Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Landing Rights for satellite launching in Tanzania

Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Kwamba hujui picha za setilaiti zinapatikanaje?
 
Ta
Au akaangalie video za tsunami or anafikiri CNN walikua na camera zao wanarekodi matukio??

Space Haina mtu,hata baharini pia Kuna maeneo hayana mipaka huko ndio watu wanakabwa,uvuvi haramu...

Akili hizi ndio zilifanya magufuli alipokua waziri akamate wachina kwa uvuvi haramu bahari ya hindi,akawapora samaki,akataifisha meli yao,at the end of the day,tukalipa mabilioni kama fidia
Tanzania sio baharini pasipo na mwenyewe JWTZ linalinda ardhi,maji na mbingu ya Tanzania
 
Kukosa elimu ni shida! Yaani huu uzi unaonyesha ujinga wa hali ya juu.
Kukosa hoja kunaonyesha ujinga wa mtu, plus utetezi usio na mantiki. Nadhani atajifunza kitu sasa.
 
Kwani TCRA si wameifungia JF kwa walioko Tanzania wakaenda mbali na kusema kutumia VPN nayo hadi uwe na kibali?

Sasa mbona bado machawa na vidampa wa ajuza muuaji wanatumia JF kwa VPN ambazo hawajazisajili na bado wanadunda.

Hivyo ndio maisha yanaenda , mmekamatwa na kubabanishwa kwenye kona ndio maana sasa mnatafuta vijihabari uchwara.

Kwa sasa kuanzia boss hadi vidampa mmechanganyikiwa shauri ya damu mlizomwaga.

Boss wenu alianza kusema wale waandamanaji wametoka nje ya nchi kabadilika tena anasema walifuata mkumbo , ghafla majuzi tena anasema walilipwa kuandamana , hamueleweki na hamna pa kushika mnatapatapa tu.

Pole sana jinga lao.
Jikite kwenye haki ... sheria na sheria za anga na anga za kimataifa
 
Swali la kiwaki.

Waulize watu wa department of Geography pale mlimani. Au ongea na mtu yeyote mwenye utaalaam wa GIS (Geographical Information System).

Satellite images zimekuwa zikitumiwa muda mrefu sana na watu wa mbuga za wanyama kwa ajili ya tafiti kwenye mbuga na mambo ya mazingira.
 
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Bura ukae kimya ufiche ujinga wako.

Kwa kifupi sheria za TCRA ni kwa ajili ya Satellite za Mawasiliano .
 
Kweli wewe ni jingalao.hujui kuwa Kuna satellite zaidi ya 10000 zinaizunguka dunia? Chochote unachifanya duniani kinaonekana.Huyo mzanzibari wenu alijua amejificha
kwani huyo lary maduhu haonwi na hizo satellites?
 
Tuna upungufu wa Great thinkers humu jamvini ...swali langu ni la kimantiki lenye kuhitaji jibu la kina
Labda swali lako halijaeleweka,
Ta

Tanzania sio baharini pasipo na mwenyewe JWTZ linalinda ardhi,maji na mbingu ya Tanzania
Mimi sijajibu ulichoandika nime mqoute tu jamaa,kama hao wote hujawaelewa Mimi utanielewa??

6°38'39''S 39°11'35''E
 
Mmmmh kazi ipo, pamoja na kuwa na AI lakini watu wamegoma kuelimika
 
Kwa nchi hizi za Africa satellite haziwezi kuzuiliwa.. Ila kwa nchi kama China au Russia huwezi Kuta USA ameweka satellite yake huko
Akili huwa mnaweka wapi?mbona huku juu watu wameeleza vizuri, satellite haziwekwi China, Tanzania wala urusi,zinawekwa kwenye SPACE eneo ambalo hakuna mwenye nalo..kwani mpaka wa anga wa Tanzania upo wapi?? kwenye mwezi??au nyota ya zuhura??
 
Ili kuweza kurusha satellite kwenye anga la Tanzania unahitaji kibali cha TCRA ..Je kama kuna ukweli wa picha zinazodaiwa ni za sattellite je wahisika walipata kibali?

Kama hawakuwa na kibali je ni mara ngapi wamefanya hivyo kukiuka the right to privacy??
Daaah!!!
Kweli wewe unastahili kuwa kubwa la majinga (jingalao).
CNN wamekwambia kuwa walirusha (launched) satelaiti hapa nchini!!??
Kweli mfa maji,....
Kifo cha nyani,......
 
Mkuu satellites zinahitaji landing rights? Unaelewa maana ya landing? Landing ni kutua, satellites zinahitaji haki ya kutua ili iweje? Zinatua kwenye nini wakati satellites zipo angani muda wote? Au unahisi satellites ni ndege?

Pili, satellites zipo maelfu angani muda wote. Sema inahitaji picha ya wapi hapa Tanzania nikuletee
Nilijua kuna vilaza wenye kiingereza cha juhudi binafsi mngejitokeza baada ya kuona neno LANDING. Inasikitisha sana. Ngoja nikueleweshe huo ujinga na wenzako ukutoke. Landing rights linatumika sana kwenye mambo yanayohusiana na anga na ni maarufu zaidi kwenye vitu jamii ya aeroplanes ila kwa upande wa satellite inamaanisha haki ambazo nchi hutoa kwa satelite ya kigeni kurusha mawimbi (to land signals) kwenye eneo la nchi husika (territory). Kimsingi satellite kuweza ku-operate kwenye eneo la Tanzania lazima kuwe na vibali ambavyo ndo maarufu kwa jina la Landing rights. ACHA HUO UPUMBAVU WA KUTAFSIRI KIINGEREZA KWENDA KISWAHILI BILA KUJUA LINATUMIKAJE NA WAPI.
 
Akili huwa mnaweka wapi?mbona huku juu watu wameeleza vizuri, satellite haziwekwi China, Tanzania wala urusi,zinawekwa kwenye SPACE eneo ambalo hakuna mwenye nalo..kwani mpaka wa anga wa Tanzania upo wapi?? kwenye mwezi??au nyota ya zuhura??
Naelewa vizuri sana... Satellite huwekwa juu kabsa outer space ambaye hamna mwenye umliki wowote wa hilo anga.. na hii ni kutoka na mkataba wa Outer space 1967 uliweka hii Sheria.

Lakini kwani mara ngapi wababe wa Dunia huvunja Sheria za kimataifa? Na satellite inaweza kufuatiliwa na ikavunjwa au ikafanyiwa interference isiweze fanya communication na mhusika.

Kwa nchi za wenzetu wako vizuri sana kwenye upande huo.. Huku kwetu ndiyo tunambwela tu.
 
Tuna upungufu wa Great thinkers humu jamvini ...swali langu ni la kimantiki lenye kuhitaji jibu la kina
Nimesikitika sana kugundua kuwa watu hawajui satelite huwa zinarusha mawimbi kutua sehemu mbalimbali ndo hapo LANDING RIGHTS zinapohusika. Yaani mtu anakurupuka kutafsiri kiingereza kwenda kiswahili bila kujua hilo neno linatumikaje kwenye tasnia.
 
Back
Top Bottom