lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Wakubwa zangu shikamooni!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!
Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!
Sasa bi dada mmoja umri umesogea kidogo japo moja ya mikakati yake ni Wedding Bells lazima zigonge mwaka huu! Liwalo na liwe The Knots Must Be Tied! The sister is hitting the Nervous 30's!!!! Kabla hamjaanza kuingia in your area of expertise ambayo ni JUDGING and CONDEMING heri mmjue wasifu kidogo wa huyu victim wetu bi dada!
Bi dada bwana tunafahamiana, kwao kuko poaaa sanaa, na mwenyewe she is doing well ana kama 5 years hivi kwenye career yake, backed up by her determination, ambition and dads fortune ofcourse ameweza kumiliki HR Consulting Firm yake binafsi na ana contruct za maana ikiwemo ya kaisari wangu! Ndo tukajuana huku kutokana na Desciplinary warnings za kutosha nazomiliki! Sasa huyu bi dada ana Lonterm BF almost 6Years wako wote!
BF wa ukweee huyo! Usipime! Ni Partner wa kampuni flani hivi inamiliki migodi! Yuko njemaaa financially, skuli nako kapitia mambo yake bombaaa, kwake hizi CPA, CFA, CMA ni kati ya attatchment chache za Portifolio yake na Resume! Phisically pia he is a looker too! Wanaume wa hivi huwapati barabarani ovyo ovyo! Na watu kama Lara moko kuwapata wanaume specie hii ni untill Gods decides to intervene himself! Inakuwa a Gift from The Gods!!!! He is agentleman too nilisahau! Nilipomuona i understood why the 6 years wait!
The problem is HE ISN'T POPPING THE MILLION DAOLLAR QUESTION!!!!!!!!!! Bi dada waited for 6 years for him to pop that question!!!!! Bila bila!!!!!! Trust me when i say all is well between them! Sasa dada is getting desperate!!!!
Mi nikamshauri times are changing if he hasnt asked for 6 F.U.C.K.I.NG Years he isnt gonna ask! Its high time she plays the S.LUT card and do the asking! Akasema aaah bwana its not a lady like kupropose na nini! We mbona hujapropose kwako! Nikamwambia i aint the one goin 30 anytime soon! If i hit 30 i will propose, and not only propose bt actually marry somebody if its necessary! LOLEST! Tukaishia kucheka tu!
Huku na huku akasema to hell! Basi akaamua liwalo na liwe! Akapropose to the guy! Flani Will you marry me this year????? Hahahahaaaaaaa! Kama namuona kaka sharubu zilivomng'aaa!!!!! You know kibao! Ndo akasema tu ukweli ujue mimi all these 6 Years i was hopping itafika siku i will certainly feel its the right time to marry you lakini miaka inakatika tu! There is somethin missin btn us but i dont know what! Ila umekuwa mwema sanaa kwangu i was hopping n prayin utakuja kuniambia u have found somebody special but ufortunately that day never came! BLAH! BLAH! BLAH! Bottom line is He is not gonna marry her either way!
Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!
Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!
Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!
Sasa bi dada mmoja umri umesogea kidogo japo moja ya mikakati yake ni Wedding Bells lazima zigonge mwaka huu! Liwalo na liwe The Knots Must Be Tied! The sister is hitting the Nervous 30's!!!! Kabla hamjaanza kuingia in your area of expertise ambayo ni JUDGING and CONDEMING heri mmjue wasifu kidogo wa huyu victim wetu bi dada!
Bi dada bwana tunafahamiana, kwao kuko poaaa sanaa, na mwenyewe she is doing well ana kama 5 years hivi kwenye career yake, backed up by her determination, ambition and dads fortune ofcourse ameweza kumiliki HR Consulting Firm yake binafsi na ana contruct za maana ikiwemo ya kaisari wangu! Ndo tukajuana huku kutokana na Desciplinary warnings za kutosha nazomiliki! Sasa huyu bi dada ana Lonterm BF almost 6Years wako wote!
BF wa ukweee huyo! Usipime! Ni Partner wa kampuni flani hivi inamiliki migodi! Yuko njemaaa financially, skuli nako kapitia mambo yake bombaaa, kwake hizi CPA, CFA, CMA ni kati ya attatchment chache za Portifolio yake na Resume! Phisically pia he is a looker too! Wanaume wa hivi huwapati barabarani ovyo ovyo! Na watu kama Lara moko kuwapata wanaume specie hii ni untill Gods decides to intervene himself! Inakuwa a Gift from The Gods!!!! He is agentleman too nilisahau! Nilipomuona i understood why the 6 years wait!
The problem is HE ISN'T POPPING THE MILLION DAOLLAR QUESTION!!!!!!!!!! Bi dada waited for 6 years for him to pop that question!!!!! Bila bila!!!!!! Trust me when i say all is well between them! Sasa dada is getting desperate!!!!
Mi nikamshauri times are changing if he hasnt asked for 6 F.U.C.K.I.NG Years he isnt gonna ask! Its high time she plays the S.LUT card and do the asking! Akasema aaah bwana its not a lady like kupropose na nini! We mbona hujapropose kwako! Nikamwambia i aint the one goin 30 anytime soon! If i hit 30 i will propose, and not only propose bt actually marry somebody if its necessary! LOLEST! Tukaishia kucheka tu!
Huku na huku akasema to hell! Basi akaamua liwalo na liwe! Akapropose to the guy! Flani Will you marry me this year????? Hahahahaaaaaaa! Kama namuona kaka sharubu zilivomng'aaa!!!!! You know kibao! Ndo akasema tu ukweli ujue mimi all these 6 Years i was hopping itafika siku i will certainly feel its the right time to marry you lakini miaka inakatika tu! There is somethin missin btn us but i dont know what! Ila umekuwa mwema sanaa kwangu i was hopping n prayin utakuja kuniambia u have found somebody special but ufortunately that day never came! BLAH! BLAH! BLAH! Bottom line is He is not gonna marry her either way!
Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!
Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!