Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

Tanzaniaaaa Tanzaniae eheeee x2
Kiswahiliiii, Kiswahiliiiii, umewakosea nini hawaviumbe vyanchi yako kipenzi? Naona wanavyokuchambachamba na kukuvuruga mpaka nakuonea huruma!
 
Wakubwa zangu shikamooni!

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!

Sasa bi dada mmoja umri umesogea kidogo japo moja ya mikakati yake ni Wedding Bells lazima zigonge mwaka huu! Liwalo na liwe The Knots Must Be Tied! The sister is hitting the Nervous 30's!!!! Kabla hamjaanza kuingia in your area of expertise ambayo ni JUDGING and CONDEMING heri mmjue wasifu kidogo wa huyu victim wetu bi dada!

Bi dada bwana tunafahamiana, kwao kuko poaaa sanaa, na mwenyewe she is doing well ana kama 5 years hivi kwenye career yake, backed up by her determination, ambition and dads fortune ofcourse ameweza kumiliki HR Consulting Firm yake binafsi na ana contruct za maana ikiwemo ya kaisari wangu! Ndo tukajuana huku kutokana na Desciplinary warnings za kutosha nazomiliki! Sasa huyu bi dada ana Lonterm BF almost 6Years wako wote!

BF wa ukweee huyo! Usipime! Ni Partner wa kampuni flani hivi inamiliki migodi! Yuko njemaaa financially, skuli nako kapitia mambo yake bombaaa, kwake hizi CPA, CFA, CMA ni kati ya attatchment chache za Portifolio yake na Resume! Phisically pia he is a looker too! Wanaume wa hivi huwapati barabarani ovyo ovyo! Na watu kama Lara moko kuwapata wanaume specie hii ni untill Gods decides to intervene himself! Inakuwa a Gift from The Gods!!!! He is agentleman too nilisahau! Nilipomuona i understood why the 6 years wait!

The problem is HE ISN'T POPPING THE MILLION DAOLLAR QUESTION!!!!!!!!!! Bi dada waited for 6 years for him to pop that question!!!!! Bila bila!!!!!! Trust me when i say all is well between them! Sasa dada is getting desperate!!!!
Mi nikamshauri times are changing if he hasnt asked for 6 F.U.C.K.I.NG Years he isnt gonna ask! Its high time she plays the S.LUT card and do the asking! Akasema aaah bwana its not a lady like kupropose na nini! We mbona hujapropose kwako! Nikamwambia i aint the one goin 30 anytime soon! If i hit 30 i will propose, and not only propose bt actually marry somebody if its necessary! LOLEST! Tukaishia kucheka tu!

Huku na huku akasema to hell! Basi akaamua liwalo na liwe! Akapropose to the guy! Flani Will you marry me this year????? Hahahahaaaaaaa! Kama namuona kaka sharubu zilivomng'aaa!!!!! You know kibao! Ndo akasema tu ukweli ujue mimi all these 6 Years i was hopping itafika siku i will certainly feel its the right time to marry you lakini miaka inakatika tu! There is somethin missin btn us but i dont know what! Ila umekuwa mwema sanaa kwangu i was hopping n prayin utakuja kuniambia u have found somebody special but ufortunately that day never came! BLAH! BLAH! BLAH! Bottom line is He is not gonna marry her either way!

Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!

Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!
kuna kitu naona kimemiss...kama huyo bi dada alikuwa ana approach 30s je jamaaa alikuwa ana umri gani?
Pia kwani ni lazima mdada uwe 30s ndo uanze harakati za kuolewa?mi naona kwa mdada aliepitia shule/chuo 25- 30 ni age nzuri kabisa na ya utulivu for marriage.
Jamani nampa pole sana sana,sijui jamaa walikuwa nae tangu chuo? unajua kitu nilioiona nowdays kwa wa kaka ni kwamba anaweza kuwa na mdada kwa mahusiano ya muda mrefu like 6 yrs,jamani to me ukiona tu imezidi 2 yrs iwe MAX,
Tofauti na hapo utatumika tu....especially kama chuo umemaliza wote mnafanya kazi 2 yrs ni max,hiyo 6 labda tangu chuo first year,ameshakutana pia na wengiiiii,then obvious atakupiga chini tu,wadad wengi wanaamini ukiwa na mtu kwenye mahusiano kwa muda mrefu ndo ataishi nae...this is BIG NO.Wadada jifunzeni kuwa na malengo time frem mtu ana kazi tena 5 yrs experience? unakuta mdada wa watu kawapiga chini jamaa wengiii akijua mkaka atachukua chombo....jamani,halafu anaanza kuwafikiria wale aliowapiga chini/kuwaeka pending....inaumiza...bt Pray to God jamani to her...pole yake,Hakuwa chaguo lake huyo...
 
kwanza ni kutoe wasiwasi si wanaume wote wanafanya hivyo!

