Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atumia usafiri wa bodaboda kuchukua fomu ofisi ya Mkurugenzi

Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Kwani y peke yake mwenye hizo

Ova
 
Mkuu hajavaa helmet, au nayeye akikamatwa atatoa ile elfu5 ya kubrash viatu tuliyoambiwa na jiwe??
 
Back
Top Bottom