Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,398
Kudadekiiiiii km andiko linavyosema vile sheikh !!! Usipokula diet unaweza kufia mapajani kwa mke wa nne![]()
![]()
![]()
![]()
Unaweza ukabaki umeduwaa, mizigo iko ndani inakusubiri
Kudadekiiiiii km andiko linavyosema vile sheikh !!! Usipokula diet unaweza kufia mapajani kwa mke wa nne![]()
![]()
![]()
![]()
Ukaleta pozi eeeh.Nikweli kabisa jamaaaan doooooooo umenikumbusha miaka kadhaaa ivi ila Noway out![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Iyo inatokea pale mwimbaji anapokulazimisha uimbeNdoa tamu, ndo maana wanakuwa wakali kwelikweli
![]()
Labda muanze kutuoa wake wawili wawili. Kumbukeni nyie mko wengi sasa kila mtu akioa mmoja lazima wenye gundu wapatikane kwa lazimamwanamke asipoolewa jua anagundu
HahahahahhaDadeki kwa msuli huo mkuuu haaaaaaa kiuno cha mkeo kinaweza kukushinda ,,alafu ndo upate m'mama wawatu kajaa mafuta mafuta ,mwili huoooo..
Aiseeeee angalia usitafute sababu "" Nipigiwa simu ya msibaa![]()
![]()
![]()
![]()
"
Kumbe unakimbia zali
Bila shaka mzeee anataka kuchomokaaaa uyooo ..mizigo yandani inaonekana imeshiba sanaaaaa ...Unaweza ukabaki umeduwaa, mizigo iko ndani inakusubiri
View attachment 676243
Hapana mambo yanabadilika aseee ,sikulinga ,,ila unapoletewa udini katika mambo yamsingi bila shaka lazima ukubaliane nahali.Ukaleta pozi eeeh.
Labda muanze kutuoa wake wawili wawili. Kumbukeni nyie mko wengi sasa kila mtu akioa mmoja lazima wenye gundu wapatikane kwa lazima
Haukua serious tu. Wanaoletaga udini dawa yao inakuaga mimba tu wanabadiki mawazo. Asije mtu nivunjia mapenzi yangu kisa dini sitamuelewa aisee.Hapana mambo yanabadilika aseee ,sikulinga ,,ila unapoletewa udini katika mambo yamsingi bila shaka lazima ukubaliane nahali.
Sema duuuhh atakayemuoa ,atafaidikaga sana.
Ewaaaaaaaa sasa kitu izo ndo akiwa anapika unajisimia kimoyo moyo asikusikieHahahahahha
Unamaanisha uwe na mzigo kama huu?
![]()
Mimi kuolewa wa wawili sio shida sema mi ndo niwe wa pili. Nikiwa wa kwanza halafu niletewe mwingine ndani ntaacha ndoa. Ila nikiwa wa pili poa tu
Bila shaka mzeee anataka kuchomokaaaa uyooo ..mizigo yandani inaonekana imeshiba sanaaaaa ...
Alafu unasikia inakuambia "" Baby bado safar tatu tatu Kila mmoja "".
Huyo kiboko yake ni wa aina gani Mzigua90 ?Wanawake wote tunapenda ndoa ila na watu tunaowapenda lakini. Ukiona bado mtu anadanga ujue hajapata kiboko yake bado
Huna akili wewe.Ewaaaaaaaa sasa kitu izo ndo akiwa anapika unajisimia kimoyo moyo asikusikie
*Chakula kinapika chakula chenzake*









Yes I did that ,ila acha tuuuu... Hawa watu waudini daaahhhh hawafai hata kidogo...nawachukia sana.Haukua serious tu. Wanaoletaga udini dawa yao inakuaga mimba tu wanabadiki mawazo. Asije mtu nivunjia mapenzi yangu kisa dini sitamuelewa aisee.