Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

Ladies Its Time To Propose!!!!! Pop the Question YourSelf

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,190
Wakubwa zangu shikamooni!

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!

Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!

Sasa bi dada mmoja umri umesogea kidogo japo moja ya mikakati yake ni Wedding Bells lazima zigonge mwaka huu! Liwalo na liwe The Knots Must Be Tied! The sister is hitting the Nervous 30's!!!! Kabla hamjaanza kuingia in your area of expertise ambayo ni JUDGING and CONDEMING heri mmjue wasifu kidogo wa huyu victim wetu bi dada!

Bi dada bwana tunafahamiana, kwao kuko poaaa sanaa, na mwenyewe she is doing well ana kama 5 years hivi kwenye career yake, backed up by her determination, ambition and dads fortune ofcourse ameweza kumiliki HR Consulting Firm yake binafsi na ana contruct za maana ikiwemo ya kaisari wangu! Ndo tukajuana huku kutokana na Desciplinary warnings za kutosha nazomiliki! Sasa huyu bi dada ana Lonterm BF almost 6Years wako wote!

BF wa ukweee huyo! Usipime! Ni Partner wa kampuni flani hivi inamiliki migodi! Yuko njemaaa financially, skuli nako kapitia mambo yake bombaaa, kwake hizi CPA, CFA, CMA ni kati ya attatchment chache za Portifolio yake na Resume! Phisically pia he is a looker too! Wanaume wa hivi huwapati barabarani ovyo ovyo! Na watu kama Lara moko kuwapata wanaume specie hii ni untill Gods decides to intervene himself! Inakuwa a Gift from The Gods!!!! He is agentleman too nilisahau! Nilipomuona i understood why the 6 years wait!

The problem is HE ISN'T POPPING THE MILLION DAOLLAR QUESTION!!!!!!!!!! Bi dada waited for 6 years for him to pop that question!!!!! Bila bila!!!!!! Trust me when i say all is well between them! Sasa dada is getting desperate!!!!
Mi nikamshauri times are changing if he hasnt asked for 6 F.U.C.K.I.NG Years he isnt gonna ask! Its high time she plays the S.LUT card and do the asking! Akasema aaah bwana its not a lady like kupropose na nini! We mbona hujapropose kwako! Nikamwambia i aint the one goin 30 anytime soon! If i hit 30 i will propose, and not only propose bt actually marry somebody if its necessary! LOLEST! Tukaishia kucheka tu!

Huku na huku akasema to hell! Basi akaamua liwalo na liwe! Akapropose to the guy! Flani Will you marry me this year????? Hahahahaaaaaaa! Kama namuona kaka sharubu zilivomng'aaa!!!!! You know kibao! Ndo akasema tu ukweli ujue mimi all these 6 Years i was hopping itafika siku i will certainly feel its the right time to marry you lakini miaka inakatika tu! There is somethin missin btn us but i dont know what! Ila umekuwa mwema sanaa kwangu i was hopping n prayin utakuja kuniambia u have found somebody special but ufortunately that day never came! BLAH! BLAH! BLAH! Bottom line is He is not gonna marry her either way!

Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!

Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!
 
Hahahahahahahaha lara 1 umenichekesha sana! Ila muda mwingine kuuliza ni muhimu maana unaweza kusubiri sana kumbe mtu ana kufanya stand yake kumgoja mwingine!

Pengine mtu ana kuwa hajarizishwa nawe lakini wengine kumwambia mtu ni ngumu sasa ana subiri ukitaka kuuliza kuhus wedding ndio ana kwambia hawezi kukuoa!

Ni bora kujitoa muanga na kuuliza hatima yako! Inasikitisha sana miaka 6 alaf una wekwa pembeni!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahaha lara 1 umenichekesha sana! Ila muda mwingine kuuliza ni muhimu maana unaweza kusubiri sana kumbe mtu ana kufanya stand yake kumgoja mwingine!

Pengine mtu ana kuwa hajarizishwa nawe lakini wengine kumwambia mtu ni ngumu sasa ana subiri ukitaka kuuliza kuhus wedding ndio ana kwambia hawezi kukuoa!

Ni bora kujitoa muanga na kuuliza hatima yako! Inasikitisha sana miaka 6 alaf una wekwa pembeni!

Bora uulize upewe makavu live mapemaaa! Kuliko kungojea jambo ambalo halipo! Hivi kwanini wanaume mnakatabia ka kutufanya stand ya kungojea the one awasili?
 
Teh nshapropose mahali nkaishia za uso "usinishurutishe" he he he
mmmh nikakoma sirudii tena mie, ila ahsante kwa ushauri!!!!!!!
Mbona si tukiwatongoza huwa mnatutukana kwanza halafu baadaye huwa mnakubali? Na nyie vumilieni, mtafanikiwa. Mkisubiri hadi mfike 30's ndo mwanzo wa kubebwa na yeyote maana ukishakuwa desperate na uwezo wa kuchagua unapungua
 

Ahsante nshapoa mie!!!!!

Mbona si tukiwatongoza huwa mnatutukana kwanza halafu baadaye huwa mnakubali? Na nyie vumilieni, mtafanikiwa. Mkisubiri hadi mfike 30's ndo mwanzo wa kubebwa na yeyote maana ukishakuwa desperate na uwezo wa kuchagua unapungua

Kwani ndoa ndo kila kitu jameni!!! hadi niwe desperate?
ndoa zenyewe hizi magumashi tu...