Ukiona unafanyiwa hivi ujue jamaa hana mpango nawewe!
Lakini cha kujiuliza kama hakuna ka uzembe kwa msichana haiwezekani una kaa na mtu miaka 6 hujui hatma yako!

mimi hata miezi sita huwa haifiki, kama hawezi sema hatma yetu ni nini ni bora ni niwe peke yangu
 
Turudi kwenye misingi kdogo. Hivi uchumba maana yake nini? Miaka sita ya "mahusiano" ya mwanaume na mwanamke yana-entail vitu gani? Kama ni yale yanakwenda mpaka bedrumuni,basi lipi ni rahisi zaidi, kwa mfano kwa bidada, kumvulia mwanaume mtu mzima nguo zote au kumuuliza "will you marry me,...when exactly?"
Kama lengo ni kufahamiana vizuri, how long is long enough? Na unaanzia wapi kuhesabu,siku ulipokutana naye au siku mlipoanza "urafiki"?
Ilinichukua miezi sita kumchunguza my wife wangu bila yeye kujua,kabla sijaanzisha mahusiano ya kirafiki yaliyodumu miezi 6 (urafiki ,urafiki tuu,...no appointments,no special gifts,no exclusive whatever); na siku nilipo-propose illikua ni ku-ask her hand in marriage. After the YES kilichofuata ni planning of the when na michakato yake.

Miaka sita!! In fact hata miaka miwili ya mahusiano ya kimya kimya no commitment no nothing, mnakua mnawaza nini sasa? Unless muwe mna-enjoy fulness ya huo muda, mambo yenu haya ya kileo, ...yaani hiyo miaka yote unaweza kukuta wanaishi maisha more or less kama wanandoa except for the wedding rings! Kama ndivyo,yakitokea hayo ya "for all this time there's been something missing btn us blah blah..." usilalamike basi, sio bahati mbaya wala nini!
 
Kumbe na wewe ni mwenzetu wa one 1947??

Siku hizi bila kufanya hayo basi wewe ni mwanamume wa jina tu....


Lazima ubebe maua kwa sana. ufungue mlango wa gari, uvute kiti binti akae na pia utoboe wallet kununua perfumes na mazaga zaga mengine yanayoharibu afya (junk junk) bila kusahau chocolates....

Sie tunaoleta zawadi za mikaa, viroba vya mchele, nyanya, ngogwe, biringanya na hata kapu la live chicken hatuna soko tena.....

That's why I miss my 1947 life.....Wapi wazee/wakubwa wenzangu ...?? The Boss, Asprin, Kaizer, @FP, gfsonwin....

Babu DC!!
Mzee mwenzangu, huyu shemejiyo nikimbebea hizo bidhaa kwake ni sawa na mabinti wa sasa kununuliwa chain ya dhahabu.

Ntapewa nitakacho, ntapakuliwa nitakavyo na marafikize watasimuliwa ukarimu, mapenzi ua ujali wangu kwake. Ofkoz ni baada ya wao kugawiwa kiasi kiduchu kama uthibitisho kuwa mzee nimemnunulia dhahabu.
 
nataka ku-pop the kwesheni

ayu rede?

Mzee mwenzangu, huyu shemejiyo nikimbebea hizo bidhaa kwake ni sawa na mabinti wa sasa kununuliwa chain ya dhahabu.

Ntapewa nitakacho, ntapakuliwa nitakavyo na marafikize watasimuliwa ukarimu, mapenzi ua ujali wangu kwake. Ofkoz ni baada ya wao kugawiwa kiasi kiduchu kama uthibitisho kuwa mzee nimemnunulia dhahabu.
 
