Kasi kazini
Member
- Sep 7, 2023
- 5
- 11
Siku hizi usafiri wa bodaboda ni usafiri maarufu sana hapa nchini na watu wengi wanautumia usafiri wa bodaboda kwenda kwenye majukumu yao mbalimbali.
Wewe kama ni (mtumiaji) wa usafiri wa bodaboda. Naomba nikupe mambo machache ya kuzingatia unapotumia usafiri wa bodaboda.
Haya mambo nayaandika kutokana na uzoefu wangu katika kuendesha bodaboda.
1. Hakikisha bodaboda unayopanda ni salama ina taa, ina side mirror, na ina taa za kuonyesha ishara ya kwenda kulia au kushoto (endiketa)
Wakati mwingine ajali za bodaboda zinasababishwa na kukosekana kwa hivyo vitu kwenye bodaboda
Unastuka tu bodaboda kaenda kulia au kushoto bila kuonyesha ishara yeyote, au anakatisha barabara bila kujua nyuma kuna nini kwa sababu ana side mirror anasababisha ajali.
2. Usalama wa dereva
Kwa muonekano tu unaweza kumtambua huyu dereva ni salama kiasi gani. Je? Anajijali, ana elimenti, amevaa viatu vya kufunika mguu, mana kuna wengine wanavaa ndala au yebo yebo je? ni msafi
Maana kama dereva ajijali atakujalije wewe abiria wake. Mtazame dereva vizuri usoni ukihisi ni mlevi au amelewa usipande hiyo bodaboda.
3. Kama unapanda bodaboda usiku labda umesafi upo sehemu ngeni pandia bodaboda kwenye kituo rasimi sehemu yenye bodaboda wengine.
Mana kama itatokea changamoto yeyote huyo bodaboda ni rahisi kumpata mana bodaboda wanasajiliwa kwenye vituo.
Mwisho kabisa vitu nilivyoviandika namba 1 na namba 2 unaweza kuvitambua ndani ya sekunde 20 tu
@kasikazini one love
Wewe kama ni (mtumiaji) wa usafiri wa bodaboda. Naomba nikupe mambo machache ya kuzingatia unapotumia usafiri wa bodaboda.
Haya mambo nayaandika kutokana na uzoefu wangu katika kuendesha bodaboda.
1. Hakikisha bodaboda unayopanda ni salama ina taa, ina side mirror, na ina taa za kuonyesha ishara ya kwenda kulia au kushoto (endiketa)
Wakati mwingine ajali za bodaboda zinasababishwa na kukosekana kwa hivyo vitu kwenye bodaboda
Unastuka tu bodaboda kaenda kulia au kushoto bila kuonyesha ishara yeyote, au anakatisha barabara bila kujua nyuma kuna nini kwa sababu ana side mirror anasababisha ajali.
2. Usalama wa dereva
Kwa muonekano tu unaweza kumtambua huyu dereva ni salama kiasi gani. Je? Anajijali, ana elimenti, amevaa viatu vya kufunika mguu, mana kuna wengine wanavaa ndala au yebo yebo je? ni msafi
Maana kama dereva ajijali atakujalije wewe abiria wake. Mtazame dereva vizuri usoni ukihisi ni mlevi au amelewa usipande hiyo bodaboda.
3. Kama unapanda bodaboda usiku labda umesafi upo sehemu ngeni pandia bodaboda kwenye kituo rasimi sehemu yenye bodaboda wengine.
Mana kama itatokea changamoto yeyote huyo bodaboda ni rahisi kumpata mana bodaboda wanasajiliwa kwenye vituo.
Mwisho kabisa vitu nilivyoviandika namba 1 na namba 2 unaweza kuvitambua ndani ya sekunde 20 tu
@kasikazini one love