Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Lo, satellite zinakuwa katika anga ya kimataifa. Anga ya kimataifa sio anga ya nchi fulani.
 
Nimesikitika sana kugundua kuwa watu hawajui satelite huwa zinarusha mawimbi kutua sehemu mbalimbali ndo hapo LANDING RIGHTS zinapohusika. Yaani mtu anakurupuka kutafsiri kiingereza kwenda kiswahili bila kujua hilo neno linatumikaje kwenye tasnia.
Tuna kazi kubwa ila tusichoke
 
kwahiyo hata katika hili walihitaji kibali?
Kama umesoma sheria angalau chekechea unajua kuwa sheria inaruhusu kuvunjwa panapolazimika.
Mfano 1. Hurusiwi kuingia chumbani kwa mtu pasipo ruhusa lakini ikitokea kuna hatari ya moto, mauaji, ubakaji huhitaji ruhusa kuingia chumbani kwa mtu.
Mfano 2. Hurusiwi kuingia shambani kwa mtu pasipo ruhusa lakini unapoona jambazi kajificha shambani mwa mtu na wewe ni askari utaenda kumshika jambazi au utamtafuta mwenye shamba ili akupe kibali?
Mkuu umekumbwa na nini mbona haupo na S.... kwenye hili??
Ndugu yako kauwawa MO29 maiti hamjaiona?
Au unaogopa kuunganishwa kwenye orodha ya prosecutor wa ICC?
 
kwahiyo hata katika hili walihitaji kibali?
Kama umesoma sheria angalau chekechea unajua kuwa sheria inaruhusu kuvunjwa panapolazimika.
Mfano 1. Hurusiwi kuingia chumbani kwa mtu pasipo ruhusa lakini ikitokea kuna hatari ya moto, mauaji, ubakaji huhitaji ruhusa kuingia chumbani kwa mtu.
Mfano 2. Hurusiwi kuingia shambani kwa mtu pasipo ruhusa lakini unapoona jambazi kajificha shambani mwa mtu na wewe ni askari utaenda kumshika jambazi au utamtafuta mwenye shamba ili akupe kibali?
umezisoma sheria za TCRA?zina dos and donts.
Je aliyeleta hizo picha amezingatia sheria?kwa nini tujizoeshe vurugu wakati sheria zipo?
 
sasa kijana hata kama wamekiuka utaratibu na sheria mtawafanya nini?
 
Nilijua kuna vilaza wenye kiingereza cha juhudi binafsi mngejitokeza baada ya kuona neno LANDING. Inasikitisha sana. Ngoja nikueleweshe huo ujinga na wenzako ukutoke. Landing rights linatumika sana kwenye mambo yanayohusiana na anga na ni maarufu zaidi kwenye vitu jamii ya aeroplanes ila kwa upande wa satellite inamaanisha haki ambazo nchi hutoa kwa satelite ya kigeni kurusha mawimbi (to land signals) kwenye eneo la nchi husika (territory). Kimsingi satellite kuweza ku-operate kwenye eneo la Tanzania lazima kuwe na vibali ambavyo ndo maarufu kwa jina la Landing rights. ACHA HUO UPUMBAVU WA KUTAFSIRI KIINGEREZA KWENDA KISWAHILI BILA KUJUA LINATUMIKAJE NA WAPI.
Mkuu unasema satellites zinahitaji kibali kuoperate kwenye eneo la Tanzania?

Unajua satellites zilipo? Bado hujui satellites ni nini

Satellites zipo nje kabisa ya dunia hii, hazioperate kwenye kwenye eneo la Tanzania tu satellites huko zilipo kwenye universe zinacapture picha za dunia nzima, wewe kupata unachotaka ndio utaenda sehemu unayohitaji. Mfano mm nataka nipate picha za Nigeria ntaenda Nigeria

Nakuwekea mfano hapa uelewe
Huu ni muonekano wa dunia jinsi satellites zilivyo nje na zinavyoipiga picha dunia
Screenshot_20251121-204514_1.jpg


