Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Las Vegas Jiji la anasa Duniani

Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Film za x kwako no anasa
 
ina maana wewe unajua kampuni zote za X mkuu? Hata Las vegas zipo nyingi sana,kinachofanyika ni kwa participants wa filamu hizo kuwa filmed Las vegas,kampuni kuwa california si lazima pia wawe filmed huko,kumbuka Las vegas ni jiji la anasa lililopo ktk jimbo la Nevada,(samahani nilikosea kwenye uzi)Nevada ndo jimbo kitovu cha marekani ktk mambo ya ulinzi na ndipo wanasayansi wa jeshi wanapotengeneza silaha hatari duniani ktk eneo la area 51,silaha ambazo hakuna taifa linazo duniani,najua anti-america watapinga,karibuni.


we jamaa acha uzwazwa hizi documentary sizikudanganye na wewe ukaja danganya watu nan amekwambia area 51 wanatengeneza silaha unaweza niambia ni silaha gani ambazo zinatengeneza humo??

sasa sikia us wana makampuni ambao ni defence contrctors wa kutengeneza silaha kuna lokhead martins ambao wako bathessda, maryland kuna boeing ambao wako seattle kuna general dynamics wako virginia kuna raytheon ya kina bush iko massachusets sema hawa wameanza kufulia sasa hizo silaha zinazotengenezwa area 51 ni zipi? acha kuongopea watu wazima dogo
 
Kwa hapa Dar unaweza kulifananisha na mitaa yenye starehe nyingi kama Manzese au vingunguti.
 
Ukibahatika kwenda Marekani na ukawa na akiba ya viji cent usisahau kutembelea ktk jiji la Las Vegas lililopo ktk jimbo la California huko kuna starehe za kufa mtu,watu wanatumbua noti kama hawana akili nzuri vile.

Ndipo mara nyingi utawakuta kina John Cena,Broc Lesnar,na wrestlers wengine wakijifua na mazoezi,kuna ma kasino ya kufa mtu na ndipo filamu za X zinachezwa kwa wingi.cc:nyani ngabu.

Pia ukifanikiwa kuja Arusha usiache kuja kwa morombo kupata mbuzi choma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom