Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Landing Rights for satellite launching in Tanzania

unahitaji kibali cha TCRA
TCRA hii hii iliyoipiga ban jf au kuna TCRA ziada?

Umewahi kijiuliza kwa nini jf imeendelea kuwa hewani ulimwenguni pote hata baada ya kupigwa ban na TCRA ?
Acha kutumia makalio kama akili yako zoba wahed weye
 
TCRA hii hii iliyoipiga ban jf au kuna TCRA ziada?

Umewahi kijiuliza kwa nini jf imeendelea kuwa hewani ulimwenguni pote hata baada ya kupigwa ban na TCRA ?
Acha kutumia makalio kama akili yako zoba wahed weye
Kiazi kweli wewe ....hapa naongelea utii wa sheria
 
Wewe huna unachojua kabisa. Satellite nazo zinahitaji vibali huwezi kujifanyia tu. Zipo sheria za kimataifa zinazosimamia satellite landing rights. Mleta uzi kauliza swali la msingi sana ila nyie misukule ya Lissu na Mange mnakurupuka kutukana na kujibu msiyoyajua.
Yosanafabeche
 
Swali la kiwaki.

Waulize watu wa department of Geography pale mlimani. Au ongea na mtu yeyote mwenye utaalaam wa GIS (Geographical Information System).

Satellite images zimekuwa zikitumiwa muda mrefu sana na watu wa mbuga za wanyama kwa ajili ya tafiti kwenye mbuga na mambo ya mazingira.
Hata tu sisi tuliosoma geography ya form 3 topic ya photography na map reading tunaweza kummudu kujibu hili swali.
 
kwahiyo hata katika hili walihitaji kibali?
Kama umesoma sheria angalau chekechea unajua kuwa sheria inaruhusu kuvunjwa panapolazimika.
Mfano 1. Hurusiwi kuingia chumbani kwa mtu pasipo ruhusa lakini ikitokea kuna hatari ya moto, mauaji, ubakaji huhitaji ruhusa kuingia chumbani kwa mtu.
Mfano 2. Hurusiwi kuingia shambani kwa mtu pasipo ruhusa lakini unapoona jambazi kajificha shambani mwa mtu na wewe ni askari utaenda kumshika jambazi au utamtafuta mwenye shamba ili akupe kibali?
Ahahaaa Baada ya kuukosa uwaziri unabwata we mama!

Hebu jikaze huko, kuwa kama Lucas Mwashambwa anaridhika na ujira wake wa "tia maji tia maji" maisha yanasonga.

Utajiju! Kazi na utu.

Ntakuombea kazi kwa Kaka angu UCD uwe unaosha kagari kake.

Cc: binti kiziwi Wanu HAFIDH AMEIR cocastic Lamomy
 
Nimesikitika sana kugundua kuwa watu hawajui satelite huwa zinarusha mawimbi kutua sehemu mbalimbali ndo hapo LANDING RIGHTS zinapohusika. Yaani mtu anakurupuka kutafsiri kiingereza kwenda kiswahili bila kujua hilo neno linatumikaje kwenye tasnia.
Upo sawa lakini hizo landing rights zinakuwa null and Void as far as crime is concerned hususani dhidi ya raia. Tuhuma za kuua watu na kwenda kuwafukia kuficha ushahidi tayari hapo mme Spook attention ya umoja wa mataifa... Kuna Red line hupaswi kuvuka... Kamuulize ayatollah nini kilimkuta pale B-2 stealth bomber zilipokuja kwenye anga lake kumsabahi...
 
Wakuombe kibali kwani unawachangia mafuta ya kuendesha satelite we boya kweli
 
CCTV footage
20251122_045519.jpg

Satellite image

Hapa hata mtoto wa vidudu anafahamu yupi wa kumuamini na yupi wa kupuuzwa.
20251122_045130.jpg
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Nyie kibali cha kuua maelfu ya raia mlikipata wapi?
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?

Mzee baba una nia nzuri ya kutaka kudadisi lakini nahisi umechanganya mafaili...

Kurusha maudhui kama matangazo ya televisheni au redio kwa 'satelaiti' sio sawa na kutumia matumizi ya 'satelaiti' mathalani GPS kutazama hali ya juu ya nchi...

Mfano wewe kwenye simu yako unaweza ukawa umeweka app ya Google earth inayokuwezesha kutembelea eneo lolote dunianai na kutazama mandhari yake toka juu 'aerial view' na wala huitaji kibali chochote...

Njia nyingine ni kupitia mifumo ya kijeshi haswa majeshi ya nchi zilizoendelea ambazo huwa na mfumo wa kuchunguza mienendo ya chochote kinachotokea chini kwa ama kutumia 'satelaiti' au ' kutumia ndege zisizo na rubani...

Hivyo wakati jamaa wanatembeza njugu siku hizo, huwenda wenzetu walisogeza drones zao almaarufu 'bird' kwenye anga letu ili kulinda maslahi yao ikiwemo ubalozi...
 
Mzee baba una nia nzuri ya kutaka kudadisi lakini nahisi umechanganya mafaili...

Kurusha maudhui kama matangazo ya televisheni au redio kwa 'satelaiti' sio sawa na kutumia matumizi ya 'satelaiti' mathalani GPS kutazama hali ya juu ya nchi...

Mfano wewe kwenye simu yako unaweza ukawa umeweka app ya Google earth inayokuwezesha kutembelea eneo lolote dunianai na kutazama mandhari yake toka juu 'aerial view' na wala huitaji kibali chochote...

Njia nyingine ni kupitia mifumo ya kijeshi haswa majeshi ya nchi zilizoendelea ambazo huwa na mfumo wa kuchunguza mienendo ya chochote kinachotokea chini kwa ama kutumia 'satelaiti' au ' kutumia ndege zisizo na rubani...

Hivyo wakati jamaa wanatembeza njugu siku hizo, huwenda wenzetu walisogeza drones zao almaarufu 'bird' kwenye anga letu ili kulinda maslahi yao ikiwemo ubalozi...
Access ya mimi kwenye google map naamini ina kibali cha TCRA.
Swali langu ni rahisi sana ..je CNN walitumia google map ninayotumia kufanya analysis au kitu kingine ?kumbuka google map haina access ya maeneo yote nchini.
unapotaka kutumia something beyond civilian acceptable apps lazima upate kibali...je kibali hiko walikipata?
kama hawakuwa nacho hiyo ni violation ya mipaka yetu inayolindwa na JWTZ...na kamwa huwezi kujikweza kwa kuviolate mipaka ya nchi nyingine hata kama una uwezo huo .
This is a serious security matter of concern!
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Una elimu gani? Zile Satelitee za NATO zinazo piga picha Urusi huwa wana kibali? Fuvu lako umebeba kamasi badala ya Ubongo?
 
Una elimu gani? Zile Satelitee za NATO zinazo piga picha Urusi huwa wana kibali? Fuvu lako umebeba kamasi badala ya Ubongo?
Umefuatilia kujua namna zinavyofanya kazi kilaza wa HKL wewe
 
Back
Top Bottom