Wifi yangu ni jembe sio la nchi hii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo uvivu wenu mmemfanya mwenzenu tractor!!
Ha ha ha nazichomekea kwenye nguo za blaza tuone sasa kama mtaziachaNyie angalieni tu maana akili zenu zitakuwa zimelingana mtu na kaka yake. Nitafanyaje sasa na ndio maji shayavulia nguo. Ila za shemeji sifui hata kwa bunduki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wifi yangu ni jembe sio la nchi hii
Yaani asipokuwepo si kwa simu mfululizo..... (hapo tunamuulizia......jamani mke wetu uko wapi??? Bila wewe huku maisha magumu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2])
Kwamba nguo za mume wangu sizijui!!! Usipozikuta jalalani zinaungua una bahati sanaaaa.Ha ha ha nazichomekea kwenye nguo za blaza tuone sasa kama mtaziacha
Eeh mabinti kwa viranga utatuweza sasa.Hivi hayo unayafanya kabla ya utambulisho rasmi(posa)!!!!!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hawajielewagi haoYaani uache mji wako ukakae na watoto wa wifi!! Ye yuko busy na shughuli!! Hakuona hata chembe ya uduwanzi ktk hilo!!!
Ha ha ha ha unamjua blaza unamsikia enhee nenda kazichome sasa uone shuhul yake don't ever try to cross that lineKwamba nguo za mume wangu sizijui!!! Usipozikuta jalalani zinaungua una bahati sanaaaa.
HahahahahaMi kwakweli napenda nyumbani kwangu niishi na watu wanaosaidia kazi, na hivi hg sina ukiona unaloweza kufanya fanya, ila kukaa muda wooote umenyooka kama una jipu hapana asee hata awe nani sitampenda
Wifi deal na ndoa yako yangu haikuhusu, ma mkwe nampenda sana tu make bila yeye nisingepata mume.....
Kuishi kwa kuigiza siwezi wifi kwa hilo nisamehe bure kwangu naamka saa mbili kwanini nije ukweni niigize kuamka sa kumi alfajiri, nipigwe baridi weee mwisho nipate ngiri hapana asee!
Yaan watu ni wabaya sana mnamsifia mtoto wa watu wakati anaumia, basi hata kwetu kuna wifi yangu mmoja ni jembe balaah akikosekana kama kuna shughuli wanamtafuta hatari sasa akija namvutia chumbani namwambia acha ujinga mmeolewa mpo sita kisa cha kujitesa ni nini na wakati wenzio wapo embu pumzisha mwili na wengine wafanye kazi anasema poa lakini akitokea kakaako unitetee maana hapa kwa wakwe zangu dakika chache ntatiwa dosari, nikamwambia dosari lazima ziwepo hata uwe mzuri vipi hata ufie kwenye kazi watasema marehemu nae alizidi kiherehere na kujipendekeza juu [emoji28][emoji28]Wifi yangu ni jembe sio la nchi hii
Yaani asipokuwepo si kwa simu mfululizo..... (hapo tunamuulizia......jamani mke wetu uko wapi??? Bila wewe huku maisha magumu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2])
Ulishawahi ona mgombea anaomba tena kura baada ya uchaguzi? Subiri ukafanye hivyo utakakoolewa.
Baada ya ndoa majukumu yake kwa familia yake yanaanza kwahiyo anakuwa anachoka, akija kwenu kaja likizo jamani sio mumgeuze house girl ebo!!! Hebu mumpetipeti wifi yenu sio kumtumikisha aamke saa10 yeye kuku?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizo habari za kuniamsha saa10 hapana jamani, nitaamka muda wangu wa kawaida na nitafanya shughuli kwa nafasi, sio mawifi wamenyoosha miguu mie busy kutoka jasho. Wakinyoosha tunanyoosha wote tusogoe vizuri[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Vita vya mawifi havijawahi kumuacha mke salamaTeh!, vigego. Hii vita ya mawifi si mchezo, manake hapa ni sisi wenyewe kwa wenyewe.
Kazi inakuja kutokana na historia yetu tulivyozoea kuwa karibu karibu sana kiundugu.
Lakini mwisho wa siku mnapotaka kuendeleza ukaribu mnakosa mipaka pale ambapo kila mmoja anapotakiwa aishi maisha yake.
Kwakweli hicho ni kiranga.Eeh mabinti kwa viranga utatuweza sasa.
Namjua ndio maana nitakuwa na guts za kufanya hivyo, sikuolewa na ndezi ujue!!!Ha ha ha ha unamjua blaza unamsikia enhee nenda kazichome sasa uone shuhul yake don't ever try to cross that line
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha
Unakuta shemeji hata sahani aliyolia hatoi
Kama kapogwa superglue kwa kochi
Pembeni unakuta kikombe cha asubuhi cha chai na sahani ya asubuhi mchana na usiku
Bila kusahau glasi za maji na juicy[emoji15] [emoji15] [emoji15]