Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 30,009
Namjua ndio maana nitakuwa na guts za kufanya hivyo, sikuolewa na ndezi ujue!!!
Ushawah kuona ndez anafuga binadamu binadamu ndio anafuga ndezi
Namjua ndio maana nitakuwa na guts za kufanya hivyo, sikuolewa na ndezi ujue!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha mbona walioleta mashtaka wameingia mitini. Maza houses mmebhaeleza khaa
Vita vya mawifi havijawahi kumuacha mke salama
Safi sana, sifa za kijinga hapana kwakweli.Yaan watu ni wabaya sana mnamsifia mtoto wa watu wakati anaumia, basi hata kwetu kuna wifi yangu mmoja ni jembe balaah akikosekana kama kuna shughuli wanamtafuta hatari sasa akija namvutia chumbani namwambia acha ujinga mmeolewa mpo sita kisa cha kujitesa ni nini na wakati wenzio wapo embu pumzisha mwili na wengine wafanye kazi anasema poa lakini akitokea kakaako unitetee maana hapa kwa wakwe zangu dakika chache ntatiwa dosari, nikamwambia dosari lazima ziwepo hata uwe mzuri vipi hata ufie kwenye kazi watasema marehemu nae alizidi kiherehere na kujipendekeza juu [emoji28][emoji28]
Kiruuuuuuu!! Mke bora kwani wao ndio wamenioa. Kwangu nitajituma kwakweli. Huko ukweni tujitume wote, tena ikibidi mie mgeni nitulie tu mawifi wanispoil jamani khaaah!!!Hehe, kwa kweli, kwani umekuwa kuku wa kuamka saa 10.
Halafu kufanya haya eti ndo uonekane mke bora.
Oooh!! Basi wewe shemeji ndio utakuwa ndezi tunakufuga, ila not to that extent!! Ufugaji wowote lazima uwe na faida.Ushawah kuona ndez anafuga binadamu binadamu ndio anafuga ndezi
Kiruuuuuuu!! Mke bora kwani wao ndio wamenioa. Kwangu nitajituma kwakweli. Huko ukweni tujitume wote, tena ikibidi mie mgeni nitulie tu mawifi wanispoil jamani khaaah!!!
Oooh!! Basi wewe shemeji ndio utakuwa ndezi tunakufuga, ila not to that extent!! Ufugaji wowote lazima uwe na faida.
Mimi nawaalika mawifi wooote walioshindikana waje kunitembelea kama alikuwa ananiambia wifi za sahizi mpaka siku ya kuondoka ataniambia wifi shikamoo sitaki ujinga atanyooka kulingana na rules and procedures atakazo zikuta nyumbani kwangu. MAWIFI MPOOOOO? Mimi ndio wifi yenu mke wa kakayenu.Vita vya mawifi havijawahi kumuacha mke salama
Hehehe jamani mawifi mmepata salamu zenu kutoka kwa maza house... nawaona nawaonaMimi nawaalika mawifi wooote walioshindikana waje kunitembelea kama alikuwa ananiambia wifi za sahizi mpaka siku ya kuondoka ataniambia wifi shikamoo sitaki ujinga atanyooka kulingana na rules and procedures atakazo zikuta nyumbani kwangu. MAWIFI MPOOOOO? Mimi ndio wifi yenu mke wa kakayenu.
HahaaaaYaan watu ni wabaya sana mnamsifia mtoto wa watu wakati anaumia, basi hata kwetu kuna wifi yangu mmoja ni jembe balaah akikosekana kama kuna shughuli wanamtafuta hatari sasa akija namvutia chumbani namwambia acha ujinga mmeolewa mpo sita kisa cha kujitesa ni nini na wakati wenzio wapo embu pumzisha mwili na wengine wafanye kazi anasema poa lakini akitokea kakaako unitetee maana hapa kwa wakwe zangu dakika chache ntatiwa dosari, nikamwambia dosari lazima ziwepo hata uwe mzuri vipi hata ufie kwenye kazi watasema marehemu nae alizidi kiherehere na kujipendekeza juu [emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28]Haha mbona walioleta mashtaka wameingia mitini. Maza houses mmebhaeleza khaa
Hahaha madada mupoooooo[emoji28][emoji28][emoji28]
Na watukome hatujaolewa na familia zao, sisi niwake wa kakazao heshima itawale watulize viherehere manyumbani kwao wasubirie wapate ndoa zao wasitupangie chakufanya.
Ukifanya pia watasema unajipendekeza kwa kujifanya unajua sana kazi, binadamu tuna jema sasa!!Halafu mie mbona naona ajabu!
Hivi kwa nini ukafanye kazi za kufa mtu kwenye nyumba isiyo yako? Sikatai kusaidia lakini sio kujitesa halafu kama umeenda kusalimia tu.
Hapana, umesema anaefugwa ndie ndezi. Kwahiyo wewe ndio ndezi.Ha ha ha kama mie ndez bas mumeo ndez kubwa kubwaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi nawaalika mawifi wooote walioshindikana waje kunitembelea kama alikuwa ananiambia wifi za sahizi mpaka siku ya kuondoka ataniambia wifi shikamoo sitaki ujinga atanyooka kulingana na rules and procedures atakazo zikuta nyumbani kwangu. MAWIFI MPOOOOO? Mimi ndio wifi yenu mke wa kakayenu.
Ukifanya pia watasema unajioendekeza kwa kujifanya unajua sana kazi, binadamu tuna jema sasa!!
Wamekimbia, watakuwa wanajadiliana mawifi walivyo pasua kichwa!!Hahaha madada mupoooooo
Wapo ila kama nawaona wanavyopita kimya kimya wanasoma comments huku wamebinua midomo [emoji57][emoji57],na kwa taarifa yenu mtukome msijitie donda ndugu kwa familia zisizowahusu, wake wa kakazenu tunawapenda lakini tumewachoka kwa chokochoko zenu tunaogopa kuwaambia live lakini hapa tutasema, yaan unakutana na wifi kizabizabina hatari matokeo yake wakati wa tendo la ndoa na mume wangu badala niliskilizie utamu eti namfikiria wifi matokeo yake mume wangu anaishia kunibaka tuu loooh tumechoka jamani mtupumzishe watoto wa wanawake wenzenu.Hahaha madada mupoooooo