Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Access ya mimi kwenye google map naamini ina kibali cha TCRA.
Swali langu ni rahisi sana ..je CNN walitumia google map ninayotumia kufanya analysis au kitu kingine ?kumbuka google map haina access ya maeneo yote nchini.
unapotaka kutumia something beyond civilian acceptable apps lazima upate kibali...je kibali hiko walikipata?
kama hawakuwa nacho hiyo ni violation ya mipaka yetu inayolindwa na JWTZ...na kamwa huwezi kujikweza kwa kuviolate mipaka ya nchi nyingine hata kama una uwezo huo .
This is a serious security matter of concern!

Wametumia GPS map hii hii kama ya google isipokuwa picha zake za satelaiti zipo updated...

Kwa kawaida google map tunayoitumia sio real time kwa sababu za kiusalama...

Lakini ukitaka picha ambazo ni real time kwa sababu za kiuchunguzi, kiudukuzi au kijasusi basi huwa zinapatikana...

Kama umekuwa mfuatilia wa habari za vita mashariki ya kati, ghuba ya uajemi basi utakubaliana nami kuna wakati mashirika ya habari kama CNn au BBC yanarusha habari za kiuchunguzi zenye picha za satelaiti kuonesha labda makombora yamepiga au kuharibu eneo gani, au kuonesha maghala au mitambo fulani ya nyuklia n.k

Sisi watumiaji wa kawaida tukitazama kwa sasa namna Kondo ilivyo, tutaona picha za mwisho za satelaiti pengine za Juni au July 2025, hivyo huwezi kuona mabadiliko yeyote ya Oktoba au Novemba...

Picha ya Kondo ukitazama google map leo tar 22/23 Nov (inategemea upo majira gani)

Screenshot_20251122_214624_Maps.jpg
 
Wametumia GPS map hii hii kama ya google isipokuwa picha zake za satelaiti zipo updated...

Kwa kawaida google map tunayoitumia sio real time kwa sababu za kiusalama...

Lakini ukitaka picha ambazo ni real time kwa sababu za kiuchunguzi, kiudukuzi au kijasusi basi huwa zinapatikana...

Kama umekuwa mfuatilia wa habari za vita mashariki ya kati, ghuba ya uajemi basi utakubaliana nami kuna wakati mashirika ya habari kama CNn au BBC yanarusha habari za kiuchunguzi zenye picha za satelaiti kuonesha labda makombora yamepiga au kuharibu eneo gani, au kuonesha maghala au mitambo fulani ya nyuklia n.k

Sisi watumiani wa kawaida tukitazama kwa sasa namna Kondo ilivyo, tutaona picha za mwisho za satelaiti pengine za Juni au July 2025, hivyo huwezi kuona mabadiliko yeyote ya Oktoba au Novemba...

View attachment 3506018
hoja yangu ipo pale pale je wametumia mifumo rasmi?wamefuata taratibu tunazozijua?
 
hoja yangu ipo pale pale je wametumia mifumo rasmi?wamefuata taratibu tunazozijua?

Kwa ukubwa wa shirika hilo la habari lazima wamefuata mfumo rasmi mzee baba ndio maana nimekutajia mifano mingine...

Kitu pekee ambacho hao CNN, mimi na wewe hatuwezi kuwa na uhakika ni kwa nini eneo limekuwa kipara sasa na wakati kabla lilikuwa na uoto asili...

Ninavyojua uchunguzi wa kisatelaiti ukitumika zaidi utaweza pia kutoa majibu ya kwa nini pako hivyo kipara sasa 😄, wenye GPS wanakuwa na hizo rekodi za picha ambazo GPS imerekodi katika muda mfupi mfupi...
 
Hivi walitumia "land" kurusha" satellite kumbe? Nisaidieni maarifa wandugu! Sikujua km cnn walikuja kurusha satellite wakati damu zinatirirka
Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7.
Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc. Unacotakiwa kufanya kama unataka kupata hizi picha unawapa tarehe wanakuuzia picha waliyopata siku hiyo. CNN wao wamasema walitumia Planet Labs na Vantor.
Kama unapesa unaweza kwenda unakunua hizo picha.
 
Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7.
Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc. Unacotakiwa kufanya kama unataka kupata hizi picha unawapa tarehe wanakuuzia picha waliyopata siku hiyo. CNN wao wamasema walitumia Planet Labs na Vantor.
Kama unapesa unaweza kwenda unakunua hizo picha.

Naomba umuelimishe mtoa mada sasa coz kaleta boko hapa
 
Wakati ule B-2 Bombers zinafanya usafi Iran, Trump alimwambia Ayatollah kuwa anajua shimo alimojificha, kwani alikuwa amemuomba kibali kabla?

Kuna satellites nyingi zinafanya surveillance dunia yote na kuhifadhi images 24/7. Kama ukiwa unafanya uhalifu mkubwa lazima ubanwe. Hakuna haki ya privacy kwenye uhalifu.

Kama hivi ishajulikana, mkienda kufukua na kuhamisha miili mtashangaa sana, maana ushahidi woote mtaukuta ubaoni
Maneno kama haya yananipa sana faraja
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Elimu ELimu Elimu - E.N.L(2015)
 
Wewe ni kilaza ...zipo sheria za kimataifa na kitaifa zinazosimamia...
Abdul ameajiri vilaza wasio na elimu yeyote na kuwaleta mitandao kueneza propaganda ,kwahiyo wewe jicho lako linazuia kuona kwasababu ya sheria? Kwahiyo anga ya TZ imekuwa covered na mablanket kiasi cha kuzuia satelite isiweza kuona?
 
