Unataka niniHizo mi staki jamani 😛
Nitavunga mjukuu🫡Nitakukosea adabu ujue babu🤣
UnajuaUnataka nini
Huu mtego 😀Nitavunga mjukuu🫡
mi nadhani wanawake wanaowazungusha na kuwapiga danadana wanaume kuhusu mgegedo baada ya kutongozana, hua ni yale wanayodhani ni madhaifu ya kimaumbile waliyonayo.Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..
Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?
Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Tulikuwa wote wapi?Ndiyo beibi. Ila raraa reree kaniambia kanimbia mlikuwa wote.
Hivi kwanini kila unapoandika unaacha uharo tu? U high or smthng? U must be crazy smhmi nadhani wanawake wanaowazungusha na kuwapiga danadana wanaume kuhusu mgegedo baada ya kutongozana, hua ni yale wanayodhani ni madhaifu ya kimaumbile waliyonayo.
mathalani mbususu kubwa, tindi kushuka kama chapati, weusi na sugu kupindikia kwenye mbususu n.k mambo ambayo ni ya kawaida na hayaepukiki kwa mwanadamu.
sasa mwanamke huyo wa danadana anakua akijiuliza,
nikimpa na akiona niko hivi si ataacha hata kuninyandua? Na akiacha si ataenda kuwahadithia watu n.k
So, ntakwambia na na ahadi za kesho kesho zinakua nyingi kwasababu hiyo.
so,
hivyo ni vijiswali vidogo vidogo wanavyojiulizaga dhidi ya vitu vinavyowakosesha ujasiri kwenye miili yao, but at the end hata wao vichocheo vya mwili yaani homone zinawashinda na kuamua kujiachia tu, na hatimae kunyanduliwa.
na hao wasumbufu,
huwa mara nyingi wana mapungufu ya kweli kabisa yaani, mfano mbususu bwawa n.k🐒
ukweli ndivyo ulivyo, mchungu na unakera mno aise, pole dah 🐒Hivi kwanini kila unapoandika unaacha uharo tu? U high or smthng? U must be crazy smh
Tumia akili vizuri sio kila Kitu kinahitaji mihemko! Kama hujapumzika vizuri jana rudi ukalale!🚮ukweli ndivyo ulivyo, mchungu na unakera mno aise, pole dah 🐒
relax plz muerevu 🤣Tumia akili vizuri sio kila Kitu kinahitaji mihemko! Kama hujapumzika vizuri jana rudi ukalale!🚮
Ndio broHuko shuleni ndiyo mnafundisha hivyo?
Kinatekenya balaaaKwa kweli huyu niachie😅😅😅 ukiwa ovulation inakuwaje kwani.
Wajelajela ndo watu gani dada?Kuna vijitabia huwa havijifichi labda kama hujakutana na wajelajela wenzio mzee!
Wahuni/wa mjini mjini/ wajuaji😂Wajelajela ndo watu gani dada?
Hahahaha, hatari sana. Kumbe kuna namna mnajisikia kipindi hicho, ngoja nimuite ShesRise_1 akusome!!Kinatekenya balaaa
....yani kama kuna fukufuku huku chini.....si unawajua fukufuku? Vile vidudu vinachimba chini ukikiimbia na kupiga piga hapo pembeni kinatoka kinatembea kinyume nyume