Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,567
- 41,330
Kila mafuta yanapopanda wanakuja kutetea na kulinganisha na bei ya USA wakati USA mtu anapata kipato kikubwa kuliko Tanzania inashangaza sana..Tatizo sekta ya mafuta inashikwa na hao hao viongozi wa chama,na kwenye usafirishaji nako magari ni yao! I see tuna kazi kubwa sana,