Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
ndio hivyo mkuu,ndio maana muda mwingine hata hii mizing wanatupiga tusiwe tunawakatalia sana,we unadhani usipompatia wewe mtoto wa kiume nani atampatiaMkuu umeifanya siku yangu kuwa njema, hapo pa kumsuuza moyo!!!
Hajapata kiboko yake bado !!!..wacha nijitahidi niwe kiboko aiseeeeeWanawake wote tunapenda ndoa ila na watu tunaowapenda lakini. Ukiona bado mtu anadanga ujue hajapata kiboko yake bado

Utamu wa ndoa ni kujua mtu unaempenda ameamua kuishi maisha yake yote na wewe. Kuna watu wana ndoa ila utamu hawaujui.Ndoa tamu bhana...
![]()
Ukiwa kiboko hakuna ataechomoa.Hajapata kiboko yake bado !!!..wacha nijitahidi niwe kiboko aiseeeee![]()
![]()
Shida ingekuja km unaolewa na mwanaume mwenzioKwahiyo mwanaume kuolewa kwako haiondoi hadhi ya uume wako
Hahahahaaa mkuuuu umeisahau hiiHapana chezea kabisa...
![]()

Utamu wa ndoa ni kujua mtu unaempenda ameamua kuishi maisha yake yote na wewe. Kuna watu wana ndoa ila utamu hawaujui.
God forbid!Shida ingekuja km unaolewa na mwanaume mwenzio
Kumbe anokuoa mwanamke tatizo liko wapi
Daahhh kubabake mkuuu nmecheka balaaaaa....embu Ichukue hiiNdoa tamu bhana...
![]()
Mbona kama hiyo adhabu babu?
Sijaisahau mkuu... ndoa tamu bhanaHahahahaaa mkuuuu umeisahau hii![]()
ebwana usichezeee ndoa ujue![]()
![]()
![]()
Asante wacha nijifunze kua kiboko ili asipatikane wa kunichomoka ...tatizo Bongo Hanna ziwa wala mto,,,, nitaishije ???? Bahari maji chumvi Mkuu ,naikoboko haishi bahrin...Ukiwa kiboko hakuna ataechomoa.



. Mbona wanapakana mate hao?Weeee mkuuu ,sikuwezi ,nacheka hapa balaaaa
Mbona kama hiyo adhabu babu?
aamin emmyta njoo hukuNa iwe kwako km ulivyosema.
Mh! Wengine hawatakiKuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hivyo ikitokea furaha muhimu bana.
Asante wacha nijifunze kua kiboko ili asipatikane wa kunichomoka ...tatizo Bongo Hanna ziwa wala mto,,,, nitaishije ???? Bahari maji chumvi Mkuu ,naikoboko haishi bahrin...
Sijui unanishaulije





. Ukiboko haufunzwi. Ni mwanamke mwenyewe akiamua awe ziwa bahari au mto kwako lazima uwe kiboko nakwambia.