Its not fair kabisa kwa hicho jamaa alichomfanyia mdada wa watu. Wadada ambao hamjaingia kwenye ndoa, please;


  • Usikubali kuishi na mwanaume bila ya ndoa hata kwa wiki moja, be very expensive. Kuna wengine mkishakuwa wachumba basi kila kukicha ooh, babay njoo basi unifulie na upikeee, NO!!! Asikufanye house girl wake, kama anataka yote hayo akuoe!!!
  • Usiwe mwepesi kutoa k kwa mpenzi wako kabla hujaingia kwenye ndoa! Mpe kwa mafungu tu, once per month then kama yeye anahitaji kila siku basi akuoe ili apate daily though ukiingia pia kwenye ndoa unaendelea kumpimia (kipimo kinaongezeka teh teh)
  • Kama umekuwa ukiyafanya hayo hapo juu, badilika sasa
 
Ndo maana mabinti wa siku hizi mnanikera sana.

Mwanamume bila kumpimia anakufanya asusa. Kwenye ndoa kwenywe tunapimiwa wakati nyia hata kabla ya ndoa mnaachia kama vile mnagawa maji ya mvua tena kipindi cha masika.

You need to use your brains wajukuu zangu wapendwa!

nimeshindwa kuvumilia kicheko kwikwikwikwikwikwiiiiiiiii
umenikumbusha binti mmoja nilimwambia maneno hayohayo alipotambulisha mchumba wa pili baada ya wa kwanza kushindikiana daah wana kazi kwelikweli hahahahahahahaaa
 
nimeshindwa kuvumilia kicheko kwikwikwikwikwikwiiiiiiiii
umenikumbusha binti mmoja nilimwambia maneno hayohayo alipotambulisha mchumba wa pili baada ya wa kwanza kushindikiana daah wana kazi kwelikweli hahahahahahahaaa


Ulimwambia nini sakapal??

Kwamba ampimie mchumba wake au asitoe kabisa?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ulimwambia nini sakapal??

Kwamba ampimie mchumba wake au asitoe kabisa?

Babu DC!!

nilimwambia ukiendelea kusupply maziwa jamaa hatakuwa na kiu ya kujenga zizi la kufugua ng'ombe. Nilimwambia nature ya mschana pia ni kuringa, mringie kidogo, muoneshe kuwa hauko tayari muda wowote anaokuhitaji. Play hard to get ili atamani kukuweka ndani kwani mkija oana atakuzoea na kukuchoka. Ukijiachia sana na kumpa papuchi kila anapokuita atakuzoea na kukuchoka kabla ya ndoa. Kama unataka ndoa muwe mnatoka mitoko ya wazi mingi zaidi ya ile ya siri atleast ratio ya 1:20 au 1:30.
So nilimwambia mpimie maana kumnyima kabisa kwa vijana wa skuhz haipo.
 
nilimwambia ukiendelea kusupply maziwa jamaa hatakuwa na kiu ya kujenga zizi la kufugua ng'ombe. Nilimwambia nature ya mschana pia ni kuringa, mringie kidogo, muoneshe kuwa hauko tayari muda wowote anaokuhitaji. Play hard to get ili atamani kukuweka ndani kwani mkija oana atakuzoea na kukuchoka. Ukijiachia sana na kumpa papuchi kila anapokuita atakuzoea na kukuchoka kabla ya ndoa. Kama unataka ndoa muwe mnatoka mitoko ya wazi mingi zaidi ya ile ya siri atleast ratio ya 1:20 au 1:30.
So nilimwambia mpimie maana kumnyima kabisa kwa vijana wa skuhz haipo.

Nimekukubali sakapal,

Wewe ni kichwa kweli na jembe la nguvu...

Yaani bila kutumia akili, mabinti wa siku hizi watakuwa wanachezewa kama yebo yebo...Watapigwa kila upande kama mipira ya watoto wa uswahilini (wanategeneza kwa makaratasi wenzenu). Ndiyo maana nasikia wengine wamefikia hatua ya kutoa mtandao wa 0713 ili kubembeleza ndoa...

Na labda niwambia kitu, ndoa ya kubembeleza au kutolea rushwa haipo na hata ikitokea haiweza kumfikisha mtu popote..!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom