CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Peter Wambugu amejizolea umaarufu mkubwa sana Kenya kwa kuweza kudevelop Breed yake ya Apple ambayo ameipa jina Wambugu Apple.
Hii apple inaonekana kuvuta watu wengi sana hasa West Africa, Centra America na Southern Africa pia na hii nazani ni kwa sababu ya hii varieties kuwa na uwezo wa kuzaa maeneo yanye joto la hadi 36°C ukilinganisha na varieties zingine ambazo zinahitaji maeneo ya baridi pekee kama Iringa, Njombe, Mbeya, Arusha. na oia kuwa na uwezi wa kuanza kuzaaa ikiwa na miezi 9 pekee.
Wiki ilio pita wamezindua kiwanda cha grading na hivyo kuwawezesha kuanza ku export matunda ya Apple.
Kuna binti yake anaitwa Cate Wambugu huyu ndio anasimamia Idea ya Baba yajmke kwenye Apple yao hio.
Unawesa google kwa habari zaidi ya Wambuhmgu Apple
Hii apple inaonekana kuvuta watu wengi sana hasa West Africa, Centra America na Southern Africa pia na hii nazani ni kwa sababu ya hii varieties kuwa na uwezo wa kuzaa maeneo yanye joto la hadi 36°C ukilinganisha na varieties zingine ambazo zinahitaji maeneo ya baridi pekee kama Iringa, Njombe, Mbeya, Arusha. na oia kuwa na uwezi wa kuanza kuzaaa ikiwa na miezi 9 pekee.
Wiki ilio pita wamezindua kiwanda cha grading na hivyo kuwawezesha kuanza ku export matunda ya Apple.
Kuna binti yake anaitwa Cate Wambugu huyu ndio anasimamia Idea ya Baba yajmke kwenye Apple yao hio.
Unawesa google kwa habari zaidi ya Wambuhmgu Apple