Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 4,702
- 6,863
Nimeona tangazo LATRA inataka kukaa na wadau ili nauli zipande heti! Hii Nchi hawa viongozi hawana huruma na wananchi au? Mafuta yashaanza kushuka huko duniani, wao wanawaza kupandisha nauli.
Kiukweli ccm ni janga kumbe!!!Nimeona tangazo LATRA wanataka kukaa na wadau ili nauli zipande heti! Hii Nchi hawa viongozi hawana huruma na wananchi au? Mafuta yashaanza kushuka huko duniani,wao wanawaza kupandisha nauli....kkmae
Hatari sana! Watu wakiongea ukweli wanatekwaNchi ya kipuuzi sana chini ya utawala wa ccm. Gharama za maisha zinazidi tu kupanda huku wananchi walio wengi wakiendelea kutaabika kwa ugumu wa maisha.
Nchi imeozaViongozi Ndiyo Wenye
Vituo Vya Mafuta
Daladala
Buses
Kuna Mbunge Mmoja Mkoa Fulani Alipandisha Mafuta Siku Mbili Kabla Ya Tamko La EWURA La Mabadiliko Ya Bei
Jiulize Jeuri Kaipata Wapi Huyo
Nchi ya kipuuzi sana chini ya utawala wa ccm. Gharama za maisha zinazidi tu kupanda huku wananchi walio wengi wakiendelea kutaabika kwa ugumu wa maisha.
Tatizo sekta ya mafuta inashikwa na hao hao viongozi wa chama,na kwenye usafirishaji nako magari ni yao! I see tuna kazi kubwa sana,Wamepandisha 1000 kwa lita moja hata wakipewa bure mafuta huko Iran hawataweza kushusha hiyo bei..
acha tuangalie nini kinatokeaMbona mafuta yakishuka nauli hampunguzi? Halafu msimzoee uyu Rais wasasa,mbona magufuli aliwaambia pakini magari kama mnapata hasara mbona mlikaa kimya? Serikali embu watakaogoma sitisheni leseni zao maana hiki ni kipindi cha mpito je? Mafuta yakirud watakubali kurudi kwenye bei ya zamani?
Yaani LATRA kwenye kuwasikiliza wamiliki wa Mabus ili nauli ipande wapo fasta mnoo! Ila mafuta yanaposhuka karibia kwa 40% Wala hawapo kuwatetea wananchi nauli zishuke na hutowasikia,na wamiliki wa Mabus watakuambia spare pia zipo juu! Hii Nchi Ina uongozi wa hovyo sana. Wananchi hawatetewi,wanatetewa wafanyabiasharaacha tuangalie nini kinatokea
mwananchi hii nchi hajawahi kua na chake, sisi ni kusindikiza taifa tuYaani LATRA kwenye kuwasikiliza wamiliki wa Mabus ili nauli ipande wapo fasta mnoo! Ila mafuta yanaposhuka karibia kwa 40% Wala hawapo kuwatetea wananchi nauli zishuke na hutowasikia,na wamiliki wa Mabus watakuambia spare pia zipo juu! Hii Nchi Ina uongozi wa hovyo sana. Wananchi hawatetewi,wanatetewa wafanyabiashara
Ccm ni janga kwakwelimwananchi hii nchi hajawahi kua na chake, sisi ni kusindikiza taifa tu