Kwenu mawifi, wake wa kaka zetu

Kwenu mawifi, wake wa kaka zetu

Khaaa eti busy sijaolewa naenda kujifanyisha mikazi kwa wakwe, sijui napeleka zawadi seeeee. Na ninavyopenda kufanya kazi sasa hehe
huku mawifi wanakuchora tu..., maana wanajuaga kuwa kaka yao yuko wapi kwingine, we unavyojibidiisha wao wanakuenjoy kiana [emoji12] [emoji12]
 
Ha hanha mikono imejaa sugu af unasema We sio washing machine kaa ufue hapo sie tuangalie series wwnyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji134] [emoji134]
 
Kazi kujambia makochi tu na kutongoza hg...

Kila.hg unayeweka anaaga kwa harassment
Mi kwakweli napenda nyumbani kwangu niishi na watu wanaosaidia kazi, na hivi hg sina ukiona unaloweza kufanya fanya, ila kukaa muda wooote umenyooka kama una jipu hapana asee hata awe nani sitampenda
 
huku mawifi wanakuchora tu..., maana wanajuaga kuwa kaka yao yuko wapi kwingine, we unavyojibidiisha wao wanakuenjoy kiana [emoji12] [emoji12]
Haha yani unajipindaa kumbe wewe ni wifi wa 7, God forbid. Mwisho wa siku unakuja kuambiwa "kabila letu na la kwenu wakioana watoto wanakufaga, so hamtoweza kuoana". Ila zawadi zako walipokea tu as if wewe ni kabila lao
 
Unajikuta kuna majibu yanakujia kichwani unatamani umpe sema ndio vile tena inabidi tu umchekee kinafiki utafute nawe kisingizio. Kweli maisha bila unafiki hayaendi.
Hata kucheka sikucheka nikamwambia beba hao watoto walete kwangu, ila siwezi kuja mie, nilichukia
 
Haha yani unajipindaa kumbe wewe ni wifi wa 7, God forbid. Mwisho wa siku unakuja kuambiwa "kabila letu na la kwenu wakioana watoto wanakufaga, so hamtoweza kuoana". Ila zawadi zako walipokea tu as if wewe ni kabila lao
ndo hivo tena mambo ya compaign, ujifuze kukubali matokeo ukute kuna mwenzio alikuwa na bidii zaidi.

Ongeza bidii punguza jeuri [emoji4] [emoji4]
 
mkifika kwa mashemeji mnistue.., habari ya njemba ingine kuangalia makalio ya mke wangu anavyopita pita siyawezi kbsaaaa..., mi nashindwa kumsifia mke wangu vzr bana.....,
Zaidi pale nnapoukumbuka wimbo wa Manfongo

hiyo ya mawifi nyie endeleeni tu mnawezanaga wenyewe.
Ha ha ha ha ha ha ha
 
ndo hivo tena mambo ya compaign, ujifuze kukubali matokeo ukute kuna mwenzio alikuwa na bidii zaidi.

Ongeza bidii punguza jeuri [emoji4] [emoji4]
Kwa kweli namshukuru Mungu, muda wa kampeni sinaga kabisa. Mungu asiponipa Kibali kwenu basi tena, ila kujihangaisha kuimpress wakwe sijui mawifi sijajaaliwa mnyaki mie, labda ningekuwa nimezaliwa na huo moyo ningefanya teh .
 
Nyumban kwa blaza tenaa
Nyie angalieni tu maana akili zenu zitakuwa zimelingana mtu na kaka yake. Nitafanyaje sasa na ndio maji shayavulia nguo. Ila za shemeji sifui hata kwa bunduki.
 
Haha yani unajipindaa kumbe wewe ni wifi wa 7, God forbid. Mwisho wa siku unakuja kuambiwa "kabila letu na la kwenu wakioana watoto wanakufaga, so hamtoweza kuoana". Ila zawadi zako walipokea tu as if wewe ni kabila lao
Hivi hayo unayafanya kabla ya utambulisho rasmi(posa)!!!!!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom