Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,950
- 183,448
Unaongea na mimi au na simu jirani?He he he kumbe umeolewa?
Unaongea na mimi au na simu jirani?He he he kumbe umeolewa?
Tukimaliza tunahamia kwenu mashemeji mnaonyoosha tu miguu kwa kaka zenu mkitazama tv hata majani nje hamlimii[emoji12] [emoji12]Humu Leo mbombo ngafu shamba la bwana heri mbuz wa bwana heri
Ushasema kabla ya kuolewa, sasa baada ya kuolewa si majukumu yanaongezeka niache mji na familia nije Kufua ukweni.....Tatizo nyie mawifi zetu...
Kabla hamjaolewa...mnakuja tunawafahamu
Mnaonyesha upendo kumbe wa uongo
Mnafua
Mnapika
Mnashiriki kazi kupita kiasi
Mnamhudumia mama mkwe hadi anakuombea heri
Mkiolewa mnageuka miba
Kwa nini baadhi yenu ni miba kwenye familia mnazowakuta???
Hatuwakatazi kuvaa kunywa ni nyumba yako na mumeo
Tunahitaji ule upendo wa mwanzo uendelee
Baadhi yenu mnaingia kwenye familia kwa kujihami na attitudes
Vibaya hivyo
Simu yenyewe haina vocha nahis najiongelesha tu hapaUnaongea na mimi au na simu jirani?
Tulime sie mashamba boy?Tukimaliza tunahamia kwenu mashemeji mnaonyoosha tu miguu kwa kaka zenu mkitazama tv hata majani nje hamlimii[emoji12] [emoji12]
Shukuru tu ni mashemeji wasomi, hujawahi ona mashemeji wanaoshinda vimguu juu kama mshikio wa ndoo huku yupo Facebook? Jua linachomoza na kuzama kazi ni kula na kuchat anatamani hadi boxa zake ufue as if nae anakupanda????Nashukuru sina mawifi, mamaangu mkwe alizaa madume tupu. Yaan mashemeji wana raha nyie acheni tu, tena usipate wasomi mbona ndoa itaiona tamu
Yote hiyo kisa uwaridhishe mawifi seriously!!! Labda kama wooote walemavu.Ushasema kabla ya kuolewa, sasa baada ya kuolewa si majukumu yanaongezeka niache mji na familia nije Kufua ukweni.....
Afu mlivo na zereu sasa kusaidiwa kazi mnamuona mtu kama house girl, kuna binti mmoja dah huwezi jua kama ni mkwe yule yani ukimuona unajua ni house girl ukweni kwake, ndo mnavopendaga hivo
Ha ha ha nakuombea usipate shemeji mzoga lolHalafu unaachaje kutafuta maisha yako,ukitegemea mtu mmoja awatoe umasikini au akusaidie na weww umekaa tu,anaetafuta anangalia watoto wake na uzee wake.
Hatulogwi ila tunaangalia utaokuwa uzee wetu.
Jukumu lipo kwa wazazi wasiojipanga tu,kwakuwa hawana nguvu.
Akina dada na wao wakachague wanaume wanaowafaa,siyo mizoga halafu shida tupate kina KAKA.
Jirani kweli vita ya mawifi haijawahi kumuacha mtu salama.Simu yenyewe haina vocha nahis najiongelesha tu hapa
Ndio utajua sasa! mnavyotakaga mfuliwe kwani sie washing machine?Tulime sie mashamba boy?
HahahahahaaaaTukimaliza tunahamia kwenu mashemeji mnaonyoosha tu miguu kwa kaka zenu mkitazama tv hata majani nje hamlimii[emoji12] [emoji12]
Ha ha ha kama utamkuta Sawa sjajua unampelekea wifi yako yupi tena jiranJirani kweli vita ya mawifi haijawahi kumuacha mtu salama.
Nikitoka hapa naleta nguo zangu wifi anifulie.
Kuna siku mdada mmoja ndugu wa mme ananiambia "wifi naomba kesho uje kwangu unisaidie kukaa na watoto nitakua na shughuli fulani"Yote hiyo kisa uwaridhishe mawifi seriously!!! Labda kama wooote walemavu.
Sawa kabisa, haki sawa kwa kila binadam. Tena waache ujinga wao hakuna aliyeolewa na familia, tukilala tulale wote kazi tufanye wote alaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hizo habari za kuniamsha saa10 hapana jamani, nitaamka muda wangu wa kawaida na nitafanya shughuli kwa nafasi, sio mawifi wamenyoosha miguu mie busy kutoka jasho. Wakinyoosha tunanyoosha wote tusogoe vizuri[emoji85] [emoji85] [emoji85]
ShhhhhhsssshhhUshasema kabla ya kuolewa, sasa baada ya kuolewa si majukumu yanaongezeka niache mji na familia nije Kufua ukweni.....
Afu mlivo na zereu sasa kusaidiwa kazi mnamuona mtu kama house girl, kuna binti mmoja dah huwezi jua kama ni mkwe yule yani ukimuona unajua ni house girl ukweni kwake, ndo mnavopendaga hivo
Ha hanha mikono imejaa sugu af unasema We sio washing machine kaa ufue hapo sie tuangalie series wwnyeweNdio utajua sasa! mnavyotakaga mfuliwe kwani sie washing machine?
Kazi kujambia makochi tu na kutongoza hg...Shukuru tu ni mashemeji wasomi, hujawahi ona mashemeji wanaoshinda vimguu juu kama mshikio wa ndoo huku yupo Facebook? Jua linachomoza na kuzama kazi ni kula na kuchat anatamani hadi boxa zake ufue as if nae anakupanda????
Yule skeleton ana mdomo sana simpelekei, nampelekea yule kibonge maana hanaga hiyana kabisa.Ha ha ha kama utamkuta Sawa sjajua unampelekea wifi yako yupi tena jiran
Ha ha ha ha ha hadi unajiuliza hivi huyu shemeji ana mimba au?? Make anangoja kula tuTukimaliza tunahamia kwenu mashemeji mnaonyoosha tu miguu kwa kaka zenu mkitazama tv hata majani nje hamlimii[emoji12] [emoji12]