Hapa chini nimeenda bara la Africa linavyopigwa picha na satellites
Screenshot_20251121-204526_1.jpg


Hapa chini nimeenda Tanzania na kuitafuta Dodoma inavyopigwa picha hizo za satellites
Screenshot_20251121-205013_1.jpg


Hapa chini tayari nishaifikia Dodoma na naweza kupata picha ya satellite sehemu yoyote ndani ya dodoma


Screenshot_20251121-204955_1.jpg


Kwa mifano hii naamini umeelewa satellites ni nini na zinafanyaje kazi
 
Kwa nchi hizi za Africa satellite haziwezi kuzuiliwa.. Ila kwa nchi kama China au Russia huwezi Kuta USA ameweka satellite yake huko
Kote huko zinapita vizuri tu, maana satellites hupita juu sana nje ya anga la nchi (sovereign airspace) ambayo huishia 100km.

Kwa kawaida Satellites hupita angani umbali wa kati ya 400km hadi 36,000km ambapo ni outer space au international space (yaani siyo ya nchi).

Kwa hiyo Satellites za China zinapita juu ya US, Russia, India, nk. Za US ni hivyo hivyo, zinapita kote, nk. Za Russia ni hivyo hivyo, nk..

Mwisho, satellites haziwekwi juu ya nchi moja, zinazunguka dunia muda wote. Baadhi hukamilisha mzunguko mmoja kwa dk 90 tu, na kuna ambazo hukamilisha kwa saa 24, nk.
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Hili swali ungemuuliza mume wako Abdul! Usichoshe watu na hizi mada zako za kipumbavu.
 
Wewe ni mjinga kabisa. Huna maarifa.
Satellites zipo juu ya anga la Tanzania na dunia nzima na zinachukua picha masaa 24 na huhitaji kibali chochote.
Ajui kama ile ni free space
Mama yako akitaka kirusha arushe ya kwake pia
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Kuchukua picha za Satellite huhitaji kibali cha nchi yoyote ile. Hivi wewe umesoma wapi, unajua hizo Satellite zinazunguka dunia nzima, zinapiga picha dunia nzima bila kificho? Kuna aina nyingi za Satellite lakini maarufu zaidi ni Maxar, hizo zote zinapiga picha kama zinavyotaka, hakuna kizuizi, ndiyo maana tunaona picha za milima, volcano and other landmarks bila kificho. North Korea inazo picha nyingi za Satellite zilizopigwa na hiyo Maxar ambayo ipo kibiashara, meli za vita za China zimepigwa picha zikiwa zinatengenezwa hadi zikiwa zimemalizika, USA pia kuna picha zake zimepigwa na nchi kama Russia au China. Hakuna mipaka kwenye kupiga picha za Satellite, Hauhitaji kuomba ruhusa kwa yeyote.
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Maji ya shingo
 
Ili kuweza kurusha maudhui ya satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahusika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??au kuvamia anga la Tanzania?
Hao TCRA Kwanza hata wanajua kama Kuna satellite juu ya anga la Tanzania?
 
Kuchukua picha za Satellite huhitaji kibali cha nchi yoyote ile. Hivi wewe umesoma wapi, unajua hizo Satellite zinazunguka dunia nzima, zinapiga picha dunia nzima bila kificho? Kuna aina nyingi za Satellite lakini maarufu zaidi ni Maxar, hizo zote zinapiga picha kama zinavyotaka, hakuna kizuizi, ndiyo maana tunaona picha za milima, volcano and other landmarks bila kificho. North Korea inazo picha nyingi za Satellite zilizopigwa na hiyo Maxar ambayo ipo kibiashara, meli za vita za China zimepigwa picha zikiwa zinatengenezwa hadi zikiwa zimemalizika, USA pia kuna picha zake zimepigwa na nchi kama Russia au China. Hakuna mipaka kwenye kupiga picha za Satellite, Hauhitaji kuomba ruhusa kwa yeyote.
Bado elimu yako kwenye hili ni ya kawaida sasa google upate elimu kutoka vyanzo sahihi
 
Back
Top Bottom