Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,350
Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote
Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .
Nakulilia Tanzania
===============