Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Haa haa haaa
Mimi nikifika bia ya 3 hua nakua na mawazo na mipango mikubwa sana ya kimaisha.

Ila nikifika ya 7 hua naanza kuwaza papuchi tu.
Wanasema mwanzoni mnywaji anakuw kama Nyani/Ngedere anachecheka tu,akiongeza kidogo anaanza kuwa kama Simba majigambo na kujiona mtemi akiongeza zaidi hugeuka nguruwe mambo anayofanya Huwa ni aibu kusimuliwa kesho yake
 
Watu kama wewe wameshanipa ushauri sana wa kupiga vyombo ila msimamo ni hapana vinywaji laini vinatosha
Kuna jamaa alikunywa ili apate confidence ya kumtongoza demu,bahati Mbaya alikunywa mpaka akapitiliza akaanza kulia mbele ya demu,mbaya zaidi akajinyea ikawa aibu kubwa
 
Mimi huwa ikifika castle lager ya 5 halafu niko kwenye live band huwa nakata mayenu hata defao haoni ndani, halafu demu ninaecheza nae hata kama hatujuani najikuta nimemuhamishia kwenye meza niliyopo mimi....... Baada ya hapo inaendelea bandika bandua bila kujua tena idadi zimefika ngapi, lakini wakati huo tunaendelea kusakata mayenu mwanzo mwisho..... Lakini baadae huwa cjui nini kimetokea najikuta nastuka kesho yake asubuhi nimestuka nimelala kwenye chumba tofauti kabisa na kwangu halafu pembeni yangu amelala mwanamke ambae pia ni tofauti na mke wangu...... Hapo ndo naanza kupanga mipango, mbinu na mikakati mizito ya namna ya kumdanganya wife nini kilinipata hadi nikashindwa kurudi nyumbani.
 
Kwa wanywaji wazuri wa bia,

chupa ya kwanza [emoji481] huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza koo… Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.

chupa ya pili [emoji481][emoji481] kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihi….

Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.

Bia ya tatu [emoji481][emoji481][emoji481] huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sana…. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokeza…..

Bia ya nne [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikia….. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.

Bia ya tano [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipu……na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; ‘Mi sipendwi mpaka leo sijaolewa’ au ‘ Mume wangu sijui yukoje hanijali’

Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.

Kuanzia bia ya sita [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481] na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wajumbe wenzangu wa kikao naomba karibuni bier ya 7 na kuendelea
Vipi wale wa ngum kumeza, nyagi, grants, tu Dada vipi mafeeling yao
 
Mwaka mpya kuna jamaa alifikisha ya sita. Kila akipita mezani kwangu ananiagizi castle light 2. Simjui hanijui. Mchepuko wake ndio ulikua umeshika fuko la pesa
Itakuwa ni mimi, kama ni dar ukonga madafu basi ni mimi.
 
Mwaka mpya kuna jamaa alifikisha ya sita. Kila akipita mezani kwangu ananiagizi castle light 2. Simjui hanijui. Mchepuko wake ndio ulikua umeshika fuko la pesa
Walevi Huwa wanatengeneza network akizima kama mu waungwana mtawaza namna ya kumsaidia
 
Mimi huwa ikifika castle lager ya 5 halafu niko kwenye live band huwa nakata mayenu hata defao haoni ndani, halafu demu ninaecheza nae hata kama hatujuani najikuta nimemuhamishia kwenye meza niliyopo mimi....... Baada ya hapo inaendelea bandika bandua bila kujua tena idadi zimefika ngapi, lakini wakati huo tunaendelea kusakata mayenu mwanzo mwisho..... Lakini baadae huwa cjui nini kimetokea najikuta nastuka kesho yake asubuhi nimestuka nimelala kwenye chumba tofauti kabisa na kwangu halafu pembeni yangu amelala mwanamke ambae pia ni tofauti na mke wangu...... Hapo ndo naanza kupanga mipango, mbinu na mikakati mizito ya namna ya kumdanganya wife nini kilinipata hadi nikashindwa kurudi nyumbani.
Hahahaaa general galadudu
 
Jaman bia ipewe heshima ake .....
Nikinywaga safari ikifik ya 3 nikijishika usoni naona sura kama sio yangu ....
Sema bia inanifanyaga niongee kiingeleza kizurii sana kiasi kwamba hata IQ yangu inaongezeka ahahaha
Ukilewa lazima kidhungu kinyooke
 
mi nikifika bia ya 5 naanaza kuwaza biashara nyingi sana na mambo makubwa makubwa, hadi nawaza naanzaje kopa benki ili niweze kufikia malengo, ila nikifika bia ya 10 daaah apo nawaza pauchi tu kila mdada hasa maabaamedi ndo wananivutia....
hahaaa aisee basi kama ndio hvyo wake zenu shughuli wanazo
 
Back
Top Bottom