Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

ushauri wako na mikakati yako mbona yatofautiana?

Angalia mwenyewe ulisemaje awali na ninakunukuu:-


lara 1 unashauri wenzio wawe proactive wakati wewe mwenyewe umeamua kuwa reactive.....................unasubiri uchinjwe badala ya kuchinja huku unashauri wenzio wachinje................................the problem is not a message but a messenger...............lakini nimeipenda avatar yako naona ni ya nguvu.

Hahahaaaaaaaaaa! Ujue mimi sipo Danger Zone ndo maana naenjoy while it lasts!!!!!!!!!!

Situation yangu sio sawa na ya mtu aliekaa na mwenzie 6 years!!!!!!!! Huu ujumbe ni kwa wale waliofikwa na maji ya shingo!
 
ngumu kumeza lara 1, i'd feel like mie ndio naolewa kivile lol. nakusapoti though heri ujue kama ni kusuka au kunyoa and muwe 'on the same page'

Hahahaaaaaaaa! Ujue tatizo watu tunaogopa kucomfirm kwa kuhofia our worst fears will come true!!!!!! Kama hivo kfungashiwa virago! Mtu ndo anaona heri abaki akingojea a miracle!!!!!!!!!
 
Km namuona huyo dada vile! Daaaah tha world isn't fair jamani like unaeza sema the gal kamkosea kitu labda so anamlipizia kisasi? Ila ts more thn unfair!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hahahaaaaaaaaaa! Ujue mimi sipo Danger Zone ndo maana naenjoy while it lasts!!!!!!!!!!

Situation yangu sio sawa na ya mtu aliekaa na mwenzie 6 years!!!!!!!! Huu ujumbe ni kwa wale waliofikwa na maji ya shingo!

lara 1 ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji........umri unafikiri unakawia tena na hawa kuku wa kisasa tunaowang'ata kila siku?....nimesifia avatar yako naona umekauka..............learn to say thank you....................it is agood manners too
 
Hahahaaaaaaaa! Ujue tatizo watu tunaogopa kucomfirm kwa kuhofia our worst fears will come true!!!!!! Kama hivo kfungashiwa virago! Mtu ndo anaona heri abaki akingojea a miracle!!!!!!!!!
very true binti. but it has to be done la sivyo hakutakuwa progress na mtaishia kuchukiana na kuja kusema "blaine kanipotezea muda wangu, 6yrs bila ndoa/mtoto halafu kaniacha blah blah"
 
very true binti. but it has to be done la sivyo hakutakuwa progress na mtaishia kuchukiana na kuja kusema "blaine kanipotezea muda wangu, 6yrs bila ndoa/mtoto halafu kaniacha blah blah"

Hahahaaaaaaaa! It has to be done ofcourse ila the question is When? Kila mtu ndo anaamua kuchukua mda wake kugather the courage and to expect the unxpected!!!!!! Hapo sasa some take 6 years, some 2 months and some like me the first date unauliza muhutasari wa hayo mahusiano! Hahahahaaaaaaaa!
 
lara 1 ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji........umri unafikiri unakawia tena na hawa kuku wa kisasa tunaowang'ata kila siku?....nimesifia avatar yako naona umekauka..............learn to say thank you....................it is agood manners too


Hahahaaaaaaaaaa! THANK YOU KWA SIFA (Usijifanye huoni herufi kubwa hizi!) Kuhusu umri si unaona hapo nimetoa Resolution yangu kabisaaa kuwa if i hit 30 sitoleta mzaha kabisaaaa! We si umeona hapo juu nimesema nitachukua hatua gani mbadala!!!!!!
 
Looh hyo 6yrs hapo santa ashakusoma ma-weakness yako yooote na km ndo una zile tabia zisizo na dawa ...'bby wll u marry me' itaishia kuwa a dream which will neva come true

Mi kamwaka na nusu tu nshaanza kusoma alama za nyakat cz the sooner the better meen kama ndo bby u knw nyiingi hata sichelewi kuingia tena sokon..

Altho ni wengi sana wapo kwny kind of relation had 8yrs its real crazyy!!!ukimuliza mtu anasubiri nini anakujibu nimetoka nae mbaal mwsho wa siku miaka inazid kukatika ss ndo imani imwingie mjamaa au aachwe kwny mataa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Tatizo lara ni kuwa wadada wanasubiri bila kuahidiwa. Kwa mtu makini anapaswa kujua malengo ya urafiki. Malengo ya urafiki kati ya mwanamke na mwanaume yanaweza kuwa zaidi ya moja au mojawapo kati: kupitisha muda (pass time) kuoana kusaidia shida ndogondogo kama pocket money au kusaidia masomo kwa wale walio vyuoni implied interest should be followed by express interest. Si busara kuanza kufunga safari bila kujua unakokwenda. Mtu anaishije na mtu miaka 6 bila kuelewa malengo yake at kwa sababu ana CPA FCA au CMA? Wewe unataka CPA au mume? Huyu mdada nadhani ni bogous na mwanaume pia ni mhuni
Hahahahahahahaha lara 1 umenichekesha sana! Ila muda mwingine kuuliza ni muhimu maana unaweza kusubiri sana kumbe mtu ana kufanya stand yake kumgoja mwingine!

