johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Kwanza kabisa niipongeze Serikali hususani Rais Samia, Waziri Ummy na Katibu mkuu Prof Makubi kwa Upendo mliouonyesha na hatimaye serikali kubeba jukumu la kumtibu Prof Jay.
Kadhalika niwaulize wale pingapinga, mbona Tundu Lissu alipopata mitihani ya kidunia na kulazwa Nairobi tulimchangia na ni Rais Samia huyu huyu akiwa makamu wa Rais ndiye kiongozi pekee wa dola aliyethubutu kwenda Nairobi kumjulia hali na kumchangia matibabu!
Kwanini leo anapomtibu Jay inakuwa nongwa?
Kwani Tundu Lisu wakati tunamchangia alikuwa hana fedha au watanzania tuliona lile tatizo ni kubwa hivyo tumpe ushirikiano?
Pinga pinga acheni hizo kuna maisha nje ya siasa bhana!
Kadhalika niwaulize wale pingapinga, mbona Tundu Lissu alipopata mitihani ya kidunia na kulazwa Nairobi tulimchangia na ni Rais Samia huyu huyu akiwa makamu wa Rais ndiye kiongozi pekee wa dola aliyethubutu kwenda Nairobi kumjulia hali na kumchangia matibabu!
Kwanini leo anapomtibu Jay inakuwa nongwa?
Kwani Tundu Lisu wakati tunamchangia alikuwa hana fedha au watanzania tuliona lile tatizo ni kubwa hivyo tumpe ushirikiano?
Pinga pinga acheni hizo kuna maisha nje ya siasa bhana!