Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kudadekiiiiii km andiko linavyosema vile sheikh !!! Usipokula diet unaweza kufia mapajani kwa mke wa nne

Unaweza ukabaki umeduwaa, mizigo iko ndani inakusubiri
upload_2018-1-15_17-40-27.jpeg
 
Sasa wakiolewa wote ma MILF watatokea wapi??, embu msiwashtue haka kamfumo ka maisha kaendelee..

wakuolewa waolewe na wakuja honga Ben10 waendelee kuwepo
 
mwanamke asipoolewa jua anagundu
Labda muanze kutuoa wake wawili wawili. Kumbukeni nyie mko wengi sasa kila mtu akioa mmoja lazima wenye gundu wapatikane kwa lazima
 
Labda muanze kutuoa wake wawili wawili. Kumbukeni nyie mko wengi sasa kila mtu akioa mmoja lazima wenye gundu wapatikane kwa lazima

Ndugu yetu kashaonesha njia...
upload_2018-1-15_17-43-21.jpeg


Tatizo nyie hamchelewi kulia wivu
 
Hapana mambo yanabadilika aseee ,sikulinga ,,ila unapoletewa udini katika mambo yamsingi bila shaka lazima ukubaliane nahali.

Sema duuuhh atakayemuoa ,atafaidikaga sana.
Haukua serious tu. Wanaoletaga udini dawa yao inakuaga mimba tu wanabadiki mawazo. Asije mtu nivunjia mapenzi yangu kisa dini sitamuelewa aisee.
 
Haukua serious tu. Wanaoletaga udini dawa yao inakuaga mimba tu wanabadiki mawazo. Asije mtu nivunjia mapenzi yangu kisa dini sitamuelewa aisee.
Yes I did that ,ila acha tuuuu... Hawa watu waudini daaahhhh hawafai hata kidogo...nawachukia sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom