Kwani TCRA si wameifungia JF kwa walioko Tanzania wakaenda mbali na kusema kutumia VPN nayo hadi uwe na kibali?
Sasa mbona bado machawa na vidampa wa ajuza muuaji wanatumia JF kwa VPN ambazo hawajazisajili na bado wanadunda.
Hivyo ndio maisha yanaenda , mmekamatwa na kubabanishwa kwenye kona ndio maana sasa mnatafuta vijihabari uchwara.
Kwa sasa kuanzia boss hadi vidampa mmechanganyikiwa shauri ya damu mlizomwaga.
Boss wenu alianza kusema wale waandamanaji wametoka nje ya nchi kabadilika tena anasema walifuata mkumbo , ghafla majuzi tena anasema walilipwa kuandamana , hamueleweki na hamna pa kushika mnatapatapa tu.
Pole sana jinga lao.
Sasa mbona bado machawa na vidampa wa ajuza muuaji wanatumia JF kwa VPN ambazo hawajazisajili na bado wanadunda.
Hivyo ndio maisha yanaenda , mmekamatwa na kubabanishwa kwenye kona ndio maana sasa mnatafuta vijihabari uchwara.
Kwa sasa kuanzia boss hadi vidampa mmechanganyikiwa shauri ya damu mlizomwaga.
Boss wenu alianza kusema wale waandamanaji wametoka nje ya nchi kabadilika tena anasema walifuata mkumbo , ghafla majuzi tena anasema walilipwa kuandamana , hamueleweki na hamna pa kushika mnatapatapa tu.
Pole sana jinga lao.