Lamomy is back

Status
Not open for further replies.
Inategemea na ntu na ntu.

Wewe mtazamo wako ndio huo,

You are entitled to your opinion.
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
 
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.

Trust me.

CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
 
Pacha una zingua kinoma ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
 
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.

Trust me.

CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
Mimi sipo kokote ila nasimama na wenye mapenzi mema na nchi yetu..!!

Waacheni hao wapinzani ili nao tuwapime wananchi msiwasemee sababu ni wapinzani wenu..!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