Hahahahaaaaaaaaaaa! Akufukuzae hakwambii Toka!!!!!!!!!

Nami ni king'ang'a nipo tuuuuu!!!!!
 
lara 1, mabinti wa hivi wananikera sana. Unakaa miaka sita na mtu ukisubiri nini?

Kwa mtu anayejitambua hata miaka 2 ni mingi sana.

Halafu tatizo jingine la wadada wa kileo ni kutoa full menu unconditionally!
 
Last edited by a moderator:
lara 1, mabinti wa hivi wananikera sana. Unakaa miaka sita na mtu ukisubiri nini?

Kwa mtu anayejitambua hata miaka 2 ni mingi sana.

Halafu tatizo jingine la wadada wa kileo ni kutoa full menu unconditionally!

Umeonaaaaa eeeeeh! Mwanaume anaona kama anaweza pata lita zake mbili za maziwa daily amiliki Ng'ombe wa nini????/ Ndo anakugeuza kiburudisho chake weee, hadi ustuke au akuchoke mwenyewe!
 
Umeonaaaaa eeeeeh! Mwanaume anaona kama anaweza pata lita zake mbili za maziwa daily amiliki Ng'ombe wa nini????/ Ndo anakugeuza kiburudisho chake weee, hadi ustuke au akuchoke mwenyewe!

Ndo maana mabinti wa siku hizi mnanikera sana.

Mwanamume bila kumpimia anakufanya asusa. Kwenye ndoa kwenywe tunapimiwa wakati nyia hata kabla ya ndoa mnaachia kama vile mnagawa maji ya mvua tena kipindi cha masika.

You need to use your brains wajukuu zangu wapendwa!
 
Bora uulize upewe makavu live mapemaaa! Kuliko kungojea jambo ambalo halipo! Hivi kwanini wanaume mnakatabia ka kutufanya stand ya kungojea the one awasili?

kwanza ni kutoe wasiwasi si wanaume wote wanafanya hivyo!

Ukiona unafanyiwa hivi ujue jamaa hana mpango nawewe!
Lakini cha kujiuliza kama hakuna ka uzembe kwa msichana haiwezekani una kaa na mtu miaka 6 hujui hatma yako!
 
kwanza ni kutoe wasiwasi si wanaume wote wanafanya hivyo!

Ukiona unafanyiwa hivi ujue jamaa hana mpango nawewe!
Lakini cha kujiuliza kama hakuna ka uzembe kwa msichana haiwezekani una kaa na mtu miaka 6 hujui hatma yako!


Hapo hata mimi sijaelewa kabisa. Miaka sita yote ana-incubate mayai ya mijusi?
 
Hivi kwani, wanawake wao wako tayari tu kuolewa na kila mwanaume watokaye naye?

Manake taswira ninayoipata hapa ni kana kwamba wanawake wao ni wa kusema ndiyo tu.....
 
Hivi kwani, wanawake wao wako tayari tu kuolewa na kila mwanaume watokaye naye?

Manake taswira ninayoipata hapa ni kana kwamba wanawake wao ni wa kusema ndiyo tu.....

Sasa 6 yaers upewe proposal afu useme No!!!!! Kweli!!!!!
 
bora umemshtua, angeshangaa jamaa anamletea kadi ya harusi..

Its not fair at all kwa kweli! You want to spend the rest of your life with somebody and they wanna spend their lives with somebod else too!!!!!!!!

Inauma sanaa after 6 years of stable relationship you go back to ground zero!!!!!!! The dating games!!!!!!!
 
Funzo kwenu wadada kwa hii habari if you feel its time definately, na mwenzio kajikausha PROPOSE YOUR SELF!!!!! Kukaa kimya unaweza kujikuta unangoje Somethin that is never commin! Heri ujue mapemaaaa! Utajua endapo tu utapropose! Being nice n waiting in vain is soo 90's. 2years zinatosha kuwait in vain, then play the S.lut card and propose ili ujue hatma ya your future!!!!!!!!!!!

Nangojea mpambano wa hoja!!!!!!!!!

ushauri wako na mikakati yako mbona yatofautiana?

Angalia mwenyewe ulisemaje awali na ninakunukuu:-
Jamani we are living in difficult times now, especially for us ladies! Kama mjuavyo hii ni January so kila mtu ana mikakati yake binafsi na goals zake anataka kuachieve! Binafsi sina mkakati wowote ule hadi mda huu! I let the future Surprise me and my destiny amaze me!!!!!!!

lara 1 unashauri wenzio wawe proactive wakati wewe mwenyewe umeamua kuwa reactive.....................unasubiri uchinjwe badala ya kuchinja huku unashauri wenzio wachinje................................the problem is not a message but a messenger...............lakini nimeipenda avatar yako naona ni ya nguvu.
 
Its not fair at all kwa kweli! You want to spend the rest of your life with somebody and they wanna spend their lives with somebod else too!!!!!!!!

Inauma sanaa after 6 years of stable relationship you go back to ground zero!!!!!!! The dating games!!!!!!!

sure it pains a lot, ni vizuri kusoma alama za nyakati.. wangekua na mtoto sometimes ingempa guarantee!
 
ngumu kumeza lara 1, i'd feel like mie ndio naolewa kivile lol. nakusapoti though heri ujue kama ni kusuka au kunyoa and muwe 'on the same page'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom