Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,451
- 7,107
Binti ukijirahisisha utaonekana malaya
Ngoja aje atakuambia Evelyn SaltKwa kweli huyu niachie😅😅😅 ukiwa ovulation inakuwaje kwani.
Nataka jibu lako mjukuu, huenda Eve na wewe mna uzoefu tofauti.Ngoja aje atakuambia Evelyn Salt
na kweli😀😀blessed chiqqah realMamy kwa bahati mbaya siku hizi mwanaume ukikubali kuzungushwa kwa mda mrefu unajiweka kwenye nafasi ya kutumika kwenye maswala ya pesa, attention, & favors..(si unapenda bana) uhusiano unakua one sided, upande wa mdada unafaidika, huku mwanaume hapati chochote.
Saundisha mtu wiki 2 au 3 kama haeleweki chapa lapa, ndo ile mwishowe unazungushwa unakuja kukubaliwa sababu ya hela zako, au sababu wanaume aliowataka hawamtaki, mwanaume uliezungushwa unakua 2nd choice
😀😀😀ukimkubali anakukula na kukudumpUnaweza kumkubalia haraka kumbe alikuwa anakutania
nakubali mwanetuKabisa bro kama unakubali, kubali penzi lianze rasmi hapo hapo na na umuulize Jana alilala wapi.
Kama unakataa, kataa chap atafute mwingine chaaap Mungu ana watu wengi
Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..
Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?
Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Ni hunam nature, wazazi wetu mpaka kuwa wanandoa walipitia VETING ya standard za CIA, KGB, M16 na MOSSADHabari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..
Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?
Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Eee maana ukikubali hatasema kuwa alikuwa anatania😀😀😀ukimkubali anakukula na kukudump
Nitakukosea adabu ujue babu🤣Nataka jibu lako mjukuu, huenda Eve na wewe mna uzoefu tofauti.
🤣Bro wewe unapenda kuzungushwa au hupendi?
Wakumbushe pia ilo wanajitia ugumu tu jyfu ila hali na mienendo ndo iiiUnamzungusha halafu baadaye unampa sa umefanya nini?? Kuliwa ni kuliwa tu haijalishi umeliwa muda gani..!! 😹😹😹
Halafu siku hizi hatutongazani unaombwa namba mchana jioni unaambiwa “Babe jiandae jioni tunaenda dinner Cape Town”
Ikifika usiku tayari new couple in town 😹
Asubuhi unaamshwa utoe breakfast ya chai kitumbua..!!
🤣🤣🤣 Argentina 🔥Wakumbushe pia ilo wanajitia ugumu tu jyfu ila hali na mienendo ndo iii
Kuna muungwana kakunyima humu? 😹😹Wakumbushe pia ilo wanajitia ugumu tu jyfu ila hali na mienendo ndo iii
Nikimtaka pia sikwepeshi 😂😂😀😀😀😀😀mi sivungi sijui Evelyn Salt na Joanah
Hayana muongozomiezi 3 je
Acha kuchanganya nyuzi🤣🤣🤣 Argentina 🔥
Eeet ehh namtag sema nae ni miongoni wa waliotia kinyesi jangwani paleKuna muungwana kakunyima humu? 😹😹
Em mwambie akupe uchangamshe damu kitu chenyewe anachokunyima kina sura mbaya..!!
Niache 😁Acha kuchanganya nyuzi