kupanda kwa nauli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kupanda kwa Nauli Njia ya MBEZI-MSUMI, MBEZI-MPIJI MAGOE, MBEZI-MSAKUZI

    Kabla ya kupanda kwa mafuta nauli za daladala ilikuwa shilingi mia saba 700/= kwa abiria lakini kila ikifika jioni kuanzia saa 1 na kuendelea hupanda mpaka shilingi elfu moja 1000/=, kila abiria atakaye uliza majibu watakayopewa ni kuwa usiku usafiri wa shida gari chache pia barabara za maeneo...
  2. Mzee makoti

    JamiiForums Tanzania LATRA na kupanda kwa nauli

    Nimeona tangazo LATRA inataka kukaa na wadau ili nauli zipande heti! Hii Nchi hawa viongozi hawana huruma na wananchi au? Mafuta yashaanza kushuka huko duniani, wao wanawaza kupandisha nauli.
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania LATRA: Kupanda kwa nauli ya mwendokasi hakuhusiani na matukio ya Oktoba 29

    Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Habibu Suluo amesema ongezeko la nauli ya Mwendokasi kutoka TZS 750 hadi TZS 1,000 hakuhusiani na matukio ya Oktoba 29, 2025. Pia Soma: KERO - LATRA: Nauli Mwendokasi (DART) kwanini imepandishwa bila taarifa? LATRA: Serikali imeridhia...
Back
Top Bottom