Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,934
Ni majanga juu ya majangaKuna Familia ipo hivi lol ha ha ha yani hata mwenye mji ukimuuliza huyu ni ndugu mtoto wa nani anasema mi sijui mtoto wa nani ila namuita tu shemeji nilicheka jamani
Ni majanga juu ya majangaKuna Familia ipo hivi lol ha ha ha yani hata mwenye mji ukimuuliza huyu ni ndugu mtoto wa nani anasema mi sijui mtoto wa nani ila namuita tu shemeji nilicheka jamani
Na kweli akili zetu fupi mtu anabana utazani ataolewa yeyeHakuna cha ulozi wala uchawi akili zetu wa Africa ndio fupi ujue (most of Africans) sio wote.
Nimecheka tu kama mazuriKuna Familia ipo hivi lol ha ha ha yani hata mwenye mji ukimuuliza huyu ni ndugu mtoto wa nani anasema mi sijui mtoto wa nani ila namuita tu shemeji nilicheka jamani
Haswaaa unakuta mawifi wengine vichomi japo sio wote. Anataka kaka mtu amtimizie mahitaji yote kama alivyokua single bila kujali kwamba ss naye anafamilia inamtegemeaMawifi wengi ( ndugu upande wa wanaume) wanaboa.
Unakuta wifi anataka anyenyekewe kama vile yeye ndiyo Mume.
Pia kumridhisha binadamu ni kazi sana maana mazuri 1000 hufutwa na baya moja.
Nyie hamjui kaka yenu akishaoa majukumu yanaongezeka? Mnataka mchote tuu hela tusiwe na maendeleo ? Mwishowe mseme mwanamke nuksi?
Binafsi mawifi huwa nawachukulia watu wa kawaida sana.
Ni kutojitambuaHaswaaa unakuta mawifi wengine vichomi japo sio wote. Anataka kaka mtu amtimizie mahitaji yote kama alivyokua single bila kujali kwamba ss naye anafamilia inamtegemea