Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,879
- 7,620
Kuna ndugu zako wengine tarehe 10 wanaenda kulia vibaya sana
Niache 😁
Niache 😁
usipomtaka pia kazi anayo😀😀Nikimtaka pia sikwepeshi 😂😂
Nisipomtaka itategemea namuheshimu vipiusipomtaka pia kazi anayo😀😀
Huko shuleni ndiyo mnafundisha hivyo?Kabisa bro kama unakubali, kubali penzi lianze rasmi hapo hapo na na umuulize Jana alilala wapi.
Kama unakataa, kataa chap atafute mwingine chaaap Mungu ana watu wengi
Umemuona realMamy maeneo yapi leo? Ukimuona mwambie nina ujumbe wake.Habari zimewafikia! Ngoja waje..
Haya usiniwekee mduara mkubwa sasa nisje nikavunjika moyo na nakutaka haswaaa.Ndio
Apige dana dana kidogo tu kisha aje akubali isifike wiki moja, mambo ya kuwekana muda mrefu zaidi hatitakiHabari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..
Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?
Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Huyo mwanaume anao mwanamke hana bikra daah nawaonea huruma vijana ambao hawajaoaWakati wa bwana ukifika 😅
Ana kujali kwa sms na call hapo vipi?Mimi hakuna mahali nimeandika pesa 😅
Nimesema kujali tu
Hizo mi staki jamani 😛Ana kujali kwa sms na call hapo vipi?
Mkono mtupu.......Haya usiniwekee mduara mkubwa sasa nisje nikavunjika moyo na nakutaka haswaaa.
😝Umemtafuta huko ukamkosa?
Ndiyo beibi. Ila raraa reree kaniambia kanimbia mlikuwa wote.Umemtafuta huko ukamkosa?
Afadhali umekuja mwanangu.Niko hapa 😝
Kuonana ✅Ndiyo beibi. Ila raraa reree kaniambia kanimbia mlikuwa wote.
Afadhali umekuja mwanangu.
Nina mzigo wako kutoka nyumbani na nimeambiwa nikukabidhi wewe mwenyewe mkononi.
Sasa mwanangu unaweza kuja inbox mara moja ili nikukabidhi?
Halafu ni muhimu pia kuonana maana huwezi jua, huenda tukayajenga.
Sawa. Nitumie jina kamili na namba ya simu inbox.Kuonana ✅
Mzigo tuma haraka sana hapa Tanga mjini 🙂
Sawa.Sawa. Nitumie jina kamili na namba ya simu inbox.
Nitakutumia kupitia Bus la Tashrif
Asante