Laana kuu Ubungo mataa!

Nimetazama ule ujenzi sijaelewa kwanini wameweka ghorofa mbili na ground floor [emoji3]itatumika kwa shughuli ipi, kadhalika mwendokasi watapita wapi?
Mwendokas wanapita Juu huko Juu ni Magari yote yanayoenda Mwenge yakitokea Tabata moja Kwa moja na Juu Kabisa yatapita Kimara Posta au Posta Kimara huko huko kuna njia mbili Kama unvyoona ss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kukaa foleni masaa mawili pae ubungo mataa ninaomba kujua yafuatayo.
Ni hasara kiasi gani tumepata kama Taifa katika kipindi cha miaka kumi mpaka Leo kutokana na foleni hizi.
TRA imeingiza pesa nyingi kupitia foleni sababu ukiwa foleni mafuta yanaliwa Sana inabidi ujaze mengine na kila Lita Kuna Kodi kea hiyo ukijaza zaidi TRA wanapata pesa na wafanyabiashara wa vituo vyao mafuta pesa zinaongezeka.


Foleni zinasaidia TRA na wafanya biashara wa vituo vya mafuta

Foleni Zina faida kwa taifa

Makusanyo mengi TRA husaidia nchi.Njia moja ya kuongeza mapato ni foleni

Foleni hoyeeeee!!!
 
Mwendokas wanapita Juu huko Juu ni Magari yote yanayoenda Mwenge yakitokea Tabata moja Kwa moja na Juu Kabisa yatapita Kimara Posta au Posta Kimara huko huko kuna njia mbili Kama unvyoona ss

Sent using Jamii Forums mobile app
Top layer ni Tabata to Mwenge
Middle layer ni Kimara to City center
Nikategemea Uvunguni layer iwe ya mwendokasi ili wasiingiliwe
 
Huko watasema wazungu walijenga sasa hapo nairobi na Ghana kila mji flyover alijenga beberu? Ni ushamba tu wa kutofikili na kushindwa kuchagua vipaombele
Miaka 5 imekwisha barabara alizoanzisha JK hazijamalizika bado mikoa hadi mikoa ni matope kwenda mbele
 
Kila kwenye critical junction lazima ijengwe hoja sio kujenga interchange moja bali kadhaa na kuimalisha barabara za pembeni,sio tu Dar na miji yote Tzn yenye hali kama hiyo,mbona nchi za waafrika wenzetu zinaweza shida ni ipi hapa bongo?
 
Kila kwenye critical junction lazima ijengwe hoja sio kujenga interchange moja bali kadhaa na kuimalisha barabara za pembeni,sio tu Dar na miji yote Tzn yenye hali kama hiyo,mbona nchi za waafrika wenzetu zinaweza shida ni ipi hapa bongo?
Kutafutwe njia nyingine ya kuingia mjini. Wachepukie Chalinze na kuteremkia Pugu na wengine wapitie Bagamoyo
 
Wakuu nimetazama pale sijaelewa watumiaji hawa watafanyaje:

Anayetoka Kimara kwenda Buguruni
Anayetoka Mwenge kwenda Kimara
Anayetoka Manzese kwenda Mwenge
Anayetoka Tabata kwenda Manzese watapitaje kwenye hilo daraja
 
Hii thread ingefunguliwa kuanzia mwaka 2016 kwenda mbele hizo comment zake

ungehisi wachangiaji ni kina mama wajawazito wenye uchungu wanakaribia kujifungua.
 
Wakuu nimetazama pale sijaelewa watumiaji hawa watafanyaje:

Anayetoka Kimara kwenda Buguruni
Anayetoka Mwenge kwenda Kimara
Anayetoka Manzese kwenda Mwenge
Anayetoka Tabata kwenda Manzese watapitaje kwenye hilo daraja
Watapita ground floor, pale kutakuwa na muingiliano wa magari yanayopinda kushoto/kulia, sijui itakuwa roundabout au vipi. First floor ni Kimara-Posta(including mwendokasi), second floor ni mwenge-buguruni.
Check link hiyo lazima uelewe kinachoendelea:
 

Nashukuru sana Mkuu nimeona wanavyotofautiana katika kupita

Barikiwa sana
 
Serikali ikiboresha miundombinu mnabeza, mnasema mnataka maendeleo ya watu siyo vitu. Leo unakuja kulialia hapa ili iweje ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali hii ni gesi ya Azam Cola hata siku 3gesi ipo tu,,,,,,
Tunasubiria uchaguzi ukaribie ndio waseme na Machinjio ya vingunguti japo alipita katikati ya mabati [emoji2]kwenda kukagua [emoji3]na huko Coco beach sijui kunaendeleaje[emoji3]
Nanukuu—-“Isingekuwa Niaa ningestaafu”
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandae kuikabili the same laana pale mbezi mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo wanamalizia daraja 2020[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…