Abdul ameajiri vilaza wasio na elimu yeyote na kuwaleta mitandao kueneza propaganda ,kwahiyo wewe jicho lako linazuia kuona kwasababu ya sheria? Kwahiyo anga ya TZ imekuwa covered na mablanket kiasi cha kuzuia satelite isiweza kuona?
wewe pamoja ma kutumia avatar ya mkongwe wa JF unakuja na comment kama hii ?hebu rudia kwenye ule U JF member wako kabla ya mwita bana
 
Jielimishe kuhusu landing right mkuu
Hakuna sheria yoyote CNN imekiukAa. Matumizi ya neno "haki za kutua" katika sheria za Tanzania yanahusu zaidi waendeshaji wa satelaiti wa kigeni wanaouza uwezo wa mawasiliano kwa waendeshaji wa ndani walio na leseni kwa ajili ya huduma za kibiashara za mawasiliano ya simu, si kwa ajili ya kuripoti habari kwa kutumia picha zinazopatikana hadharani au kibiashara.
 
Access ya mimi kwenye google map naamini ina kibali cha TCRA.
Swali langu ni rahisi sana ..je CNN walitumia google map ninayotumia kufanya analysis au kitu kingine ?kumbuka google map haina access ya maeneo yote nchini.
unapotaka kutumia something beyond civilian acceptable apps lazima upate kibali...je kibali hiko walikipata?
kama hawakuwa nacho hiyo ni violation ya mipaka yetu inayolindwa na JWTZ...na kamwa huwezi kujikweza kwa kuviolate mipaka ya nchi nyingine hata kama una uwezo huo .
This is a serious security matter of concern!
Mbona unaongea utumbo sana....
Ulitakiwa uongee hivi kama wewe ni raia wa US, au wa nchi za NATO...
Kiinchi chenyewe unachikitetea hakina uwezo hata kutengeneza au kurusha hizo satellite....
Russia yenye uwezo huo inajua kabisa kila siku inachunguliwa na NATO na ndio wanaotoa coordinates kwa Ukraine kutumia Himars...na Putin anachobaki ni kubwekabweka tu...
Una bwabwaja hapa utadhani kiinchi kina mashiko yoyote kwenye pilika za dunia....
Haya wamefanya hivyo unatakata wafanyaje, wakafunhgue mashitaka wapi, kwa nani na nani atawasilikiza zaidi ya kuangua vicheko....
Kiinchi chako kikiifungia CNN, halafu watapata nini zaidi ya kuanza kuandamwa kimataifa kama kiinchi cha kidekteta halafu ni masikini choka mbovu....
Na unapotaja eti mipaka inayolindwa na jwtz ni vichekesho ......
 
Kukosa elimu ni shida! Yaani huu uzi unaonyesha ujinga wa hali ya juu. TCRA na hivyo vimashine vyao vys kuzima mitandao, hata juu ya mawingu hawafiki sasa huko kwenye anga za juu ilipo setilait wanahusikanaje huko? CCM inawafanya waTZ hata kujua mambo anga ni shida.
😄😄😄😄nimecheka
 
Hawa chawa wa ccm hawana elimu kama maboss zao. Anahisi satellites ndio drdrones

Mkuu wewe na aliyeweka thread wote hamjui satellites ni nini na zinafanyaje kazi.
Nahisi mnafananisha satellites na drones

Satellites zipo huko angani kuzunguka maeneo yote wala haihitaji kibali cha mtu. Lengo la hizi satellites kwa civilian uses sio lengo bay ndio maana zinafanya kazi masaa 24

Utofauti upo kwenye kupata picha za sasa. Hii huduma inalipiwa. Sio cnn tu hata wewe ukiwa unataka picha za satellites za kijijini kwenu au popote za sasa hivi au miaka kumi iliyopita unapata ni pesa yako tu
Ndo maana habil anashangaa anawaia primitives 😃😃🙌🙌
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Kutokea sasa satellite zote za dunia zitaelekezwa kwenye maandamano pia makaburi kuchukua ushahidi wa wauaji.
 
  • Thanks
Reactions: Zed
wewe pamoja ma kutumia avatar ya mkongwe wa JF unakuja na comment kama hii ?hebu rudia kwenye ule U JF member wako kabla ya mwita bana
Nimeuliza swali kwahiyo anga letu limefunikwa na mablanket yanayozuia satelite zisiweze kuona? Au sheria zikishatungwa automatically anga linakuwa invisible?
 
M
Mdau kutoka Facebook ana sema
A wiseman once saidi "You can't block diarrhea by putting a finger (🤞) into your @.nus"
Kuna watu heri wakutukane si kwa hili jibu ka wewe😀😀😀😀😀😀😀

Satelite inamilikiwa na TCRA😀😀
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Hizi elimu ndogo.ile habari ni kubwa kuliko iluwezo wa akili yako kwa hiyo lazima izidiwe tu
 
Ila akili za tu uv mbogamboga hata bata anawazidi 😹
 
Back
Top Bottom