Halafu ni kila mwaka nawashikisha adabu basi tu hili balo jipya nalo linajaribu jaribu
Na washaanza kukaa kwenye line..!!
Mods waache zao bana kwanza wanirudishe selfika nataka kutupia picha ๐น๐น๐น
Uduguu mie sitaki ujuee, khaaaah
Umekosa uondo pic imefutwa, yani nimepigwa shocked sikutegemea ila watani zangu wasukuma bana wananipa burudani sana..!! ๐น๐น๐นUduguu kwanini lakiniii??
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Inategemea na ntu na ntu.
Wewe mtazamo wako ndio huo,
You are entitled to your opinion.
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
Mie wameni Ban pia,Mods waache zao bana kwanza wanirudishe selfika nataka kutupia picha
Hukusave mahi? Masijala hukuweka jamaniii??Umekosa uondo pic imefutwa, yani nimepigwa shocked sikutegemea ila watani zangu wasukuma bana wananipa burudani sana..!!
Pacha una zingua kinoma ๐ ๐Udugu nilikumiss ๐
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!
Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta ๐น๐น๐น๐น
Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniiiโฆ!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii ๐คธโโ๏ธ๐น๐น๐น
Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz ๐น๐น๐น๐น
Naachaje bulauzi zito km lile nisisave ๐น๐น๐นHukusave mahi? Masijala hukuweka jamaniii??
๐น๐น๐น Sio sana pachaPacha una zingua kinoma ๐ ๐
Sema punguza vita uta umiza wenzio๐น๐น๐น Sio sana pacha
Mimi sipo kokote ila nasimama na wenye mapenzi mema na nchi yetu..!!Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.
Trust me.
CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
๐น๐น๐น Na wanaumia kweli muda wote wanadiscuss top la afu tatu. Hapa nawatafutia new topic kisha nione nani atasup ๐คฃ๐คฃSema punguza vita uta umiza wenzio
Dah acha nongwa, nguo nguo tu ๐๐น๐น๐น Na wanaumia kweli muda wote wanadiscuss top la afu tatu. Hapa nawatafutia new topic kisha nione nani atasup ๐คฃ๐คฃ