kampuni itakuwa na valuation ya 200M na inanunuliwa kwa 200M maana yake yeye atamake 5% ya 200M

That's 10M

Kuna trickies nyingi hapa Mkuu na kila Startup na Investors kuna millions kinds of scenarios
 
Ni ngumu sana. Chalii wa NALA nae alikutwa na challenge hii hii. Business model za huku kwetu ni kufanya B2B tu. Ni vyema utafte kitu ambacho utakiprovide for free (with ads) kwa end user lakini wewe main source yako ya income ikatoka kwa other businesses. Kma ukapata deal na Vodacom or other companies wakawa wanakutumia kwaajili ya advertisement. Nadhani hii ndio kidogo iko sustainable huku bongo.

Hata Kopa gas alipiga B2B akatembea. Chalii wa LUKU nae alifanya hvo hvo.
Yes Mkuu inawezekana ndio maana ya Fremium Model yaani for free users watakuwa wanakutana na ads kama zote za local companies etc

Lakini kuna watu ambao hawapendi Ads ndipo kunakuwa na Option ya kulipia mkuu na bei naamini itakuwa rafiki since tunatumaimi hatutakuwa tunachajiwa licence fee kubwa from record labels za Africa
 
Bongo hapa mambo ni taratibu itafika pointi tutaweza kununua nyimbo,miaka ya 90,wakati nyimbo za kongo zinatamba,hakuna aliyefikilia itafika nyimbo za kiswahili za hapa nyumbani zitabamba kama leo,anzeni taratibu,anzeni na wanaoweza kununua,harafu fanyeni hata public education tuone umuhimu wa kulipia mziki,mnalipa kodi?

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Yeah unachosema ni sahihi...ndio maana mie namuangalia mtu aliyeanzisha Food sasa ipo siku atakuwa Bilionaire

Trust me
 
Naogopa kusema sana, lakini mkuu unapoteza tu muda..

Waafrica bado tuko Ulimwengu wa nyuma sana kwa hayo unayoyawaza, hata Elon na ideas zake angesema aanze kuziimplement huku Africa angefeli mapema mno..

Kuna jamaa amekushauri hapo, hao Boomsplay na sijui Muziki wanakofeli sio content ila sokoni ndio kuna changamoto. Hata FB, Twitter na mitandao mingine ya kijamii haikuwa kama ilivyo sasa miaka mitano tu nyuma. Innovations zinafanyika kama biashara inaingiza faida, sasa hizi zetu sijui Muziki tangia zianzishwe ziko hivohivo sababu hakuna kinachoingia cha maana kuweza kuupgrade contents na huduma zao..

Yote kwa yote kila la kheri, Idea nzuri, ila upokewaji mtaani utakuwa sifuri ukizingatia tu startup unayoitaka ni zaidi ya billion na nusu tayari
Nadhani ungejua MAIN GOAL ya jamaa ungefuta ulichoandika.

Anachofanya jamaa simply kimeelezewa kwenye kitabu kinaitwa MILLIONAIRE FASTLANE By De Marco....

Kuna App juzi imenunuliwa na Ripple Naijeria Founders wake madogo mpaka sasa Wana mpunga mrefu sana.
 
Nadhani ungejua MAIN GOAL ya jamaa ungefuta ulichoandika.

Anachofanya jamaa simply kimeelezewa kwenye kitabu kinaitwa MILLIONAIRE FASTLANE By De Marco....

Kuna App juzi imenunuliwa na Ripple Naijeria Founders wake madogo mpaka sasa Wana mpunga mrefu sana.
Umemaliza chuo mwaka gani? Au bado upo chuoni??

Huyo De Marco Net Worth yake ni pesa ngapi??
 
Back
Top Bottom