Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Kuna siku mdada mmoja ndugu wa mme ananiambia "wifi naomba kesho uje kwangu unisaidie kukaa na watoto nitakua na shughuli fulani"
Kimoyo moyo nkajisemea qmaneenah, yani nimuache mme ndani, na mtoto pia nakuja kusaidia wifi kumwangalizia watoto shwain kabisa!!!!
Umekuwa yaya ghafla!!