Madhehebu ya dini wahurumieni waumini wenu

Hypersonic

JF-Expert Member
Apr 14, 2012
612
1,131
Wanabodi, Asalaam Aleikhum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, Shalom.

Ama baada ya salaam nilejee kwenye mada yangu ya siku ya leo ambayo msingi wake nikuongelea hizi zinazoitwa shule za madhehebu mbalimbali ya dini hususani Wakristo.

Tuwapo makanisani tumekuwa na michango na harambeee nyingi sana kuchangia miradi mbalimbali inayoendeshwa na makanisa yetu, kama vile ujenzi wa shule, vyuo na hospitali.

Mimi huyu huyu muumini unakuta natoa kwa moyo wa dhati kabisa kufanikisha miradi husika lakini wakati huo nikitoa asilimia 20 ya pato ghafi kama zaka na sadaka, baada ya hili nitatakiwa kuchangia ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kuanzishwa mtaa wa jirani, nitatakiwa kuchangia ujenzi wa shule ya kanisa ambayo itaendeshwa kwa mchepuo wa kiingereza maarufu kama English media na shule ya sekondari.

Kibembe kinaanza pale shule inapokuwa imekamilika mimi nilie changia ujenzi sina uwezo wa kumudu kulipia ada inayotakiwa, matokeo mwanangu au wanangu watasoma Kayumba bila kujali kama mimi nilishiriki kujenga hiyo shule kwa mali zangu.

Na endapo nitamudu kulipa ada lakini kwa bahati mbaya ikatokea kipato kimeteteleka kidogo iwe kwa sababu zozote zile ikiwemo ugonjwa shule zimekuwa hazina subira wala msaada kwa mtoto zaidi ya kumtimua shule.

Nina ushahidi ambapo katika shule flani ya dhehebu ambalo sitaki kulitaja mzazi mwenzetu alipata ajali siku anatoka kumpeleka mtoto wake shule na akawa amefariki, term iliyofuata mtoto yule aliyefiwa na mzazi akasimamishwa shule kwa sababu ya ada bila kujali alikuwa anakaribia kufanya mtihani wa mwisho.

Hivo kupitia group la wazazi tukalazimika kuchanga ili angalau huyu mtoto amalizie pale alipoachia babake. Yumkini mtu huyu michango yake imefanya mambo makubwa sana kuimarisha taasisi.

Jambo lingine hizi shule zimekuwa na michango mingi mingi ili tu kutunisha mifuko, shule ya private nimelipa tution fee, bado unakuja na ngojera za remedial, mara taaluma, yaani wanabadilisha terminology ili hali kitu kile kile.

Ukiachana na hilo kuna suala la usafiri kwenda na kutoka shule wakati wa likizo, shule inaweka mashariti kuwa mtoto akitumia usafiri wa binafsi hatopokelewa shuleni, wakati wa likizo wengine tunawaruhusu watoto kutembelea babu zao.

Imagine mtoto anasoma Arusha au Moshi na bibi au babu yuko huko. Mzazi niko Dar au Mwanza kwamba lazima mtoto arudi tena kwenye domicile ili tu kupanda basi lilokodiwa na shule. UJINGA MTUPU.

ADA Unakuta ada ni shilingi milioni mbili laki saba, mhura wa kwanza ni milioni moja na laki tatu hamsini, nimeweza kulipa milioni moja na laki 2 imebaki tu laki moja na nusu mtoto anazuiwa kupanda basi la shule kwa sababu tu ya shilingi laki moja na nusu ili hali ndo kwaanza JANUARY.

Hawa ma headmaster wako serious kweli? Na wakati huo wengi wa Headmasters na Headministress kwa hizi shule ni ama wachungaji, Padri ama masista. Hebu acheni hizi roho za kishetani wapendwa.

Mtanisamehe kwa lugha niliyotumia, sina lugha nyingine zaidi ya hii kwa sababu nimevumilia hadi mwisho.
 
Wanabodi, Asalaam Aleikhum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, Shalom.
Ama baada ya salaam nilejee kwenye mada yangu ya siku ya leo ambayo msingi wake nikuongelea hizi zinazoitwa shule za madhehebu mbalimbali ya dini hususani Wakristo. Tuwapo makanisani tumekuwa na michango na harambeee nyingi sana kuchangia miradi mbalimbali inayoendeshwa na makanisa yetu, kama vile ujenzi wa shule, vyuo na hospitali.

Mimi huyu huyu muumini unakuta natoa kwa moyo wa dhati kabisa kufanikisha miradi husika lakini wakati huo nikitoa asilimia 20 ya pato ghafi kama zaka na sadaka, baada ya hili nitatakiwa kuchangia ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kuanzishwa mtaa wa jirani, nitatakiwa kuchangia ujenzi wa shule ya kanisa ambayo itaendeshwa kwa mchepuo wa kiingereza maarufu kama English media na shule ya sekondari.

Kibembe kinaanza pale shule inapokuwa imekamilika mimi nilie changia ujenzi sina uwezo wa kumudu kulipia ada inayotakiwa, matokeo mwanangu au wanangu watasoma Kayumba bila kujali kama mimi nilishiriki kujenga hiyo shule kwa mali zangu. Na endapo nitamudu kulipa ada lakini kwa bahati mbaya ikatokea kipato kimeteteleka kidogo iwe kwa sababu zozote zile ikiwemo ugonjwa shule zimekuwa hazina subira wala msaada kwa mtoto zaidi ya kumtimua shule. Nina ushahidi ambapo katika shule flani ya dhehebu ambalo sitaki kulitaja mzazi mwenzetu alipata ajali siku anatoka kumpeleka mtoto wake shule na akawa amefariki, term iliyofuata mtoto yule aliyefiwa na mzazi akasimamishwa shule kwa sababu ya ada bila kujali alikuwa anakaribia kufanya mtihani wa mwisho. Hivo kupitia group la wazazi tukalazimika kuchanga ili angalau huyu mtoto amalizie pale alipoachia babake. Yumkini mtu huyu michango yake imefanya mambo makubwa sana kuimarisha taasisi.

Jambo lingine hizi shule zimekuwa na michango mingi mingi ili tu kutunisha mifuko, shule ya private nimelipa tution fee, bado unakuja na ngojera za remedial, mara taaluma, yaani wanabadilisha terminology ili hali kitu kile kile.

Ukiachana na hilo kuna suala la usafiri kwenda na kutoka shule wakati wa likizo, shule inaweka mashariti kuwa mtoto akitumia usafiri wa binafsi hatopokelewa shuleni, wakati wa likizo wengine tunawaruhusu watoto kutembelea babu zao. Imagine mtoto anasoma Arusha au Moshi na bibi au babu yuko huko. Mzazi niko Dar au Mwanza kwamba lazima mtoto arudi tena kwenye domicile ili tu kupanda basi lilokodiwa na shule. UJINGA MTUPU.

ADA Unakuta ada ni shilingi milioni mbili laki saba, mhura wa kwanza ni milioni moja na laki tatu hamsini, nimeweza kulipa milioni moja na laki 2 imebaki tu laki moja na nusu mtoto anazuiwa kupanda basi la shule kwa sababu tu ya shilingi laki moja na nusu ili hali ndo kwaanza JANUARY. Hawa ma headmaster wako serious kweli? Na wakati huo wengi wa Headmasters na Headministress kwa hizi shule ni ama wachungaji, Padri ama masista. Hebu acheni hizi roho za kishetani wapendwa.

Mtanisamehe kwa lugha niliyotumia, sina lugha nyingine zaidi ya hii kwa sababu nimevumilia hadi mwish
 
Wanabodi, Asalaam Aleikhum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, Shalom.
Ama baada ya salaam nilejee kwenye mada yangu ya siku ya leo ambayo msingi wake nikuongelea hizi zinazoitwa shule za madhehebu mbalimbali ya dini hususani Wakristo. Tuwapo makanisani tumekuwa na michango na harambeee nyingi sana kuchangia miradi mbalimbali inayoendeshwa na makanisa yetu, kama vile ujenzi wa shule, vyuo na hospitali.

Mimi huyu huyu muumini unakuta natoa kwa moyo wa dhati kabisa kufanikisha miradi husika lakini wakati huo nikitoa asilimia 20 ya pato ghafi kama zaka na sadaka, baada ya hili nitatakiwa kuchangia ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kuanzishwa mtaa wa jirani, nitatakiwa kuchangia ujenzi wa shule ya kanisa ambayo itaendeshwa kwa mchepuo wa kiingereza maarufu kama English media na shule ya sekondari.

Kibembe kinaanza pale shule inapokuwa imekamilika mimi nilie changia ujenzi sina uwezo wa kumudu kulipia ada inayotakiwa, matokeo mwanangu au wanangu watasoma Kayumba bila kujali kama mimi nilishiriki kujenga hiyo shule kwa mali zangu. Na endapo nitamudu kulipa ada lakini kwa bahati mbaya ikatokea kipato kimeteteleka kidogo iwe kwa sababu zozote zile ikiwemo ugonjwa shule zimekuwa hazina subira wala msaada kwa mtoto zaidi ya kumtimua shule. Nina ushahidi ambapo katika shule flani ya dhehebu ambalo sitaki kulitaja mzazi mwenzetu alipata ajali siku anatoka kumpeleka mtoto wake shule na akawa amefariki, term iliyofuata mtoto yule aliyefiwa na mzazi akasimamishwa shule kwa sababu ya ada bila kujali alikuwa anakaribia kufanya mtihani wa mwisho. Hivo kupitia group la wazazi tukalazimika kuchanga ili angalau huyu mtoto amalizie pale alipoachia babake. Yumkini mtu huyu michango yake imefanya mambo makubwa sana kuimarisha taasisi.

Jambo lingine hizi shule zimekuwa na michango mingi mingi ili tu kutunisha mifuko, shule ya private nimelipa tution fee, bado unakuja na ngojera za remedial, mara taaluma, yaani wanabadilisha terminology ili hali kitu kile kile.

Ukiachana na hilo kuna suala la usafiri kwenda na kutoka shule wakati wa likizo, shule inaweka mashariti kuwa mtoto akitumia usafiri wa binafsi hatopokelewa shuleni, wakati wa likizo wengine tunawaruhusu watoto kutembelea babu zao. Imagine mtoto anasoma Arusha au Moshi na bibi au babu yuko huko. Mzazi niko Dar au Mwanza kwamba lazima mtoto arudi tena kwenye domicile ili tu kupanda basi lilokodiwa na shule. UJINGA MTUPU.

ADA Unakuta ada ni shilingi milioni mbili laki saba, mhura wa kwanza ni milioni moja na laki tatu hamsini, nimeweza kulipa milioni moja na laki 2 imebaki tu laki moja na nusu mtoto anazuiwa kupanda basi la shule kwa sababu tu ya shilingi laki moja na nusu ili hali ndo kwaanza JANUARY. Hawa ma headmaster wako serious kweli? Na wakati huo wengi wa Headmasters na Headministress kwa hizi shule ni ama wachungaji, Padri ama masista. Hebu acheni hizi roho za kishetani wapendwa.

Mtanisamehe kwa lugha niliyotumia, sina lugha nyingine zaidi ya hii kwa sababu nimevumilia hadi mwisho.
Dawa ni kusilimu tu mkuu
 
Wanabodi, Asalaam Aleikhum, Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, Shalom.
Ama baada ya salaam nilejee kwenye mada yangu ya siku ya leo ambayo msingi wake nikuongelea hizi zinazoitwa shule za madhehebu mbalimbali ya dini hususani Wakristo. Tuwapo makanisani tumekuwa na michango na harambeee nyingi sana kuchangia miradi mbalimbali inayoendeshwa na makanisa yetu, kama vile ujenzi wa shule, vyuo na hospitali.

Mimi huyu huyu muumini unakuta natoa kwa moyo wa dhati kabisa kufanikisha miradi husika lakini wakati huo nikitoa asilimia 20 ya pato ghafi kama zaka na sadaka, baada ya hili nitatakiwa kuchangia ujenzi wa kanisa linalotarajiwa kuanzishwa mtaa wa jirani, nitatakiwa kuchangia ujenzi wa shule ya kanisa ambayo itaendeshwa kwa mchepuo wa kiingereza maarufu kama English media na shule ya sekondari.

Kibembe kinaanza pale shule inapokuwa imekamilika mimi nilie changia ujenzi sina uwezo wa kumudu kulipia ada inayotakiwa, matokeo mwanangu au wanangu watasoma Kayumba bila kujali kama mimi nilishiriki kujenga hiyo shule kwa mali zangu. Na endapo nitamudu kulipa ada lakini kwa bahati mbaya ikatokea kipato kimeteteleka kidogo iwe kwa sababu zozote zile ikiwemo ugonjwa shule zimekuwa hazina subira wala msaada kwa mtoto zaidi ya kumtimua shule. Nina ushahidi ambapo katika shule flani ya dhehebu ambalo sitaki kulitaja mzazi mwenzetu alipata ajali siku anatoka kumpeleka mtoto wake shule na akawa amefariki, term iliyofuata mtoto yule aliyefiwa na mzazi akasimamishwa shule kwa sababu ya ada bila kujali alikuwa anakaribia kufanya mtihani wa mwisho. Hivo kupitia group la wazazi tukalazimika kuchanga ili angalau huyu mtoto amalizie pale alipoachia babake. Yumkini mtu huyu michango yake imefanya mambo makubwa sana kuimarisha taasisi.

Jambo lingine hizi shule zimekuwa na michango mingi mingi ili tu kutunisha mifuko, shule ya private nimelipa tution fee, bado unakuja na ngojera za remedial, mara taaluma, yaani wanabadilisha terminology ili hali kitu kile kile.

Ukiachana na hilo kuna suala la usafiri kwenda na kutoka shule wakati wa likizo, shule inaweka mashariti kuwa mtoto akitumia usafiri wa binafsi hatopokelewa shuleni, wakati wa likizo wengine tunawaruhusu watoto kutembelea babu zao. Imagine mtoto anasoma Arusha au Moshi na bibi au babu yuko huko. Mzazi niko Dar au Mwanza kwamba lazima mtoto arudi tena kwenye domicile ili tu kupanda basi lilokodiwa na shule. UJINGA MTUPU.

ADA Unakuta ada ni shilingi milioni mbili laki saba, mhura wa kwanza ni milioni moja na laki tatu hamsini, nimeweza kulipa milioni moja na laki 2 imebaki tu laki moja na nusu mtoto anazuiwa kupanda basi la shule kwa sababu tu ya shilingi laki moja na nusu ili hali ndo kwaanza JANUARY. Hawa ma headmaster wako serious kweli? Na wakati huo wengi wa Headmasters na Headministress kwa hizi shule ni ama wachungaji, Padri ama masista. Hebu acheni hizi roho za kishetani wapendwa.

Mtanisamehe kwa lugha niliyotumia, sina lugha nyingine zaidi ya hii kwa sababu nimevumilia hadi mwisho.
Amen, pole kwa kuchoshwa na michango na harambee pamoja na sadaka nyingi nyingi huko Kanisani kwenu kasi kwamba umekosa uvumilivu.

Nijuavyo: Michango au sadaka ni jambo la hiari na unatakiwa utoe kwa moyo wa kupenda ukiwa umejawa na shukrani kwa Mungu aliye kuwezesha kupata hivyo unavyotakiwa kumtolea.

Viongozi wa Kanisa kazi yao ni kutufundisha namna sahihi ya kumtolea Mungu na wakati mwingine wanahamasisha kutoa michango kama kuna jambo la kufanya la Maendeleo ya Kanisa hasa vitega uchumi

Wanapohamasisha hawakulazimishi kutoa bali wanakuomba uone kwamba unatakiwa kutoa na utoe kwa hiari, kinachotutesa tulio wengi ni pale tunapoona wenzetu wananyanyuka kwenda kutoa na sisi tumekaa tu tuna anza kuona aibu kwamba nimebaki Mimi tu hapo ndo tunapoona tunalazimishwa.

Kutoa ni hiyari mpendwa, ukiwa nacho toa kwa moyo utabarikiwa na usipokuwa nacho acha Mungu anatambua,usitoe kwa manung'uniko
 
Amen, pole kwa kuchoshwa na michango na harambee pamoja na sadaka nyingi nyingi huko Kanisani kwenu kasi kwamba umekosa uvumilivu.

Nijuavyo: Michango au sadaka ni jambo la hiari na unatakiwa utoe kwa moyo wa kupenda ukiwa umejawa na shukrani kwa Mungu aliye kuwezesha kupata hivyo unavyotakiwa kumtolea.

Viongozi wa Kanisa kazi yao ni kutufundisha namna sahihi ya kumtolea Mungu na wakati mwingine wanahamasisha kutoa michango kama kuna jambo la kufanya la Maendeleo ya Kanisa hasa vitega uchumi

Wanapohamasisha hawakulazimishi kutoa bali wanakuomba uone kwamba unatakiwa kutoa na utoe kwa hiari, kinachotutesa tulio wengi ni pale tunapoona wenzetu wananyanyuka kwenda kutoa na sisi tumekaa tu tuna anza kuona aibu kwamba nimebaki Mimi tu hapo ndo tunapoona tunalazimishwa.

Kutoa ni hiyari mpendwa, ukiwa nacho toa kwa moyo utabarikiwa na usipokuwa nacho acha Mungu anatambua,usitoe kwa manung'uniko
Nadhani unapaswa kurudia kusoma ili uelewe nilichoandika
Hoja yangu haiko kwenye sadaka na zaka
1. Hoja iko kwenye hizi taasisi za kibiashara zinazowezeshwa na waumini lakini baada ya kufanya hivo kanisa huwatupa.
2. Ni hizi taasisi kupitia miradi yao kukosa utu, hizi ni non profitable tunakubali, tuko tayari kulipia huduma. SHIDA ni pale yanatengenezwa mazingira ya kuendelea kuwaumiza hawa hawa facilitator kupitia mlango wa nyuma.
3. Unawezaje kumzuia mtoto kuingia shuleni kwa sababu tu hajatumia basi lilokodishwa na shule?
4. Unaezaje kumzuia mtoto kupanda basi ama kupokelewa kwa sababu tu ana deni la shilingi laki moja au mbili la mwaka huo huo ambao ndo kwanza unaanza. Kwamba ni sahihi mzazi aliyelipa ada ya milioni moja na kitu ktk ada ya ada ya milioni moja laki tatu na hamsini mtoto wake hawezi hata kukanyaga ardhi ya shule,? Kwamba akikosa hiyo laki moja milioni moja yake na laki mbili haina hata thamani ya mtoto kusalimiana na matron????????
5. Hebu tafakari tena nimetoa mzazi aliyepata ajali akitoka kumpeleka mtoto shule kwa sababu kuna ada alikuwa hajamalizia baada ya muda mfupi mtoto anafukuzwa shule, bila kujali kuwa hata kama mzazi alikuwa na hela kwenye account ili mke au familia kkuzichukuwa kuna taratibu flani na zinahitaji muda.
6. Nimetaja madhehebu kwa sababu ni nadra sana mkiristo kumpeleka mtoto wake shule ya kiislam, ni nadra mkathoriki kumpeleka mtoto wake shule ya kisabato nk nk.

7. Manake ni kwamba wateja wa hizi shule ni watoto wa wale wale waliozijenga, ikiwa ndivyo kwa nini basi kusiwe na kuvumiliana na kuheshimu kundi hili kama wadau? Nadhani mpaka hapo utakuwa umeelewa
 
Kanisani buku inatosha sio?
Siyo inatosha mkuu hata ule wakati wenzako wananyanyuka kwenda kutoa walicho nacho ukitulia ulipokaa hakuna atakayekuja kukusimamisha kwamba nenda katoe sadaka.

Maana hauna so siyo kazi ya mtu kujua kama unayo au hauna hiyo sadaka hata nashangaa mleta mada anacholalamika ni nini!
 
Siyo inatosha mkuu hata ule wakati wenzako wananyanyuka kwenda kutoa walicho nacho ukitulia ulipokaa hakuna atakayekuja kukusimamisha kwamba nenda katoe sadaka.

Maana hauna so siyo kazi ya mtu kujua kama unayo au hauna hiyo sadaka hata nashangaa mleta mada anacholalamika ni nini!
Kumbe🙄 ila ukiendekeza lazima upigwe alama😆
 
Back
Top Bottom