Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Ni kukosa ufahamu tu na hayaMie siingilii ndoa ya kaka zangu, na mtu asiniingilie kwenye yangu.
Ni kukosa ufahamu tu na hayaMie siingilii ndoa ya kaka zangu, na mtu asiniingilie kwenye yangu.
Yaan wangejua ni kwa kiasi gani tunavyofight kulinda ndoa zetu angalau tupate amani furaha na upendo japo kwa asilimia sabini tuu wasingejishaua kutaka kutuelekeza yakufanya, jamani mawifi zangu naomba niwaeleze ukweli hakuna kitu kinauma kama mume kwahiyo naomba msiingilie ndoa yangu kwakuitia dosari tuachani tuishi tupendavyo na sio tuishi nyie mtakavyo.Mie siingilii ndoa ya kaka zangu, na mtu asiniingilie kwenye yangu.
Mbona wewe dada zako na Kaka zako hawawi wa kupita??Kakako akio jua Wifi wewe ni mtu wa kupita tu maana nawe ujiandae kua na mji wako badala ya kukaa na kubinyana mapaja na kakako kwenye kochi kwa mbanano, mawifi mtulie muache meno ya Mbele kung'ata ng'ata ndoa za kaka zenu maana ufanyalo nawe utafanyiwa muda wako ukifika!! Ninachoshukuru wifi yangu ni kigego
Tatizo lako unaishi kwa shemeji yako ndio maana huelewi somo!! Hakuna anayekataa kuombwa au kuomba msaada ila isiwe ndio sababu ya kumpanda kichwani mke wa kaka yakoMbona wewe dada zako na Kaka zako hawawi wa kupita??
Wanawake mmeumbiwa roho mbaya tu na ubinafsi.
Ndugu zangu wakiomba, ooh tutachelewa maendeleo Ila ndugu zako wakiomba haina Shida.
Lililoongelewa hapo juu Ndio ukweli wenyewe bahati mbaya hata wale wanaolalamika kuhusu Kaka yao nao wanafanya hivyo huko walikoolewa.
Huwa Wana bahati mbaya zaidi wale wanaozaa watoto wa kiume tu.
Ni hasara tupu
Ha haa sawa mama mawifi tumekusikiaYaan wangejua ni kwa kiasi gani tunavyofight kulinda ndoa zetu angalau tupate amani furaha na upendo japo kwa asilimia sabini tuu wasingejishaua kutaka kutuelekeza yakufanya, jamani mawifi zangu naomba niwaeleze ukweli hakuna kitu kinauma kama mume kwahiyo naomba msiingilie ndoa yangu kwakuitia dosari tuachani tuishi tupendavyo na sio tuishi nyie mtakavyo.
Ushauri wa bure
Jitahidini muolewe na nyie muonje tamu na chungu, ndoa sio lelemama tusichukuliane poa.
Kisha anainua pmb kwenda kulala, afu mtu wa hivi uishi nae umpende.....sijui unampendea niniHahahahaha
Unakuta shemeji hata sahani aliyolia hatoi
Kama kapogwa superglue kwa kochi
Pembeni unakuta kikombe cha asubuhi cha chai na sahani ya asubuhi mchana na usiku
Bila kusahau glasi za maji na juicy[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Asanteh wifi kwa usikivu wako,Ha haa sawa mama mawifi tumekusikia
[emoji28][emoji28][emoji28]Kisha anainua pmb kwenda kulala, afu mtu wa hivi uishi nae umpende.....sijui unampendea nini
Basi tu chokochoko ili uongee aone una roho mbayaHuyo si bure ana lake jambo kwanini asiombe awalete watoto kwangu akapuyange huko kisha awafuate mie ujinga huo sina
Evelyn Salt ndugu nimekumis mpaka nahisi kuumwaBasi tu chokochoko ili uongee aone una roho mbaya
Shemeji ulienda wapi? Ukapotea ghaflaEvelyn Salt ndugu nimekumis mpaka nahisi kuumwa
Dah, unaponiita shemeji nahisi kuumwa!! Nipo ila majukumu yanabana, ntakuja huko kwenu siku si nyingi Nina ka safari ka kwenda Nai!!! NtakutafutaShemeji ulienda wapi? Ukapotea ghafla