Pengine mtu ana kuwa hajarizishwa nawe lakini wengine kumwambia mtu ni ngumu sasa ana subiri ukitaka kuuliza kuhus wedding ndio ana kwambia hawezi kukuoa!

Ni bora kujitoa muanga na kuuliza hatima yako! Inasikitisha sana miaka 6 alaf una wekwa pembeni!
 
Hahahaaaaaaaa! It has to be done ofcourse ila the question is When? Kila mtu ndo anaamua kuchukua mda wake kugather the courage and to expect the unxpected!!!!!! Hapo sasa some take 6 years, some 2 months and some like me the first date unauliza muhutasari wa hayo mahusiano! Hahahahaaaaaaaa!
1-2yrs are sufficient kumsoma mtu na kujua kama kuna future au la. everyone ana muda wake lakini usisahau ngoja ngoja yaumiza matumbo (6yrs) na haraka haraka haina baraka (2months/1st date lol)
 
Looh hyo 6yrs hapo santa ashakusoma ma-weakness yako yooote na km ndo una zile tabia zisizo na dawa ...'bby wll u marry me' itaishia kuwa a dream which will neva come true

Mi kamwaka na nusu tu nshaanza kusoma alama za nyakat cz the sooner the better meen kama ndo bby u knw nyiingi hata sichelewi kuingia tena sokon..

Altho ni wengi sana wapo kwny kind of relation had 8yrs its real crazyy!!!ukimuliza mtu anasubiri nini anakujibu nimetoka nae mbaal mwsho wa siku miaka inazid kukatika ss ndo imani imwingie mjamaa au aachwe kwny mataa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nimetoka nae mbali zinawamalizaga watu si utani! Hadi atapoonyeshwa sawa tumtoka mbali ila tumefika tulikokuwa tunakwenda!!!!!!!!
 
Tatizo lara ni kuwa wadada wanasubiri bila kuahidiwa. Kwa mtu makini anapaswa kujua malengo ya urafiki. Malengo ya urafiki kati ya mwanamke na mwanaume yanaweza kuwa zaidi ya moja au mojawapo kati: kupitisha muda (pass time) kuoana kusaidia shida ndogondogo kama pocket money au kusaidia masomo kwa wale walio vyuoni implied interest should be followed by express interest. Si busara kuanza kufunga safari bila kujua unakokwenda. Mtu anaishije na mtu miaka 6 bila kuelewa malengo yake at kwa sababu ana CPA FCA au CMA? Wewe unataka CPA au mume? Huyu mdada nadhani ni bogous na mwanaume pia ni mhuni

Sio sababu ya CPA ni sababu anampendaaaa! Ndo maana amekaa nae ila kweli mwanume muhuni huyo
 
Mpende anayekupenda sio mbabaishaji, unless na wewe ni mbabaishaji kwa kuwa ndege wa rangi moja huruka pamoja ni vigumu kumpata mwanaume mhuni kama wewe sio mhuni
Sio sababu ya CPA ni sababu anampendaaaa! Ndo maana amekaa nae ila kweli mwanume muhuni huyo
 
Miaka 6 ni mingi sanaa,nahisi kama jamaa kafanya ukatili wa hali ya juu sana,na sijui huyo dada ataanzia wapi!

Kuna jamaa angu 1 anaombwa ushauri na dada 1 eti wapo kwenye uhusiano na bf wake mwaka wa nne saiv,jamaa anafanya kaz mkoani halafu gf wake yupo dar,anavyoeleza dada kuwa jamaa ake anakujaga kikazi dar na kujifanya yuko bize kiasi kwamba anashindwa kuonana na gf wake wakat huo huo anaweza kuonana na ndugu zake na akiulizwa lini tunaoana jamaa anasema bado ntakuambia,sasa nshu kama hii mwenye tatzo ni dada,lazima usome alama za nyakati!

Lara 1,cielo,amu,kiranga nk ndo wanaume wa type yenu mnaowataka mwenye mapene ya kutosha mwisho wa siku unafanywa standi(penda kwa TBS yako!)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Miaka 6 ni mingi sanaa,nahisi kama jamaa kafanya ukatili wa hali ya juu sana,na sijui huyo dada ataanzia wapi!

