GE2025 Larry Madowo: Nimetumiwa mamia ya video, baada ya wiki kadhaa tutatoa ripoti ya Uchaguzi wa Tanzania

GE2025 Larry Madowo: Nimetumiwa mamia ya video, baada ya wiki kadhaa tutatoa ripoti ya Uchaguzi wa Tanzania

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
"Nimetumiwa mamia ya video, nimeongea na watu wengi wakiwemo waandishi wa habari, baada ya wiki kadhaa tutatoa ripoti ya uchaguzi wa TZ." - Larry Madowo

 
Larry Madowo, aliulizwa kwa nini hakuwepo Tanzania kurekodi matukio ya uchaguzi akasema anaogopa kuwa sodomized maana akikumbuka walichofanywa kina Boniphace Mwangi sio poaa...😂😂
Screenshot_20251108_193542_Facebook.jpg
 
Hii miaka 5 itakuwa ni miaka ya kujisafisha huyu mama hakuna maendeleo makubwa yatafanywa akili, nguvu na fedha zitaelekezwa huko kwa wanasheria wa dunia ili washafushe upepo huko icc yaleyale ya kenya 2007

Mkuu wa majeshi , IGP wajiandae kisaikolojia amri zao zilisababisha maafaa makubwa.
 
Hii miaka 5 itakuwa ni miaka ya kujisafisha huyu mama hakuna maendeleo makubwa yatafanywa akili, nguvu na fedha zitaelekezwa huko kwa wanasheria wa dunia ili washafushe upepo huko icc yaleyale ya kenya 2007

Mkuu wa majeshi , IGP wajiandae kisaikolojia amri zao zilisababisha maafaa makubwa.
Hata afanyeje hawezi kujisafisha hiyo damu ya Watanganyika.

Na tutaona kama atafikisha hiyo miaka 5!!
 
Unajua hao watu hawana akili kabisa!

Zama hizi huwezi kufanya uovu wowote ule hadharani halafu ujidanganye kuwa unaweza ukauficha.

Wako so detached na reality.
Wenzio walizima internet wakajua watafanya watakayo billa dunia kujua. Nikikuwa nawaambia watu subirini mtandao uwake au wasiwashe milele.
Halafu wamefungia JF kumbe wameipa nafasi ya kupost chochote bila woga kwasababu hsipo Tz sasa hivi.
 
Larry Madowo, aliulizwa kwa nini hakuwepo Tanzania kurekodi matukio ya uchaguzi akasema anaogopa kuwa sodomized maana akikumbuka walichofanywa kina Boniphace Mwangi sio poaa...😂😂View attachment 3499106
Haya sio mambo ya kuchekesha mkuu, labda kama unacheka kwa uchungu. Hawa wahuni kwa muda mfupi wameharibu sana sifa njema ya taifa letu. Hebu fikiria mtu maarufu kama Larry anaitangazia dunia watu huwa wanafanyiwa matendo ta kishenzi kama hayo wakiwa Tanzania, ni nani atakuja?
 
So anaandika Report kwa picha alizotumiwa🤣🤣🤣🤣🙃🙃 hawa ndo waandishi wa mchongo....
 
Back
Top Bottom