zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Heh he..Naona tafsiri ya neno fisadi imebadilika siku hizi. Kama kuanzisha kampuni ni ufisadi RA anayo makampuni mangapi?
kutumia ''uzalendo'' kwa kutetea ka kampuni kake, usibadilishe maana!
Heh he..Naona tafsiri ya neno fisadi imebadilika siku hizi. Kama kuanzisha kampuni ni ufisadi RA anayo makampuni mangapi?
Siwezi kumpeleka one MAFIOSO kwa MAFIOSO mwengine ili haki itendeke, utakuwa ni wendawazimu.
Mimi nitakuwa huko summer nikafaidi kipunga cha kwetu. Njoo unitembelee huko, ila ukipigwa panga usije ukanilaumu mimi.
Insurgent,
...
Jamani hakuna sehemu hata moja Mwakyembe ameanza kudai credits kutokana na Richmond, kazi kaifanya na aliiwakilisha Bungeni hata kama kuna mtu aliyemsaidia hili sio swala kabisa..Hilo file limeisha fungwa kwake..
Mwakyembe amekuja chafuliwa na kamati ya kutundika kwa posho na lunch hotelini iliyokubali kununua mitambo ya Dowans, hapo ndipo utata ulipoanza na mara zote yeye amekuwa ktk kujitetea..Kaitwa majina yote lakini leo hii kasimama yeye na kuanza kukibadilisha kibao mnaanza kumlaumu tena.. Na ajabu ni kwamba sijaona wala kusikia mtu toka kundi lenu akizungumzia Rostam na jinsi anavyotafuta umaarufu...
Inanipa hofu kwamba yawezekana kweli Rostam kapandikiza watu humu ndani, iweje watu kila siku mnamsakama Mwakyembe lakini hamzungumzi lolote baya kuhusu Rostam hata ile acknowledgement tu ya machafu yake . Picha nzima ni Mwakyembe na Rostam sasa jaribuni kutuambia makosa ya kila mmoja wao inapotokea na sio kudandia Mwakyembe tu inapofikia Rostam kuwa kichwa cha hoja mnaingia mitini..
Nakubariana na wewe 100 kwa 100 watu wametumwa humu (kagoda imetema)kwa mfano bebu fuatilia thanks tha FMES kwenye hii thread utagunduwa kitu..... utabiri wangu unatimia
Hahahahaaaaaaaaaah, bora ulivyokubali kuwa huwezi! si rahisi kama unavyofikiria unajuwa ukikosa ushahidi, umeumia!
kutumia ''uzalendo'' kwa kutetea ka kampuni kake, usibadilishe maana!
Hahahahaaaaaaaaaah, bora ulivyokubali kuwa huwezi! si rahisi kama unavyofikiria unajuwa ukikosa ushahidi, umeumia!
Si unakumbuka jamaa yako mtikila alivyo-umbuka?
Ushahidi kuhusu Umafioso ambao bosi wako anahusika si lazima niulete mimi, leo hii au kesho. Anaweza kusubiria tu aklidhani tumesahau lakini, some days, months, years to come pale ambapo mtandao wa mafioso utakapokuwa umesambaratishwa, kila kitu kitawekwa bayana na nakuhakikishia hakutakuwa na msalie mtume.
Kama anaitetea kampuni yake na wakati huohuo incidentally, anatutetea umma wa wanyonge, tatizo linakuwa wapi?
Hoja zake kuhusu Dowans na Richmond ziko wazi, ninyi wafuasi wa RA mmeshindwa hoja zake mnaishia kuleta ad hominem. Yes, anayo kampuni ya umeme, lakini anatetea maslaha ya wengi.
Start to swallow that!
hahahahaaaaaha, Nyani alivyokosa zabibu akasema...
Huu ni wakati wako wewe na bosi wako kukenua..kamuulize Chiluba na Muluzi..
Hakuna kitu kama hiyo, kutafuta sympathy ya wanyonge kwa kutaka ieleweke kuwa RA si mzalendo? ni mchezo mchafu, na yeye akichezewa rafu alizoanzisha watu wasilalamike!
Huko ni kuishiwa na utetezi na kutaka kupoteza mada! ametetea nini kwa wanyonge? anaanzisha kampuni ajuwe lazima atakumbana na ushindani wa kibiashara na asifikiri atakuwa na monopoly ya biashara ya umeme peke yake. Na hakuna kusaidia mnyonge kwenye biashara bila ya faida, angekuwa anataka kutetea wanyonge kwa kuwapatia umeme si angeanzisha shirika lisilo la faida au mfuko wa miradi ya umeme tungejuwa ni kweli anaanzisha haya kwa ajili ya kusaidia wanyonge.
Wengi tu tutawapeleka, wa kwanza Nkapa, the hague inamngoja!
Mwakyembe inaelekea kuwa yuko so bitter...yaani vagi lake na Rostam juzi jumamosi alilihamishia kwenye fainali ya kombe la NSSF kwenye mechi ya timu ya UHURU v/s HABARI CORP.
So sad huyu jamaa nilikuwa namheshimu miaka ileee alipokuwa na kile kiofisi chao cha LEGAL AID na Dr MVUNGI pale kwenye jengo la SUKITA enzi hizo Mwakyembe alikuwa ni mtu kweli kweli sasa tangu aingie kwenye siasa amekuwa kama mwehu vile
Mpka leo sielewi what was the point ya kupandishana pesa jumamosi...lakini ndio hao wanasiasa wetu
AMA KWELI PESA MWANA HARAMU
Lakini hata kama akitambika uchi huyu mwakyembe, ukweli utabaki pale pale kuwa yeye ni miongoni mwa wale wabunge waliokula milioni 5 za Rostam wakati wa Kampeni sasa leo hii asitake kujidai yeye ni msafi kuliko wote.
In short Rostam ni kama Nyerere tena naweza kusema zaidi kwenye hii game ya Politics za TZ, Maana mwalimu yeye alikuwa ni mcheza Game kwenye politics tuu lakini Rostam ni mpaka Biashara in other words HE OWNS THE CURRENT RULING ELITES na hawana cha kumfanya baada ya kula pesa zake
So Mwakyembe should spare himself further embarrassment kuendelea kutukanana na mtu ambaye hamjibu except ana rewind ule mkanda wa makabidhiano now and then
Mwisho zaidi nasema I CANT KNOCK ROSTAM'S HUSTLE....jamaa ni mtafutaji na anaitumia opportunity anavyoona itamnufaisha
Ugonjwa wetu mnajua tatizo lake lilianzia wapi na dawa yake wote mnaijua