Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Hivi kweli watu mnaamini kwamba mimi niko Marekani?

Kama huwa nadanganya je?

Mna ushahidi gani kuwa kweli mimi nipo Marekani na si Ikungulyabashashi kwenye kijumba changu cha udongo kilichoezekwa kwa nyasi?

haya chacha au kuna mtu ulimwambiaga uko kwa obama? Mbona watu wakiogelea mambo ya uko unatajwa weye? Ukiona ivyo siri yako ushatoboa. Just thinking.
 
Acha fix wewe,las vegas iko Nevada..me huwa napenda kutembelea los Angeles{a.k.a city of angels}.ni kweli kabisa vegas ndo vurugu zote za kidunia zinafanyikia pale yani kuanzia kamari,utapeli hadi uzinzi.
 
haya chacha au kuna mtu ulimwambiaga uko kwa obama? Mbona watu wakiogelea mambo ya uko unatajwa weye? Ukiona ivyo siri yako ushatoboa. Just thinking.

Hakuna siri yoyote iliyotoboka.

Hakuna mtu aliyewahi kuniona nikiwa/ nikiishi Marekani.

Watu hunisoma tu.

Kwa hiyo naweza kabisa nikawa nadanganya na hakuna jinsi ya kuthibitisha kuwa niko Marekani.

Hizi ngebe zote zinaweza zikawa zinatokea Ikungulyabashashi.

Wewe unamjua yeyote humu ambaye keshawahi kuniona nikiwa Marekani?
 
Hivi kweli watu mnaamini kwamba mimi niko Marekani?

Kama huwa nadanganya je?

Mna ushahidi gani kuwa kweli mimi nipo Marekani na si Ikungulyabashashi kwenye kijumba changu cha udongo kilichoezekwa kwa nyasi?
Hata mi huwa nashangaa kwanini watu wanakupa promo za bure.
 
Hata mi huwa nashangaa kwanini watu wanakupa promo za bure.

Ujinga tu unawasumbua.

Na walio wajinga wataona nimewatusi kwa sababu wako wajinga na hawajui maana ya ujinga ni nini.

Ukiona jinsi watu wanavyonielezeaga humu utaishia kucheka tu.

Wapo ambao hudai mimi ni mzee [nina miaka kati ya 50 - 70].....utadhani walinizaa wao. Cha kustaajabisha zaidi ni hawajui hata nafananaje, hawajahi kuona kitambulisho changu chochote kile wala cheti changu cha kuzaliwa, na kadhalika.

Kuna vituko humu wewe...acha tu.
 
Wacha nisubiri mafao yangu niende nikajionee kabla sijafa.
 
Nikikopa mkopo NMB kama sh. ngapi hivi inatosha kunipeleka huko mkuu?

He he he...sheikh unataka ukafanye na ufiraun sasa? Umepagawa vichwa? Jilinde sana mwili na nafsi yako ili vilinde roho yako.
 
Daaah umenikumbusha mbaliii can't wait mwisho wa mwaka nirudi tena las Vegas
 
Ujinga tu unawasumbua.

Na walio wajinga wataona nimewatusi kwa sababu wako wajinga na hawajui maana ya ujinga ni nini.

Ukiona jinsi watu wanavyonielezeaga humu utaishia kucheka tu.

Wapo ambao hudai mimi ni mzee [nina miaka kati ya 50 - 70].....utadhani walinizaa wao. Cha kustaajabisha zaidi ni hawajui hata nafananaje, hawajahi kuona kitambulisho changu chochote kile wala cheti changu cha kuzaliwa, na kadhalika.

Kuna vituko humu wewe...acha tu.

Hata Mimi nakufahamu teh teh
 
Wacha nisubiri mafao yangu niende nikajionee kabla sijafa.

Nipo hapa toka jana jioni natafuta mahindi ya kuchoma yenye pilipili mie kwani naona basi? Mlenda kama wa nyumbani chamanga ndio kabisaa...na kila nipitapo nachekwa mie,
 
Sio wote wenye interest na starehe za kitambo, personal interest
 
:usa: baby :usa: Baby Mandingo anachezea kampuni gani huko Nevada? Starehe zipo duniani kote hakuna sehemu yenye starehe nyingi kushinda nyenzake,starehe za binadamu ni ngono,pombe,massages,swimming,etc na vyote duniani kote vinapatikana,hata ukienda kantalamba au naminywili huko napo utapata starehe za kutosha Kama vile upo Massachusetts.

Hii ngumu kumesa mkuu ,kantalamba wanaume hawaoani
 
Last edited by a moderator:
Kama unaongelea starehe hiyo popote nitafanya kwa viwango vyangu na mahitaji yangu, wala sihitaji kwenda Nevada. Binafsi ukinitajia marekani hiyo nevada inaweza hata nisiikumbeke kama ipo huko.
Maeneo yanayonivutia huko New Mexico, Texas, Kentucky, Indiana Polis, Arkansans, Philadelphia, Phoenix, Arizona, na Oklahoma

Bila Shaka wewe utakua cowboy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom