Kyela 2010: Mwakyembe Vs Mwakalinga kupitia CCM

Masa
Mwakalinga alisoma agricultural engineering..tafuta utaratibu wakati huo ilkuwaje,alimaliza UDSM na akaenda sokoine badaye akatimkia Poland

Nadhani kabla ya kutoa jibu soma uelewe, nafahamu Ag Eng waanzia UD na mwaka wa tatu huamia SUA kwa miaka miwili. Sawa alimaliza miaka ile miwili UD na kuja SUA, je alimaliza SUA? ama alinyakwa ? Maana shule ya SUA miaka hiyo ilikuwa silele mama....nitajie mwaka aliograduate SUA, maana kumbu kumbu zipo, hii unaiita kutimkia Poland mimi naona imekaa kama alitimuliwa baada ya kufail na kuwahi Poland.
 
Yalijengwa Mwakyembe kwa kushirikiana na JWTZ(Gen. Mwamunyange)

Na ndio sababu ya Mwakipesile kususia kwenda kwenye ufunguzi wa madaraja hayo.

Mkuu yako wapi hayo saba?.

Mbona lile la ipyana haulisemi lilijenjwa na nani kwa sababu nalo ni la jeshi.
 
MWAKYEMBE KUCHINJA NG'OMBE KILA KATA.

Mbunge wa Kyela Harison Mwakyembe kwa kushirikiana na jamaa zake wenye ufinyu wa mawazo Ally Kinanasi(Shemeji wa wilaya) na Emmanuel Mwamulinge(Kinundu) watapita kila kata huku wakichinja ng'ombe na kula na wananchi kwa lengo la kuubadili upepo mkali unaomkabili

Habari zilizotapatikana sasa hivi hapa mjini kyela zinasema, upepo sio mzuri tena kwa mheshimiwa huyo baada ya kukimbiwa na madiwani na watendaji wa kata karibia wote wakimtuhumu kwa tabia yake ya kusabisha migongano ndani ya chama na wilaya nzima ya kyela na hivyo maendeleo ya wilaya ya kyela kuzidi kushuka.

Mwakyembe kwa kushirikiana na Ally Kinanasi na Emanuel kinundu,watakuwa wanapita kila kata na kuchinja ng'ombe na huku mwakyembe akisimikwa upya kama chief wa kinyakyusa kwa kisingizio cha kwamba watu wanampa pole na ajali

Habari zinasema mwakyembe ameona upepo sio mzuri kwake na ameona aitumie nafsi ya ajali aliyopata kama kisingizio cha kusafisha jina lake.

Wapambe wa mwakyembe wamekuwa wakikutana kila siku usiku na kukaa kwa muda mrefu huku wakijipanga jinsi ya kununua hizo ngo'mbe kila kata.

Katika mkutano mkuu wa Halmashauri ya ccm wilayani kyela uliofanyika mapema mwaka huu kujadili vurugu,zilizopelekea kupigwa kwa Katibu wa ccm wilaya, Mwakyembe aliambiwa wazi wazi na madiwani kuwa hawamtaki na kama kunauwezakano ajuzuru.Ni mbunge wa kwanza kuambiwa na madiwani kwa kipindi kidogo alichoongoza.

Mwakyembe ana jina kubwa sana kitaifa,lakini hapa wilayani kapoteza dira na mwelekeo.Kikubwa sana ni ile tabia yake ya dharau na kusababisha migongano mingi sana ndani ya jamii ya kyela.

Kwanza inabidi ukumbuke kuwa safari hii kura za maoni zitapigwa na wanachama wote, sio kikundi kidogo cha watu kama zamani, ambacho wenye fedha waliweza kukitumia vizuri kutoa rushwa na hatimaye kushinda.

Mwakyembe hakuchaguliwa na madiwani bali wanancchi wa kyela kwahiyo madiwani hawana ubavu wa kumuamuru Mwakyembe ajiuzulu.

Mwisho wa yote baada ya shutuma, malalamiko, majungu, fitna na kila aina ya mbinu ya kumng'oa mjengoni bw.Mwakyembe, kama hatang'oka sitashangaa kusikia mmehamia kwa masangoma. Maana inaonekana mnajaribu kufanya kila lililo ndani ya uwezo wenu na hata kukodisha mamluki ili kuhakikisha Mwakyembe harudi mjengoni.

Hata huyo Mwakalinga akishinda ubunge mtamgeuka tena na kuanza kumshambulia baada ya muda mfupi tu, kwakuwa inaonekana watu wa kyela ndio zenu hizo.
 
Nadhani kabla ya kutoa jibu soma uelewe, nafahamu Ag Eng waanzia UD na mwaka wa tatu huamia SUA kwa miaka miwili. Sawa alimaliza miaka ile miwili UD na kuja SUA, je alimaliza SUA? ama alinyakwa ? Maana shule ya SUA miaka hiyo ilikuwa silele mama....nitajie mwaka aliograduate SUA, maana kumbu kumbu zipo, hii unaiita kutimkia Poland mimi naona imekaa kama alitimuliwa baada ya kufail na kuwahi Poland.

Hawezi kukutajia mwaka aliograduate SUA kwakuwa hakuwahi kugraduate pale SUA. Ndio maana amemtetea hapo juu kwamba alitimkia Poland.

Halafu unajua watu wengi sana walioshindwa kuhimili mikiki mikiki ya elimu ya bongo walikimbilia nchi za ulaya mashariki kama Poland, Hungary, Czech, USSR, Bulgaria na nyinginezo ili angalau wagraduate.

Na ndio maana wapambe wake wanamsifia kwamba ni mhandisi aliyebobea kwenye masuala ya computer na IT, Uhandisi kilimo hautajwi kabisa, kama kweli anyo hiyo taaluma kwanini haitajwi?
 
Fataki;

Ingawa ushauri wako ni mzuri kwa wanaosoma juu juu, lakini kwa sisi tunaosoma katikati ya mistari tumekuelewa kama ulivyotaka tukuelewe......Udsm.

Ninachokushauri wewe ni kuwa kabla ya kutoa ushauri inabidi uombwe kutoa ushauri.

NI WAPI GEORGE MWAKALINGA ALIKWAMBIA KAUANDAA WARAKA ULIOUTUMIA KUTOA USHAURI?

Aliyeuleta mwenyewe amekiri haikuandaliwa na George, iweje uutumie kutoa ushauri?.

Points nyingi ulizotoa hazina mantiki hata kidogo labda watu wa aina yako ndo wanaziona zinaleta mantiki.

Anyway sitaki kwenda personal kama ulivyoenda wewe kwa George (najua wengi hawakuiona hili na siwalaumu), ila toa ushauri unapohitajika na ukiwa na uhakika na usemayo. Huna haja ya kutumia tafsida na takhriri kuficha ujumbe.
 
Mkuu yako wapi hayo saba?.

Mbona lile la ipyana haulisemi lilijenjwa na nani kwa sababu nalo ni la jeshi.

Yaani hayo mengine saba huyaoni isipokuwa unaliona moja tu la ipyana???Kwani ipyana haiko kyela?

Au ndio kusema ameyajenga kilimanjaro?manake mnasema anawatumikia shemeji zake chagaz, hadi dereva wake mchaga, msuya kawa mchaga toka lini?na kuna ubaya gani kama dereva wake ni mchaga?

Yaani mmeamua kufumba macho kabisaa hamuoni lolote alilowafanyia Mwakyembe?

Ndio maana nimejipachika unajimu, ninatabiri kwamba iwapo Mwakalinga atashinda ubunge 2010, ikifika mwaka 2012 mtaanza tena kusema hajafanya hili na lile.
 
Mwakalinga kafulia, inakuaje anajiunga na mafisadi? Tatizo la siasa za kudandia gari kwa mbele bila kuuliza wenyeji. Mwakipesile kapoteza kabisa kukubalika kyela,yeye anaungana nae.

Ataaibika vibaya sana kama ataendelea na tactics zake za ukibaraka. Kama hajui amuulize yaliyomkuta Thom Apson mwang'onda alipogombea uNEC pale Mbeya na Mwandosya akiwa amepandikizwa na wana mtandao.

Kilichotokea ni kwamba watu walikuwa wanampa consideration ya ubunge mbeya mjini lakini after tha incidence watu hawataki hata kumsikia.
 
Kwanza inabidi ukumbuke kuwa safari hii kura za maoni zitapigwa na wanachama wote, sio kikundi kidogo cha watu kama zamani, ambacho wenye fedha waliweza kukitumia vizuri kutoa rushwa na hatimaye kushinda.

Mwakyembe hakuchaguliwa na madiwani bali wanancchi wa kyela kwahiyo madiwani hawana ubavu wa kumuamuru Mwakyembe ajiuzulu.

Mwisho wa yote baada ya shutuma, malalamiko, majungu, fitna na kila aina ya mbinu ya kumng'oa mjengoni bw.Mwakyembe, kama hatang'oka sitashangaa kusikia mmehamia kwa masangoma. Maana inaonekana mnajaribu kufanya kila lililo ndani ya uwezo wenu na hata kukodisha mamluki ili kuhakikisha Mwakyembe harudi mjengoni.

Hata huyo Mwakalinga akishinda ubunge mtamgeuka tena na kuanza kumshambulia baada ya muda mfupi tu, kwakuwa inaonekana watu wa kyela ndio zenu hizo.

Mwita,Hao madiwani walichaguliwa nanani?
Madiwani si ndiyo wenye watu au unafikiri wao wanateuliwa.

Mheshiwa amebaki na Kisungujila tu.
 
MWAKYEMBE KUCHINJA NG'OMBE KILA KATA.

Mbunge wa Kyela Harison Mwakyembe kwa kushirikiana na jamaa zake wenye ufinyu wa mawazo Ally Kinanasi(Shemeji wa wilaya) na Emmanuel Mwamulinge(Kinundu) watapita kila kata huku wakichinja ng'ombe na kula na wananchi kwa lengo la kuubadili upepo mkali unaomkabili

Habari zilizotapatikana sasa hivi hapa mjini kyela zinasema, upepo sio mzuri tena kwa mheshimiwa huyo baada ya kukimbiwa na madiwani na watendaji wa kata karibia wote wakimtuhumu kwa tabia yake ya kusabisha migongano ndani ya chama na wilaya nzima ya kyela na hivyo maendeleo ya wilaya ya kyela kuzidi kushuka.

Mwakyembe kwa kushirikiana na Ally Kinanasi na Emanuel kinundu,watakuwa wanapita kila kata na kuchinja ng'ombe na huku mwakyembe akisimikwa upya kama chief wa kinyakyusa kwa kisingizio cha kwamba watu wanampa pole na ajali

Habari zinasema mwakyembe ameona upepo sio mzuri kwake na ameona aitumie nafsi ya ajali aliyopata kama kisingizio cha kusafisha jina lake.

Wapambe wa mwakyembe wamekuwa wakikutana kila siku usiku na kukaa kwa muda mrefu huku wakijipanga jinsi ya kununua hizo ngo'mbe kila kata.

Katika mkutano mkuu wa Halmashauri ya ccm wilayani kyela uliofanyika mapema mwaka huu kujadili vurugu,zilizopelekea kupigwa kwa Katibu wa ccm wilaya, Mwakyembe aliambiwa wazi wazi na madiwani kuwa hawamtaki na kama kunauwezakano ajuzuru.Ni mbunge wa kwanza kuambiwa na madiwani kwa kipindi kidogo alichoongoza.

Mwakyembe ana jina kubwa sana kitaifa,lakini hapa wilayani kapoteza dira na mwelekeo.Kikubwa sana ni ile tabia yake ya dharau na kusababisha migongano mingi sana ndani ya jamii ya kyela.

Samwel unayoongea sidhani kama yana ukweli wowote,kwa haraka haraka kati ya madiwani wote Kyela sidhani kuna anayempinga Mwakyembe ukiondoa tu diwani wa hapa Kyela mjini;asiyejua kusoma wala kuandika Mzee Makete na yule wa Katumba-songwe ambako ndiyo nyumbani kwa GAM ndiye wanaoleta matata kwa Mwakyembe!

Ni kweli Mwakyembe hapendwi na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya mzee Mwakasumi na mkuu wa Mkoa Mzee Mwakipesile lkn ana mtaji mkubwa sana wa wananchi walio nyuma yake,na itakuwa ndoto za abunawasi kwa Mwakalinga bila kuwa na strategies pana za kumuondoa Chief!

Ushauri wa Bure kwa Mwakalinga,afanye kampeni za kisasa,haya mambo ya kufuata mwongozo wa Mzee Mwakipesile na hata kuongozana na wapambe wa zamani wa Mwakipesile akina Andy Mwakang'ata na akina Biso hayawezi mfanya amuangushe Mwakyembe,na ataanguka vibaya mno asiporekebisha hali hii!

Mwakalinga kwa sasa anapaswa "awakamate wazee "kama akina Arthur Mwaitenda,Mzee Mwamunyange,General Mwamunyage,Shehe Mwafilango,Mzee Mwaikambo,Mzee Mwanjala,Mzee Ngalawa,askofu wa KKKT-Ipyana,Mzee Mwambogoja,Mzee Mwakalukwa,Mzee Mwakigonja na wazee wengine kote wilayani Kyela ambao wana nguvu sana kimaamuzi kwa vijana wao!

Halafu,Mwakalinga asipoteze muda kwenye kata na vijiji ambavyo hata afanye nini hawezi kumuangusha Mwakyembe,asiende kwenye kata ya Kajunjumele,kata ya Ngonga,vijiji vya Ikolo,kapwili,Ndandalo,na vijiji vya kando ya Matema,maana akienda huko ni kupoteza muda tu ambao anauhitaji kujiimarisha zaidi sehemu anayoungwa mkono au wanayochuana kwa karibu na Mwakyembe!

Na sidhani kama Mwakyembe atamkumbatia Kinanasi eti ndiye awe mpambe wake,kumbuka Samwel huyu Kinanasi hana mvuto wala nguvu ya yeyote kisiasa hapa Kyela,na elewa kuwa Mwakyembe ni hodari sana kwenye kupanga mashambulizi ya kushtukiza,au umesahahu mabomu aliyokuwa anamchapa nayo Mzee Mwakipesile mwaka 2005?
 
Samwel unayoongea sidhani kama yana ukweli wowote,kwa haraka haraka kati ya madiwani wote Kyela sidhani kuna anayempinga Mwakyembe ukiondoa tu diwani wa hapa Kyela mjini;asiyejua kusoma wala kuandika Mzee Makete na yule wa Katumba-songwe ambako ndiyo nyumbani kwa GAM ndiye wanaoleta matata kwa Mwakyembe!

Ni kweli Mwakyembe hapendwi na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya mzee Mwakasumi na mkuu wa Mkoa Mzee Mwakipesile lkn ana mtaji mkubwa sana wa wananchi walio nyuma yake,na itakuwa ndoto za abunawasi kwa Mwakalinga bila kuwa na strategies pana za kumuondoa Chief!

Ushauri wa Bure kwa Mwakalinga,afanye kampeni za kisasa,haya mambo ya kufuata mwongozo wa Mzee Mwakipesile na hata kuongozana na wapambe wa zamani wa Mwakipesile akina Andy Mwakang'ata na akina Biso hayawezi mfanya amuangushe Mwakyembe,na ataanguka vibaya mno asiporekebisha hali hii!

Mwakalinga kwa sasa anapaswa "awakamate wazee "kama akina Arthur Mwaitenda,Mzee Mwamunyange,General Mwamunyage,Shehe Mwafilango,Mzee Mwaikambo,Mzee Mwanjala,Mzee Ngalawa,askofu wa KKKT-Ipyana,Mzee Mwambogoja,Mzee Mwakalukwa,Mzee Mwakigonja na wazee wengine kote wilayani Kyela ambao wana nguvu sana kimaamuzi kwa vijana wao!

Halafu,Mwakalinga asipoteze muda kwenye kata na vijiji ambavyo hata afanye nini hawezi kumuangusha Mwakyembe,asiende kwenye kata ya Kajunjumele,kata ya Ngonga,vijiji vya Ikolo,kapwili,Ndandalo,na vijiji vya kando ya Matema,maana akienda huko ni kupoteza muda tu ambao anauhitaji kujiimarisha zaidi sehemu anayoungwa mkono au wanayochuana kwa karibu na Mwakyembe!

Na sidhani kama Mwakyembe atamkumbatia Kinanasi eti ndiye awe mpambe wake,kumbuka Samwel huyu Kinanasi hana mvuto wala nguvu ya yeyote kisiasa hapa Kyela,na elewa kuwa Mwakyembe ni hodari sana kwenye kupanga mashambulizi ya kushtukiza,au umesahahu mabomu aliyokuwa anamchapa nayo Mzee Mwakipesile mwaka 2005?

Mkuu Malafyale,
Kuna hawa madiwani wote hawamtaki huyu mheshimiwa
1.Diwani wa Ipinda, mh Bwana Chris
2.Diwani wa Kajunjumbel Mh Kwa Mjuni
3.Diwani wa Ktumba songwe
4.Diwani wa Lusungo Mh Mwaipaja
5.Diwani wa mjini-Mh maheng
6.Diwani wa Mwakibing- Ikama.
7.Diwani wa Ipande
wote hawamtaki.
Kuna wale viti maalum
1.Mh Mama mwakalukwa
2.Mh Zuhura
3.Mh mama Ipopo
4.Mh mama mapunda
5.Mh mama kanyanyila

Hizo ndizo dataz bwana malafyale.

Sisi tupo kinya tukisikilizia.Hiyo kinanasi ndiye anayemtumia sana.Ata mheshimiwa alipopta ajali yeye ndiye alikuwa getiman
 
Mwita,Hao madiwani walichaguliwa nanani?
Madiwani si ndiyo wenye watu au unafikiri wao wanateuliwa.

Mheshiwa amebaki na Kisungujila tu.

Kwani Mwakyembe hana watu? si alichaguliwa na watu kama walivyo madiwani? kama wote wamechaguliwa na watu hao hao, madiwani wao wanapata wapi madaraka ya kumng'oa mbunge?

diwani kama mtu binafsi kwa maslahi yake binafsi anaruhusiwa kutomuunga mkono mbunge, hilo sio suala la ajabu mbona mahali pengine hayo yanatokea na watu hatushangai, sasa nyie kyela madiwani kumpinga mbunge(ingawa si wote) mnaona ajabu?

Usisahau kwamba 2010 wote, wagombea udiwani na ubunge wanaenda kuomba kura kwa wananchi, sasa utuambie wataenda kuwadanganya wananchi kwamba walishindwa kuwaletea wananchi maendeleo kwenye kata zao kwa sababu ya Mwakyembe, halafu uone matokeo yake.
 
Huyu ni mhadisi Kilimo....amegeuka kuwa wa IT baada ya kwenda Poland? Degree BSc Agr Eng vipi wapiga debe?
 
In deed, Lowassa is striking back. I wonder whether the people of Kyela will be used and abused
 
Mkuu Malafyale,
Kuna hawa madiwani wote hawamtaki huyu mheshimiwa
1.Diwani wa Ipinda, mh Bwana Chris
2.Diwani wa Kajunjumbel Mh Kwa Mjuni
3.Diwani wa Ktumba songwe
4.Diwani wa Lusungo Mh Mwaipaja
5.Diwani wa mjini-Mh maheng
6.Diwani wa Mwakibing- Ikama.
7.Diwani wa Ipande
wote hawamtaki.
Kuna wale viti maalum
1.Mh Mama mwakalukwa
2.Mh Zuhura
3.Mh mama Ipopo
4.Mh mama mapunda
5.Mh mama kanyanyila

Hizo ndizo dataz bwana malafyale.

Sisi tupo kinya tukisikilizia.Hiyo kinanasi ndiye anayemtumia sana.Ata mheshimiwa alipopta ajali yeye ndiye alikuwa getiman

Nashukuru sana Samwel kwa data zako nzuri,lkn kati ya hao madiwani hamna hata mmoja atakayerudi kwa kufanikiwa kutetea kiti chake,wanajua kuwa 2010 wataangushwa na ndiyo ugomvi wao na Mwakyembe unapoanzia hapo!
Diwani Chris watu Ipinda hawampendi sasa na wanamchukia kwa sababu sio "mwenzao"na ipinda kwa ukabila hawajambo!,kura za maoni zinaonyesha kuwa diwani Chriss ataangshwa vibaya sana,na anajua haya na ndiyo maana sasa anakaza kweli kweli kwenye biashara yake ya ununuzi wa kakao,viyo hivyo kwa diwani wa Ikama hasa alipovurunda usimamizi wakati wa ujenzi wa daraja la Lufilyo;daraja ambalo litampa ushindi wa Mwakyembe kata zote 4 kusini mwa Ipinda kwa sababu ya kuwaondolea kero wakazi wa tarafa ya Ntebela!

Diwani Mujuni uzee unamzonga na hata ukimuona hivi sasa hawezi kabisa kuwaongoza watu wa Kajunjumele kwenye maendeleo,na akinga'anga'ania kugombea ni wazi mpinzani wake mkubwa kocha Oscar Korosso atamuondoa kwenye sanduku la kura!

Diwani kama mahenge na akina mama wa viti maalum hawa ni kufuata mkumbo,na usiwaamini hadi siku ya mwisho kupiga kura,kama unakumbuka vyema mwaka 2005 diwani Mwaisemba akiwa mwenyekiti wa Halmashauri akajiondoa ghafla kwenye kundi la Mwakipesile na kuja kwa Mwakyembe!

Diwani wa Katumba songwe ndiye diwani pekee mwenye msimamo wa kuamini kuwa Mwakalinga ni bora zaidi ya Mwakyembe,ha huyu wa Ikama mzee Mwakibinga na wa lusungo mzee Mwaipaja moto wa wapiga kura wao utawafanya wamuunge mkono Mwakyembe,na subiri mbio za mwenge zikifika Kyela utasiikia tamko la wananchi wa kata hizo 2 watawaambia nini madiwani wao kuhusu wagombea hawa 2!

Bytheway,Samweli kumbuka kuwa Kyela ina madiwani 22 wa kuchaguliwa,na zaidi ya nusu ya madiwani hao wanamuunga mkono Mzee Mwakyembe.
 
Mwakalinga kafulia, inakuaje anajiunga na mafisadi? Tatizo la siasa za kudandia gari kwa mbele bila kuuliza wenyeji. Mwakipesile kapoteza kabisa kukubalika kyela,yeye anaungana nae.

Ataaibika vibaya sana kama ataendelea na tactics zake za ukibaraka. Kama hajui amuulize yaliyomkuta Thom Apson mwang'onda alipogombea uNEC pale Mbeya na Mwandosya akiwa amepandikizwa na wana mtandao.

Kilichotokea ni kwamba watu walikuwa wanampa consideration ya ubunge mbeya mjini lakini after tha incidence watu hawataki hata kumsikia.

Sijui ni kwanini inakuwa ngumu hivi kujifunza.........
 
Mkuu Malafyale,
Kuna hawa madiwani wote hawamtaki huyu mheshimiwa
1.Diwani wa Ipinda, mh Bwana Chris
2.Diwani wa Kajunjumbel Mh Kwa Mjuni
3.Diwani wa Ktumba songwe
4.Diwani wa Lusungo Mh Mwaipaja
5.Diwani wa mjini-Mh maheng
6.Diwani wa Mwakibing- Ikama.
7.Diwani wa Ipande
wote hawamtaki.
Kuna wale viti maalum
1.Mh Mama mwakalukwa
2.Mh Zuhura
3.Mh mama Ipopo
4.Mh mama mapunda
5.Mh mama kanyanyila

Hizo ndizo dataz bwana malafyale.

Sisi tupo kinya tukisikilizia.Hiyo kinanasi ndiye anayemtumia sana.Ata mheshimiwa alipopta ajali yeye ndiye alikuwa getiman

Samweli,
Yote uliyosema hapo juu ndiyo ukimya??
Unaposema 'Sisi' tupo kimya.....!! wewe na nani mko kimya?
Nadhani ni vyema tukileta uchambuzi wa nini kifanyike na wana Kyela wana uwezo wa kuleta mapinduzi ya kifikra katika jamii ili wainuke kiuchumi wakitumia rasilimali zao za kilimo, uvuvi na biashara ya mpakani na wafaidi kazi za mikono yao.
Kyela kama wilaya nyingine zilivyo ina wasomi, wachambuzi wa fikra,wajenga hoja za msingi na viongozi wandamizi katika serikali zote zilizongoza nchi hii kabisa wanaweza jipanga vizuri na kupanga mikakati ya kimaendeleo na kuifanya kwa mfano Matema sehemu nzuri ya utalii,Kasumulu sehemu nzuri ya biashara ya mpakani kibiahara nk.nk.
Kama mmoja wapo atapata nafasi ya kuongoza Kyela akute hiyo MIKAKATI ipo atakachofanya ni kufuata na kutekeleza, hata tukikupa wewe 'Samweli' au 'Malafyale' kuongoza wilaya hatuwezi kubabaika kwanini kwasababu THE PLAN IS VISIBLE na ni utekelezaji tu!
Tufike mahali sasa Watanzania tubadilike,tusimtegemee mtu kuleta mabadiliko bali mtu awekwe katika nafasi anayoomba kufanya yale tuliyojipangia kama ndo Msingi wa kwenda mbele. USA ina endelea kwa sababu kuna mambo ya msingi yaliyowekwa tangu zamani kama dira ya Kiongozi yeyote awaye, haiwapi shida kumpa mtu nafasi anayoomba na haiwasumbui akishindwa anaondoka haijalishi ni mwongeaji au mkimya au mbunifu au mmbobeaji kinachotakiwa anaweza kutekeleza maono tuliyojipangia.
Mwakyembe au Mwakalinga au samweli au malafyale mnaweza kuongoza Kyela ila tupeni Mikakati yenu mtakavyotekeleza Mipango ya MAENDELEO.
Joune,
Ndikupasya Buno Malafyale anganile kangi Ambokile.
Ndaga.
 
Huyu ni mhadisi Kilimo....amegeuka kuwa wa IT baada ya kwenda Poland? Degree BSc Agr Eng vipi wapiga debe?

