Kwenu wanawake wenzangu

Kwenu wanawake wenzangu

Kawaida mbona! Kwani mlizaliwa wote mpaka umsubiri yeye? Saa ingine kaenda kuaga mahusiano yake ya zamani ndio ahamaie kwako!
Subiri ni kufirie , siku hizi tunapotezea tu, mda mwingine unajiepusha na matatizo ambayo pesa haiwezi yatatua
 
Kwamba na huo uzee wako wote hujui wanawake wanataka nini? Unaiga hawa vijana wadogowadogo hata utamu wa naniliu hawajaujua vizuri🤣
Halafu upo busy unatusema tu ooh nakuchunguza, nakuangalia...kumbe huna unachochunguza, unataka kuona kama hiyo care inakujaje. Msipemde sana pesa wakuu, mtakutana na vitu vya ajabu.
 
Back
Top Bottom