Haya maisha bwana, kuna watu hawapati harufu eti, yaani hata ubwabwa unukie vipi yeye walaa...Ni ajabu kuwa baadhi ya watu ni wavivu kusoma, wavivu hata “kugugu” yeye akishaona ana tatizo ana assume ni tatizo la dunia nzima.
Kuongeza hapo kwenye Asexual, ngoja tumshangaze mleta mada …Kuna watu hawasikii ladha ya chakula maisha yao yote, wanakula tu ili waishi, Wanatushangaa iweje unakula na kufurahia chakula….
Usha wachanganya waja, kuna mtu nilibishana nae kuhusu hii Asexual, eti yeye akawa anakadhania ni Khanithi.Ooh dear wewe ni Asexual, nenda kajisome vizuuuuuri mna kakikundi chenu utakutana na wenzio mzidi kupeana ushauri na changamoto mbalimbali,
Ila usiwasimange ambao sio asexual kwa kupenda ngono, ngono ni tamu ndio ilowatoa Adam na Hawa bustanini.
😂😂😂😂😂😂Ngono ni biashara, ngono ni kitega uchumi, ngono ni utamu, ngono ni ujasusi kwa jirani, ngono ni shina la siri, ngono ni uzazi, ngono chanzo cha magonjwa, ngono ni nira, ngono ni kujuana, ngono ni utemi, ngono ni uchafu, ngono ngono ngono mtakufa kabla ya siku mambwa nyie!
😂😂😂😂😂😂😂Anajua sana anajitoa ufahamu tu,
Sema nilivyomsoma mtoa mada na mfululizo wa mada zake anavyozifyatua kila baada ya dakika 2, itoshe kusema Mirembe imejaa wazima ilhali wagonjwa wapo mitaani wanadunda tu.
Bwashee bia sio chungu , ukiendelea mbele kidogo tu unaanza ona utamu wake wengi wanafeli kuendelea hapo mbele kwenye huo utamu 😄Na mimi naongezea hapo,
Kuna watu wakinywa bia hua wanaiona ni chungu na mbaya,ni bora wanywe fanta orange,wakati huo huo kuna watu huwaambii kitu kwenye Bia . cc min -me
Sawa 🤝🏃🏻♀️Madam Netflix after dark 🏃
Mkuu mawazo yako hayo yakatae, maana unakoelekea utakuwa hanithi.Hivi ladha ya kufanya mapenzi ipo I wapi kwanini watu wana promote Sana? Kusema ukweli watu wanaipromote ngono kipa mara ila haina ladha wala faida yoyote au kuna namna yoyote ya kufanya mapenzi mpaka afurahie yaani unatumia nguvu ladha unaipata kwenye kumwaga Tu? Au kuna sehemu nyingine ambapo unaweza kuenjoy kufanya mapenzi apart kwenye kumwaga?
Watu wanahangaika kuangalia sura lakini sura inaimapact nini kwenye kufanya ngono? Sura na rangi inafaida gani kwenye kufanya ngono? Kwanini watu wanaover rate sana hii kitu inaitwa ngono? Nilijaribu kutoka nje ya ndoa labda shida ni mke wangu nikachepuka na demu mmoja mweupe tena sana lakini nimefanya sijaona ladha yoyote ile nikaona huu ujinga
Ngono ni haina faida wala ladha yoyote ile mara ya mwisho kuinjoy nilikutana na mmasai mmoja hapo atleast niliinjoy lakini bado nikaona apart from kutumia nguvu kwenye ladha ya ngono ni pale kwenye kumwaga tu basi
Acheni kupromote ngono ni ujinga tu
Nikiachwa na ushemeji unakufa?😅😅Nakuunga mkono hadi uachwe na Atoto 😀
Ndio ndioo 😂Nikiachwa na ushemeji unakufa?😅😅
Sio lazima na sio kwa wote kuna wengine ngono ni kwasababu ya kuzaliana tuUna matatizo labda
1.Homoni zako zilishuka kitambo hujui tu
2.Una msongo wa Mawazo ambao unauchukulia kawaida
Ndugu
Mapenzi ni matamu mno haswa ukimpata unayempenda na anakupenda.
ILi mwili wako utimie unahitaji
1️⃣Kula vizuri.
2️⃣Kulala usingizi mzuri
3️⃣kufanya Ngono
Sasa kujituma kote Kwa watu na hekaheka zoooote unazokutana nazo ni kwaajili ya hivyo vitu vitatu muhimu
Lakini pia jinsia yako ni ipi?
🤣🤣JF VAR CHECK
![]()
Ni ngumu kumpata bikra Kanda ya Ziwa, sijui wana shida gani
Aisee sijui kanda ya ziwa wanawake wao wana shida gani yaani ni rahisi kumpata msichana bikra kanda ya pwani ila ngumu sana ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano ndivyo ilivyo ni ngumu kumpata bikra kanda ya ziwa hasa hasa akina mwanike wanyamwezi atleast ni rahisi na wanyaturu ni rahisi...www.jamiiforums.com
😄😄😄Tatizo lako lilianzia hapa,
JF VAR CHECK
Wakuu naombeni ushauri nifanye nini au shida ni nini wakuu maana naona ndoa itaanza kuingia doa.
Nimekuwa ni mtu wa kupiga bao moja tu halafu siwezi kuendelea na bao la pili au huyu mzee mzima anashindwa kusimama kuendelea na bao la pili anakuwa anasinyaa tu yaani haisimami hiyo ni mpaka asubuhi kwahiyo unajikuta unaishia bao moja tu.
Wakuu shida ni nini?
- Zee la madawa
- msaada mtu wakuu
- Replies: 132
- Forum: Mahusiano, mapenzi, urafiki
🤣🤣 Atafanya kaziSasa usipofanya ngono hapa duniani utafanya nini?
Mfeminiqla unayenogewa na .d.......u😅Ndio ndioo 😂
Unadhani mahakamani ntakutetea wewe au yeye, mimi ni mfeminia.