antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 51,166
- 133,616
Wakati ule B-2 Bombers zinafanya usafi Iran, Trump alimwambia Ayatollah kuwa anajua shimo alimojificha, kwani alikuwa amemuomba kibali kabla?Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Kuna satellites nyingi zinafanya surveillance dunia yote na kuhifadhi images 24/7. Kama ukiwa unafanya uhalifu mkubwa lazima ubanwe. Hakuna haki ya privacy kwenye uhalifu.
Kama hivi ishajulikana, mkienda kufukua na kuhamisha miili mtashangaa sana, maana ushahidi woote mtaukuta ubaoni