Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,910
- 31,743
muda hautoshi 😀😀mambo ni mengiKutongoza ni siku moja tu bro, siku ya pili tunaenda kutafuta mtoto......
muda hautoshi 😀😀mambo ni mengiKutongoza ni siku moja tu bro, siku ya pili tunaenda kutafuta mtoto......
Sema now , hizi mambo za kutongozana ni kama hazipo kihivyo wengi wanagidana kimasihara masihara tuNdio lazima point zote zifanye kazi huwezi shikilia bango na watu wanatofautiana! Kuna kijana akikufuata hata huwazi mara mbili, kuna species nyingine inakubidi utafute merits kwanza ndio ukubali.. ndio tunaita kufikiria sisi😎
Ni upumbavu upoteze muda kutongozana wakati unajua kabisa lengo haswa ni lipi!Sema now , hizi mambo za kutongozana ni kama hazipo kihivyo wengi wanagidana kimasihara masihara tu
Sasa nakuelewa mkuu, kama chawa anaweza kutumwa kuleta ujumbe na domo zege mwenye pesa zake, kuchunguza tuweke pembeni, labda kuchunguza ana ukwasi kiasi gani😅Kabisa! Na hawa ndio tunaowataka! Mambo ya hawa wa jibu langu lini, the heck🚮
Inategemea tu atakuja vipi!Sasa nakuelewa mkuu, kama chawa anaweza kutumwa kuleta ujumbe na domo zege mwenye pesa zake, kuchunguza tuweke pembeni, labda kuchunguza ana ukwasi kiasi gani😅
Sawa mkuu! Noted kabisa😅Inategemea tu atakuja vipi!
Si unamuona huyu bwashe min mimi anavyotunyatia.Wanakujua?
We kimbia mbio zako basi mengine niachie mwenyewe!Si unamuona huyu bwashe min mimi anavyotunyatia.
Kama naye amekufa kwako si aseme tuuuu.
Mbona nimeisha kimbia muda, sasa hivi niko huku kwa raraa rereeWe kimbia mbio zako basi mengine niachie mwenyewe!
blessed chiqqah realMamy kwa bahati mbaya siku hizi mwanaume ukikubali kuzungushwa kwa mda mrefu unajiweka kwenye nafasi ya kutumika kwenye maswala ya pesa, attention, & favors..(si unapenda bana) uhusiano unakua one sided, upande wa mdada unafaidika, huku mwanaume hapati chochote.Habari ya sikukuu wana jf wote bila shaka mko salama leo mmetulia majumbani hadi raha..
Niende straight kwenu wanawake wenzangu hivi nini huwa sababu ya kumzungusha mwanaume anapokutongoza?
Yaani mtu amekupenda au amekutamani amekupa sera zake pengine umezielewa lakini kukubali mpaka upige danadana pengine mpaka miezi inakuaga kwa ajili ya nini haswa😀😀
je ndio haiba ya kike?
mnakua mnachunguza?
inaongeza hadhi au thamani?
inafanya mtu azidi kukupenda?
au ni mapozi tu?
Na nyie ndugu zangu wanaume kipi huwa bora kwenu
anaekubali au kukataa straight ama anaepiga danadana ?
Soon utaondolewa knyeo mdogo wangu!Mbona nimeisha kimbia muda, sasa hivi niko huku kwa raraa reree
Huyo mtu wa kuondoa kinyeo mwambie nimesema hiviiiii: kizuri ale na wenzakeSoon utaondolewa knyeo mdogo wangu!
Habari zimewafikia! Ngoja waje..Huyo mtu wa kuondoa kinyeo mwambie nimesema hiviiiii: kizuri ale na wenzake
Hii ndo sana tu 😅blessed chiqqah realMamy kwa bahati mbaya siku hizi mwanaume ukikubali kuzungushwa kwa mda mrefu unajiweka kwenye nafasi ya kutumika kwenye maswala ya pesa, attention, & favors..(si unapenda bana) uhusiano unakua one sided, upande wa mdada unafaidika, huku mwanaume hapati chochote.
Saundisha mtu wiki 2 au 3 kama haeleweki chapa lapa, ndo ile mwishowe unazungushwa unakuja kukubaliwa sababu ya hela zako, au sababu wanaume aliowataka hawamtaki, mwanaume uliezungushwa unakua 2nd choice
Kabisa bro kama unakubali, kubali penzi lianze rasmi hapo hapo na na umuulize Jana alilala wapi.muda hautoshi 😀😀mambo ni mengi
Bro mtu anaweza kukutongoza uko kwenye ovulation ujue.....Yani hii Nchi ina mambo mengi sana we kaa tu standbyMimi unaona nafanana na mtu wa kujizungusha bro
Mi kama nimekulewa safii sipendi issue za ku act act mambo yasio kuwepo😅
Mi naona watu wanachanganya kumkubari mtu na kuanza sex nae
Kusema nimekubari haina maana kesho mnaamkia gest jamani😅😅😅
Nakama Sijakuelewa pia pita hivi🫴
ERoni njoo uchukue mtu wako 🤣🤣🤣Bro mtu anaweza kukutongoza uko kwenye ovulation ujue.....Yani hii Nchi ina mambo mengi sana we kaa tu standby