Kuna jamaa angu 1 anaombwa ushauri na dada 1 eti wapo kwenye uhusiano na bf wake mwaka wa nne saiv,jamaa anafanya kaz mkoani halafu gf wake yupo dar,anavyoeleza dada kuwa jamaa ake anakujaga kikazi dar na kujifanya yuko bize kiasi kwamba anashindwa kuonana na gf wake wakat huo huo anaweza kuonana na ndugu zake na akiulizwa lini tunaoana jamaa anasema bado ntakuambia,sasa nshu kama hii mwenye tatzo ni dada,lazima usome alama za nyakati!

Lara 1,cielo,amu,kiranga nk ndo wanaume wa type yenu mnaowataka mwenye mapene ya kutosha mwisho wa siku unafanywa standi(penda kwa TBS yako!)

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hahahaaaaaaaaa! Umetoa ushauri wa mbolea kweli!!!!!! Ila ukaona bila kumalizia na kutuchamba wana wa wenzio ushauri wako hautafika?
 
Wakubwa zangu shikamooni!

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!

Sasa bi dada mmoja umri umesogea kidogo japo moja ya mikakati yake ni Wedding Bells lazima zigonge mwaka huu! Liwalo na liwe The Knots Must Be Tied! The sister is hitting the Nervous 30's!!!! Kabla hamjaanza kuingia in your area of expertise ambayo ni JUDGING and CONDEMING heri mmjue wasifu kidogo wa huyu victim wetu bi dada!

Bi dada bwana tunafahamiana, kwao kuko poaaa sanaa, na mwenyewe she is doing well ana kama 5 years hivi kwenye career yake, backed up by her determination, ambition and dads fortune ofcourse ameweza kumiliki HR Consulting Firm yake binafsi na ana contruct za maana ikiwemo ya kaisari wangu! Ndo tukajuana huku kutokana na Desciplinary warnings za kutosha nazomiliki! Sasa huyu bi dada ana Lonterm BF almost 6Years wako wote!

BF wa ukweee huyo! Usipime! Ni Partner wa kampuni flani hivi inamiliki migodi! Yuko njemaaa financially, skuli nako kapitia mambo yake bombaaa, kwake hizi CPA, CFA, CMA ni kati ya attatchment chache za Portifolio yake na Resume! Phisically pia he is a looker too! Wanaume wa hivi huwapati barabarani ovyo ovyo! Na watu kama Lara moko kuwapata wanaume specie hii ni untill Gods decides to intervene himself! Inakuwa a Gift from The Gods!!!! He is agentleman too nilisahau! Nilipomuona i understood why the 6 years wait!

The problem is HE ISN'T POPPING THE MILLION DAOLLAR QUESTION!!!!!!!!!! Bi dada waited for 6 years for him to pop that question!!!!! Bila bila!!!!!! Trust me when i say all is well between them! Sasa dada is getting desperate!!!!
Mi nikamshauri times are changing if he hasnt asked for 6 F.U.C.K.I.NG Years he isnt gonna ask! Its high time she plays the S.LUT card and do the asking! Akasema aaah bwana its not a lady like kupropose na nini! We mbona hujapropose kwako! Nikamwambia i aint the one goin 30 anytime soon! If i hit 30 i will propose, and not only propose bt actually marry somebody if its necessary! LOLEST! Tukaishia kucheka tu!

Huku na huku akasema to hell! Basi akaamua liwalo na liwe! Akapropose to the guy! Flani Will you marry me this year????? Hahahahaaaaaaa! Kama namuona kaka sharubu zilivomng'aaa!!!!! You know kibao! Ndo akasema tu ukweli ujue mimi all these 6 Years i was hopping itafika siku i will certainly feel its the right time to marry you lakini miaka inakatika tu! There is somethin missin btn us but i dont know what! Ila umekuwa mwema sanaa kwangu i was hopping n prayin utakuja kuniambia u have found somebody special but ufortunately that day never came! BLAH! BLAH! BLAH! Bottom line is He is not gonna marry her either way!

Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!

Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!
Marriage is a battleground not a joke at all.A men needs to love you and want to be with you .Marriage needs a lot of sacrifice and perseverance .
 
Tamaduni za magharibi zinapogongana na Tamaduni za Kiafrika!! kwa wanaume wa kiafrika lazima muwe makina sana!!
 
Hahahaaaaaaaaa! Umetoa ushauri wa mbolea kweli!!!!!! Ila ukaona bila kumalizia na kutuchamba wana wa wenzio ushauri wako hautafika?
Hahahaaaa!usinge comment hivyo,lazima ingenyesha mvua ya tope tena la 0713


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
msije kichwa kichwa kwa wanaume mtaonekana malaya!! wangapi watawaelewa?! not soo fast laidies!! "changanya na zako"!!
 
Back
Top Bottom