Masa,

Unaweza kupiga simu au kuandika email kwenye chuo chake na watakuambia alimaliza nini: http://www.pwr.wroc.pl/en_main.xml

2008-03-06Appreciated in Spain


We are pleased to inform that Wrocław University of Technology has won the highest place among Polish universities in the ranking of 4000 universities from all over the world (Webometrics Ranking of World's Universities), carried out by the largest Spanish research organization - Consejo Superior de Investigaciones Científicas (CSIC)*. >>>

Our university has been ranked 538. in the world. We must admit that, although it is the best result among Polish universities, it does not satisfy us. Our aim is to be ranked in the best 100 universities in the world, in the period of a few years.
The Webometrics ranking has a larger coverage and takes account of many more factors than other similar rankings, such as the Academic Ranking Of World Universities. It is not only focused on research results but also on other indicators which may reflect better the global quality of the scholar and research institutions worldwide. The indicators considered include the university Internet presence

More detail check here: http://www.webometrics.info/university_by_country.asp?country=pl
 
Masa,

Unaweza kupiga simu au kuandika email kwenye chuo chake na watakuambia alimaliza nini: http://www.pwr.wroc.pl/en_main.xml

Siko

Sitaki kuamini waalimu wako walipata shida kukuelesha vitu basic, nauliza hivi ( herufi kubwa kama Exaud Makyao) SUA ALIMALIZA LINI? MWAKA GANI ALIGRADUATE ILI TUFATILIE AMA ALIDISCO NA KUKIMBILIA POLAND? MHANDISI KILIMO NA MHANDISI IT & TELECOM
 
Wakuu,

Mimi ndio nimerejea leo kwenye makazi yangu baada ya kuwa kwenye safari nikiongozana na ndugu George Mwakalinga ambaye alienda kujitambulisha kule Kyela na kutangaza nia yake ya kuwania ubunge mwakani.

Kwa wiki nne sasa sijasoma JF ingawaje baadhi ya watu wamenisimulia mengi yanayoandikwa kuhusu Mwakalinga na wengine wakisema ni Mtanzania na wengine eti ni engineer.

Kama ilivyo JF watu tulio wengi hatutumii majina yetu; hivyo anayehangaika kujaribu kujua nani ni nani anapoteza muda wake tu.

Ni kweli mimi niliongozana na Mwakalinga ingawaje sitataja username yake ya JF wala siwezi kuwatajia jina langu kamili.

Nitaandika kwa kirefu baadaye baada ya kusoma maoni ya wengine juu ya jinsi safari ilivyokuwa mwanzo mpaka mwisho.

Ila tu ni muhimu wote mujue kwamba Mwakalinga hakufanya mazungumzo na gazeti lolote au chombo chochote cha habari. Habari zozote zilizoko magazetini zilikuwa na lengo la kufanya misinformation kwa sababu za kisiasa. Kuna waandishi ambao walimpigia simu kwa lengo hilo lakini alikataa na kusema siasa za Kyela zitazungumzwa Kyela. Baadhi yao wakaamua kuandika makala kwa kutumia habari za kuzitoa JF na zingine kupika.

Tumejionea mengi huko wilayani na wakati ukifika tutayaandika.

Tumeshauriana kwamba Mwakalinga kwasasa asihangaike na JF tena na nguvu yake yote aweke kule Kyela maana huko ndiko kuna wapiga kura. Pia hata mimi nikimaliza kuandika yaliyojiri basi ndio utakuwa mwisho wangu kujadili mambo ya Kyela hapa JF mpaka baada ya uchaguzi mwakani.

Hii ni kwasababu kuna watu werngi wameandaliwa makusudi kuingia JF na kuandika yote wawezayo ili kumpotezea muda Mwakalinga na sisi tunaomuunga mkono.

Ni hayo tu kwasasa, maana baada ya wiki nne kutokugusa kompyuta hata vidole vinauma nikiandika.
 
Wakuu,

Mimi ndio nimerejea leo kwenye makazi yangu baada ya kuwa kwenye safari nikiongozana na ndugu George Mwakalinga ambaye alienda kujitambulisha kule Kyela na kutangaza nia yake ya kuwania ubunge mwakani.

Karibu sana Mwakalinga! Hivi SUA ulimaliza ama hukupata maksi za kutosheleza kuwa warded BSc Agr Eng na kukimbilia Poland? You can not fool us all da time mazee
 
Back
Top Bottom